hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,660
- 27,514
Mashabiki wa manjesta Kama CHADEMA tu kelele na maandamano wanafanyia mitandaoniHivi mashabiki wa Man Utd hawawezi kuweka mgomo kama vile kutoingia uwanjani, kutonunua jezi mpaka pale timu itakapouzwa?
Kwa Ground hawatokei