Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

For the first time,Mentor na mchambuzi mwenzangu George Ambangile ameshindwa kuichambua timu yake pendwa


Niliwahi kumwambia 7hag Ni average coach,alinibishia Sana ,now amebaki kuniona Mimi mchawi


Anasema

Anayeweza kuichambua Man United afanye hivyo tafadhali daah

*Kiukweli mm hata sioni tunatumia muundo gani ? Staili gani ya uchezaji ? Bila mpira tunatumia muundo upi kuzuia ? Labda sioni mimi peke yangu ndugu zangu naomba leo mnipe darasa hilo *

Tunashinda lakini ?? : Sawa hata Mungu alisema tushukuru kwa kila jambo
 
For the first time,Mentor na mchambuzi mwenzangu George Ambangile ameshindwa kuichambua timu yake pendwa


Niliwahi kumwambia 7hag Ni average coach,alinibishia Sana ,now amebaki kuniona Mimi mchawi


Anasema

Anayeweza kuichambua Man United afanye hivyo tafadhali daah

*Kiukweli mm hata sioni tunatumia muundo gani ? Staili gani ya uchezaji ? Bila mpira tunatumia muundo upi kuzuia ? Labda sioni mimi peke yangu ndugu zangu naomba leo mnipe darasa hilo *

Tunashinda lakini ?? : Sawa hata Mungu alisema tushukuru kwa kila jambo
Nini maana ya mchambuzi?? Tuanzie hapo

Kisha na wewe cha-goat uje utuchambulie arsenal wanatumia mfumo gani na style gani of playing, miaka 100+ hakuna UCL.
 
Wachambuzi nguli kwa mujibu wa syllabus ya FIFA tunapochambua timu ,tunaanzia kwenye Buildup tunakuja phase 2 na phase 3

Lakini Wachambuzi nguli wanadai kuichambua manjesta ya 7hag imekuwa kazi ngumu Bora kubeba Zege ,

Haijulikani inacheza muundo gani Wala stail gani

Pep aliulizwa anaionaje manjesta, akaishia kuangua kicheko maana haichambuliki


Against promoted teams inacheza butua butua

Swali tunalojiuliza Wachambuzi nguli duniani,

Je against top 6 , manjesta itaokota hata point 1?

Je against kina Astonvilla, Westham,Fulham , Brighton ,itaokota points hata 1?


Huyu 7hag mliona Nini mpaka akapata kazi hapo manjesta?


Sir Jim inasemekana amaechoka na pira makande ,anataka akipewa timu amlete Graham Potter


Niliwahi kusema humu

Graham Potter
Ole Gunar
Frank lampard
David Moyes
Zuberi katwila
Malale hamsini
Juma Mgunda


Wana uwezo mkubwa kuliko Erik 7hag
 
Mwaka huu mkimaliza ndan ya top 7 , nitaamini uchawi upo ulaya na unafanya kazi

HUWEZI maliza top 7 ikiwa ukikutana na Burney , Sheffield ,Luton, una struggle ku control mechi


It's means against Astonvilla, Newcastle, Brighton, Westham , palace ,hutaweza kupata matokeo

Against top 6 hutaweza kupata matokeo
 
Sir Jim ana uelewa mkubwa Sana wa Soka

Anasema anamtaka Potter


Niliwahi sema humu 7hag anazidiwa uwezo Hadi na Juma Mgunda

Ni vile Mgunda Hana exposure ya ulaya


Ukimpa Mgunda manjesta boli litatembea
 
Operation kataa

pira magimbi

Pira makande

Pira butua butua

Pira janjajanja
 
Mashabiki wa manjesta mnasikia

Muwe mnafika hapa
20231023_100550.jpg
 
Wachambuzi nguli kwa mujibu wa syllabus ya FIFA tunapochambua timu ,tunaanzia kwenye Buildup tunakuja phase 2 na phase 3

Lakini Wachambuzi nguli wanadai kuichambua manjesta ya 7hag imekuwa kazi ngumu Bora kubeba Zege ,

Haijulikani inacheza muundo gani Wala stail gani

Pep aliulizwa anaionaje manjesta, akaishia kuangua kicheko maana haichambuliki


Against promoted teams inacheza butua butua

Swali tunalojiuliza Wachambuzi nguli duniani,

Je against top 6 , manjesta itaokota hata point 1?

Je against kina Astonvilla, Westham,Fulham , Brighton ,itaokota points hata 1?


Huyu 7hag mliona Nini mpaka akapata kazi hapo manjesta?


Sir Jim inasemekana amaechoka na pira makande ,anataka akipewa timu amlete Graham Potter


Niliwahi kusema humu

Graham Potter
Ole Gunar
Frank lampard
David Moyes
Zuberi katwila
Malale hamsini
Juma Mgunda


Wana uwezo mkubwa kuliko Erik 7hag
With all respect mchambuzi mwenye beji ya FIFA tunakuhitaji mara moja jukwaa la Chelsea.
 
Rasmus HØJLUND in the Premier league
6 games
0 goals
0 assists
 
Mwaka huu mkimaliza ndan ya top 7 , nitaamini uchawi upo ulaya na unafanya kazi

HUWEZI maliza top 7 ikiwa ukikutana na Burney , Sheffield ,Luton, una struggle ku control mechi


It's means against Astonvilla, Newcastle, Brighton, Westham , palace ,hutaweza kupata matokeo

Against top 6 hutaweza kupata matokeo
 
Nimeamini kila kazi ina changamoto ,nilijua kwenye uchambuzi Kuna Raha ,kumbe Kuna ugumu

Kwasasa wachambuzi duniani tunakutana na changamoto ya kuichambua manjesta

Unapewa kipind kwenye redio au TV unaambiwa ichambue manjesta ,Ni mtihani ambao unatunyima makokoto


7hag anatunyima ugali wachambuzi
20231022_112138.jpg
 
Hivi hamuoni Pochetino anavyoweka playing style kwa wale watoto?

Huyu 7hag nataka nijue mlimtoa wapi ,na Nani alipitisha jina lake afundishe manjesta?

Nani walimfanyia interview ?

Haiwezekani na haikubaliki against promoted teams ,timu inabutua butua na kusubiri magoli ya miujiza
 
Manchester United will hold a minute silence for Sir Bobby Charlton prior to today’s press conference that Erik ten Hag and Diogo Dalot will be attending.


[samuel luckhurst]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
| 𝐑𝐮𝐮𝐝 𝐆𝐮𝐥𝐥𝐢𝐭 on Rasmus 𝐇𝐨𝐣𝐥𝐮𝐧𝐝:

"They're not really looking for him. And he's in areas where you can see him. There are too many players who want to score on their own, who cut into the middle. The scorers need to score goals. If he's happy in the team, it makes a huge difference to the others."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Back
Top Bottom