Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sir Jim anasema ataongeza OT kuchukua watu 90,000

nasema apewe timu haraka sana
 
Sir Jim anasema ataajili watu wa mpira kina Michael Edward na Paul Mitchell


Nasema hivi Sir Jim Ni mtu sahihi
 
Sir Jim anasema hatamfukuza Erik 7 hag atampa last chance kabla hajamfungashia virago


Nasema hivi Sir Jim Ni mzalendo kweli kweli
 
Ukimsikiliza Sheikh Jasim unagundua Ni mtu wa Propaganda anasema angeichukua manjesta angemleta Mbappe ,Jude Bellingham ,Na Vini Jr.


Hii Ni propaganda

Jude na Vini Jr wana release clause ya €1B

Mbappe hagusiki


Ni dhahiri huyu muarabu Ni mtu wa Propaganda


Timu apewe Sir Jim
 
Sasa ile kauli ya kocha la makocha, Eric Ten Hag kwamba ERAS COME TO AN END" ndo inaenda kutekelezeka rasmi.

Hii ni baada ya Sir Jim Ratcliffe kuweka wazi mipango yake ya muda mfupi na mrefu klabuni humu, Manchester United.
 
Sasa ile kauli ya kocha la makocha, Eric Ten Hag kwamba ERAS COME TO AN END" ndo inaenda kutekelezeka rasmi.

Hii ni baada ya Sir Jim Ratcliffe kuweka wazi mipango yake ya muda mfupi na mrefu klabuni humu, Manchester United.
7hag anaenda kutimuliwa soon ,Sir Jim ni mtu wa soka ,atamvumilia kidogo

Hakuna mtu wa mpira anaweza vumilia ule mpira wa 7hag

Timu haiwezi hata kupiga pass 10 kwa usahihi kutafuta goli inasubiri miujiza ya tapeli mwamposa

Hakuna timu inayojielewa yenye muundo wakueleweka itakubali kufungwa na manjesta

Astonvilla, Newcastle, Brighton,Westham,palace , watabeba points kwa manjesta hii ya 7hag
 
A
Ukimsikiliza Sheikh Jasim unagundua Ni mtu wa Propaganda anasema angeichukua manjesta angemleta Mbappe ,Jude Bellingham ,Na Vini Jr.


Hii Ni propaganda

Jude na Vini Jr wana release clause ya €1B

Mbappe hagusiki


Ni dhahiri huyu muarabu Ni mtu wa Propaganda


Timu apewe Sir Jim
Acha bhangi sawa sababu ukifatilia tokea mwanzo utajua Glazer's hawakua na mpango wa kuuza hii club, na hata media zote wamekili Hilo na sheikh Jasmin ndio alikua mtu wa muhimu kuifufua hii club.
 
A

Acha bhangi sawa sababu ukifatilia tokea mwanzo utajua Glazer's hawakua na mpango wa kuuza hii club, na hata media zote wamekili Hilo na sheikh Jasmin ndio alikua mtu wa muhimu kuifufua hii club.
Sheikh Ni mtu wa Propaganda tu

Ametumia media ndogo na kubwa kudanganya watu

Alitengeneza Hadi documents fake kuwa anakamilisha ofisi London ,

Grazzer family walikuwa wanamcheki tu na propaganda zake

Sasa arudi Qatar au Saudia akawekeze kwa kina Alshabab fc, Alqaeda ,au Boko Haram fc ,
 
𝐃𝐚𝐯𝐢𝐝 𝐁𝐞𝐜𝐤𝐡𝐚𝐦 and 𝐆𝐚𝐫𝐲 𝐍𝐞𝐯𝐢𝐥𝐥𝐞 were among those present at the funeral of 𝐋𝐚𝐝𝐲 𝐂𝐚𝐭𝐡𝐲 𝐅𝐞𝐫𝐠𝐮𝐬𝐨𝐧. 𝐍𝐢𝐜𝐤𝐲 𝐁𝐮𝐭𝐭, 𝐃𝐚𝐫𝐫𝐞𝐧 𝐅𝐥𝐞𝐭𝐜𝐡𝐞𝐫, 𝐌𝐢𝐜𝐡𝐚𝐞𝐥 𝐂𝐚𝐫𝐫𝐢𝐜𝐤, 𝐉𝐢-𝐒𝐮𝐧𝐠 𝐏𝐚𝐫𝐤, 𝐁𝐫𝐲𝐚𝐧 𝐑𝐨𝐛𝐬𝐨𝐧, 𝐒𝐭𝐞𝐯𝐞 𝐁𝐫𝐮𝐜𝐞, 𝐊𝐞𝐧𝐧𝐲 𝐃𝐚𝐥𝐠𝐥𝐢𝐬𝐡, and 𝐁𝐫𝐞𝐧𝐝𝐚𝐧 𝐑𝐨𝐝𝐠𝐞𝐫𝐬 were also in attendance.


[Sun]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2784032
IMG_20231016_231243_303.jpg
 
𝐒𝐡𝐞𝐢𝐤𝐡 𝐉𝐚𝐬𝐬𝐢𝐦 was planning to sign 𝐊𝐲𝐥𝐢𝐚𝐧 𝐌𝐛𝐚𝐩𝐩𝐞́, Kingsley 𝐂𝐨𝐦𝐚𝐧 and Eduardo 𝐂𝐚𝐦𝐚𝐯𝐢𝐧𝐠𝐚 had his takeover of Manchester United succeeded.

(Source: Sun Sport)
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
| 𝐓𝐡𝐞 𝐐𝐚𝐭𝐚𝐫𝐢 𝐠𝐫𝐨𝐮𝐩'𝐬 opening statement to return #mufc to their '𝐟𝐨𝐫𝐦𝐞𝐫 𝐠𝐥𝐨𝐫𝐢𝐞𝐬' 𝐝𝐢𝐝 𝐧𝐨𝐭 𝐠𝐨 𝐝𝐨𝐰𝐧 𝐰𝐞𝐥𝐥 𝐰𝐢𝐭𝐡 𝐭𝐡𝐞 𝐆𝐥𝐚𝐳𝐞𝐫𝐬.

An offer many thought would render their purchase of the club a formality started on the wrong foot and, as the months dragged on, failed to recover.

[MikeKeegan_DM]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
|Within the walls of Old Trafford staff were, for the most part, kept in the dark, but the rumours swirled. It quickly became clear 𝐒𝐡𝐞𝐢𝐤𝐡 𝐉𝐚𝐬𝐬𝐢𝐦'𝐬 was the preferred bid for the majority of those who worked for the club.

[MikeKeegan_DM]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
| Why? An almost universally held view among senior management was that they were far more likely to keep their jobs following a 𝐒𝐡𝐞𝐢𝐤𝐡 𝐉𝐚𝐬𝐬𝐢𝐦 takeover than after an INEOS one. Most felt 𝐑𝐚𝐭𝐜𝐥𝐢𝐟𝐟𝐞 would quickly install a number of allies in key roles and that they would be out on their ears.

[MikeKeegan_DM]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
| Those on 𝐒𝐡𝐞𝐢𝐤𝐡 𝐉𝐚𝐬𝐬𝐢𝐦'𝐬 side believe #mufc have just blown their only chance to narrow the gap on Manchester City.


[MikeKeegan_DM]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
| BREAKING: Former general director of PSG and CEO of Juventus 𝐉𝐞𝐚𝐧-𝐂𝐥𝐚𝐮𝐝𝐞 𝐁𝐥𝐚𝐧𝐜 could be set for a 𝐊𝐄𝐘 𝐑𝐎𝐋𝐄 at Manchester United under Sir Jim 𝐑𝐚𝐭𝐜𝐥𝐢𝐟𝐟𝐞!

[SkyKaveh]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
| BREAKING: Manchester United are actively looking for ways to offload Anthony 𝐌𝐚𝐫𝐭𝐢𝐚𝐥 in January and are even willing to accept a minimal fee!

[alex_crook]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
| BREAKING: Sevilla are among the clubs interested in signing Mason 𝐆𝐫𝐞𝐞𝐧𝐰𝐨𝐨𝐝 in a permanent transfer next summer! #MUFC


[MirrorFootball]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
| Newcastle United are interested in signing Jadon 𝐒𝐚𝐧𝐜𝐡𝐨.

[Muppetiers]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Back
Top Bottom