Maoni ya mchambuzi nguli
7hag ametapanya €70m kwa GK na backup GK,
Kamnunua onana kwa €55m ,then akamuachia Kovar kwa €5m Kisha akamnunua mcheza filamu wa kituruki kwa €15m Kama backup GK,wakati ana kipa mwingine Heaton mwenye uwezo mzuri tu pengine kuliko Onana ,
Kulikuwa na haja gani kutapanya €70m yote kwa eneo la GK ambapo lingeweza kusoviwa na pesa nyingine ikanunua CB.
Mchambuzi nguli niliwahi kuhoji matumizi ya €70m kwa mchezaji Kama Casemiro mwenye umri 30+yrs ,now ndani ya mwaka mmoja hawezi tena kukimbia , mechi vs Brentford alitaka kufia uwanjani ikabidi kipindi Cha pili asiendelee
Perezi alichukua €70m aliyowatapeli manjesta na 7hag akaongezea €10m tu akamnunua Aurelien Tchoumen mwenye miaka 21 atakayemtumia kwa miaka 10+.
Kimahesabu ,Perezi alimnunua Tchoumen kwa €10m tu .
Nakwenda Zangu ,Ni Mimi mchambuzi nguli mwenye beji ya FIFA daraja A niliyoipata Zurich Uswis mwaka 2019 .