hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,285
- 26,685
For the first time,Mentor na mchambuzi mwenzangu George Ambangile ameshindwa kuichambua timu yake pendwa
Niliwahi kumwambia 7hag Ni average coach,alinibishia Sana ,now amebaki kuniona Mimi mchawi
Anasema
Anayeweza kuichambua Man United afanye hivyo tafadhali daah
*Kiukweli mm hata sioni tunatumia muundo gani ? Staili gani ya uchezaji ? Bila mpira tunatumia muundo upi kuzuia ? Labda sioni mimi peke yangu ndugu zangu naomba leo mnipe darasa hilo *
Tunashinda lakini ??
: Sawa hata Mungu alisema tushukuru kwa kila jambo
Niliwahi kumwambia 7hag Ni average coach,alinibishia Sana ,now amebaki kuniona Mimi mchawi
Anasema
Anayeweza kuichambua Man United afanye hivyo tafadhali daah
*Kiukweli mm hata sioni tunatumia muundo gani ? Staili gani ya uchezaji ? Bila mpira tunatumia muundo upi kuzuia ? Labda sioni mimi peke yangu ndugu zangu naomba leo mnipe darasa hilo *
Tunashinda lakini ??

: Sawa hata Mungu alisema tushukuru kwa kila jambo








| 𝐑𝐮𝐮𝐝 𝐆𝐮𝐥𝐥𝐢𝐭 on Rasmus 𝐇𝐨𝐣𝐥𝐮𝐧𝐝: