Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Well deserved win.
Ina maana Masho ana mshahara mkubwa kuliko Garnacho!!!
 
Screenshot_20231022_000026_All%20Goals.jpg
 
Hizi promoted teams dawa yao ni kuzigonga goli kuanzia 4 kwenda mbele.

Ngoja tuwaonyeshe namna ya kuwaogonga hawa Sheffield jumamosi ijayo wakija Emirates..
 
Promoted teams zinawatoa kamasi

Mna msimu mrefu Sana

Next week mnaweza kupigwa 7-0
 
Against Burney, Sheffield united,Brentford dhaifu,

Mnashinda kwa kubahatisha

Halafu mnawaza kuingia top 6?


 
Hawa wachezaji ma legend wa kiingereza Wanajifanyaga wajuaji Sana . Baada ya kustaafu kucheza mpira wengi wakajikuta wamekua wachambuzi wa mpira . Wakaanza kupiga Domo na majungu Kwa makocha wa timu mbalimbali . Mourinho aliwahi kusikika akiwaambia badala ya kupiga majungu Kwa makocha kwenye video waingie na wao kwenye mtanange 😂😂. Mungu si athumani hatimaye wameanza kuliona joto la jiwe .
Lampard
Neville
Steven Gerald __kakimbilia uarabuni 😂😂😂
F8_FHHoXAAAzQGN.jpeg

Shauku yangu naomba Sana Mungu siku watu Hawa PAUL scores na Rio Ferdinand wapewe nao ukocha tuone wanauchezaje mdumange maana ni wajuaji Sana 😂😂😂😂
 
David Beckham on Sir Bobby Charlton’s passing:

“It all started with Sir Bobby Sir Bobby was the reason I had the opportunity to play for Manchester United...

I will forever be grateful to him, he was someone who I admired and who was a hero to many around the world, not just in Manchester and in our country where he won the World Cup in 1966...

A true gentleman, a family man and a national hero... Today is not just a sad day for Manchester United and England, it is a sad day for football and everything that Sir Bobby stood for...

Our thoughts are with Lady Norma, her daughters and his grandchildren. Rest in peace Sir Bobby.”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Back
Top Bottom