Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni sheikh pekee alikua na good intentions na hii klabu basi yan mtu Katoa £5B na ahadi ya kulipa deni lote la nyumbu, kurekebisha uwanja na training facilities etc
Hili la training facilities ndio linaniuma sana hasa baada ya kinda wetu tuliyemuuza Charlie Savage last week kusema kwamba training facilities za Reading ni bora kuliko za United.

Japo ni ukweli ila ni dharau sana kufananishwa na timu ya Championship.

Mimi hawa wazee wakirekebisha hizo sehemu sitakuwa na noma sekta nyingine tutavumiliana.
 
Yani sir Jim Katoa paundi bilion 1.3 Kwa Kununua asilimia 25 ya hisa.


Halafu mtu anataka kutoa Dola bilion 8 huku akiahidi kufuta deni la Dola milion 500 , kujenga uwanja na facilities zote ila kabaniwa.



Hii team ni ya kipumbavu saaaana.


RIP Manchester united (1898-2023)

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa Mkuu ni mambo ya kisenge sana nayanaumiza mno,mpaka unajiuliza Kuna Faida gan! Ya kupeteza mda wako kufatilia hii club ya kipumbavu.
 
| 𝐒𝐡𝐞𝐢𝐤𝐡 𝐉𝐚𝐬𝐬𝐢𝐦 believes he would have been the dream owner for 𝐌𝐚𝐧 𝐔𝐧𝐢𝐭𝐞𝐝.

Fully cash bid, clearing all old debt, with zero new debt, for 100% of the club.

He is the only bidder who has offered to buy 100% of Manchester United.

Investment package was worth more than $8B.


[Fabrizio Romano]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20231015_134348_116.jpg
 
| 𝐒𝐡𝐞𝐢𝐤𝐡 𝐉𝐚𝐬𝐬𝐢𝐦 "desperately" attempted to convince the Glazers to sell #mufc, but ultimately the club’s United's current valuation of £2.64 billion was the reason behind Sheikh Jassim's decision to pull out of the bidding process.


[Samuel Luckhurst, MEN]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
The 𝐆𝐥𝐚𝐳𝐞𝐫 family were asking for $8 𝐁𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧 (£6.4 billion) for #mufc.


[The Athletic]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20231015_140732_575.jpg
 
The 𝐆𝐥𝐚𝐳𝐞𝐫 family were asking for $8 𝐁𝐢𝐥𝐥𝐢𝐨𝐧 (£6.4 billion) for #mufc.


[The Athletic]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2782758

Bora hata kawakimbia hao matapeli
 
Nimetoka kusoma mipango ya Sir Jim nimeshaanza kuogopa 😢
Yani Man City anaenda kupotezwa mchana kweupe.
Kiufupi naiona Timu mpya itakayotawala ulimwengu wa soka kuanzia Uengereza mpaka Bata Ulaya kwa ujumla.
 
Sir Jim anamleta Todibo kutoka nice

Analeta DoF ,kifupi muaminini
 
| 𝐌𝐚𝐧𝐜𝐡𝐞𝐬𝐭𝐞𝐫 𝐔𝐧𝐢𝐭𝐞𝐝 𝐒𝐮𝐩𝐩𝐨𝐫𝐭𝐞𝐫𝐬 Trust statement on 𝐒𝐡𝐞𝐢𝐤𝐡 𝐉𝐚𝐬𝐬𝐢𝐦 leaving the process: “It would be wildly optimistic to think Glazers are acting in the interests of supporters or are making ownership decisions which don’t centre on their own priorities”.

“We call upon all parties to put Man Utd interests before their own interests”.

“If the reports are true regarding INEOS obtaining a 25% stake in our club there are a number of questions which need clarity before supporters can make any judgement on its merits”,

[ChrisWheelerDM]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20231015_224842_007.jpg
 
𝐁𝐫𝐮𝐧𝐨 𝐅𝐞𝐫𝐧𝐚𝐧𝐝𝐞𝐬 make the Best XI of the Euro qualifying matches.

[WhoScored]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20231015_225029_144.jpg
 
| While there is a clear need to upgrade and potentially expand 𝐎𝐥𝐝 𝐓𝐫𝐚𝐟𝐟𝐨𝐫𝐝, Ineos believes that the priority is to ensure the performance arm of the club is urgently enhanced. “There is no point having a stadium as magnificent as Tottenham’s if you haven’t got the team,” one source said.


[DickinsonTimes]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Back
Top Bottom