Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20231014-200644_Chrome.jpg
 
Louis van Gaal will recommend Mitchell van der Gaag to Ajax if the club part ways with Maurice Steijn.

Ajax are, however, aware that he is important in Erik ten Hag's staff and that it could be difficult to snatch him from the club.
Kuondoka kwa Rui Faria kuliathiri sana utendaji kazi wa Jose Mourimho,

Ferguson pia aliondokewa na msaidizi wake Steve McClaren mwaka 2001 hali iliyopelekea kutetereka kidogo kwa Man United hadi Ferguson alitangaza kustaafu mwisho wa msimu

Je kuondoka kwa Mitchel Van Der Gaag itamwacha salama Ten Hag ?
 
Ferguson pia aliondokewa na msaidizi wake Steve McClaren mwaka 2001 hali iliyopelekea kutetereka kidogo kwa Man United hadi Ferguson alitangaza kustaafu mwisho wa msimu
Kwangu carlos Queroz ndie mwanadamu aliyekuja kutuonyesha sura nyengine ya Sir Alex, nimemkumbuka assistant walter smith (RIP)
 
Sir Jim alikuwa hana kelele Wala wapambe,mwisho ndio anaenda kushinda zabuni

Ni mzawa pia ana uchungu na man u

Atamtimua ETH na kujenga timu yakueleweka

Karibu Sana Sir Jim ,kwenye maisha usipe kelele acha muda uongee
20231014_203617.jpg
 
Sir Jim hakuwa na kelele Wala mbwembwe Wala wapambe

Muarabu ametumia media za kila aina ,majarida makubwa kwa madogo kupiga kampeni na kuwapa presha Grazzer family

Katumia media kumchafua Sir Jim aonekane si lolote si chochote ,


Hadi humu Jf ziliibuka ID nyingi za kumpigia kampeni Sheikh Jasim ,


Sasa mzawa Sir Jim ,mwenye uchungu na man u anaenda kupewa timu kwa 25%,

Sir Jim Ni mzawa anajua matatizo ya manjesta ,
 
Glazers wangese sana. Ikiwezekana Old Trafford isichezwe mechi yoyote inayofuata, maandamano yaanze.
Tatizo mishabiki Ni misenge Sana manina kila siku inapiga kelele glazer out Ila uwanjani inajaa ndo unajua hii Ni mikondoo *****.

Dawa ya glazer hawa mabwanyenye ni kuto kwenda kuangalia mechi tu pumbafu kabisa.

Poor glazer
 
Sheikh Jassim's final offer worth almost £5 billion was rejected by the Glazer family

Sir Jim Ratcliffe is close to agreeing a deal to buy 25% of Manchester United
 
Sir Jim hakuwa na kelele Wala mbwembwe Wala wapambe

Muarabu ametumia media za kila aina ,majarida makubwa kwa madogo kupiga kampeni na kuwapa presha Grazzer family

Katumia media kumchafua Sir Jim aonekane si lolote si chochote ,


Hadi humu Jf ziliibuka ID nyingi za kumpigia kampeni Sheikh Jasim ,


Sasa mzawa Sir Jim ,mwenye uchungu na man u anaenda kupewa timu kwa 25%,

Sir Jim Ni mzawa anajua matatizo ya manjesta ,
Sio mbwembwe tu..Muarabu pesa anaweka kwelikweli..Nitajie timu inayoomilikiwa na muarabu na haifanyi vizuri ligi 5 bora za ulaya...Muarabu pesa huwa anawekeza haswaa...Kuanzia kina City,PSG wote si walikua wa kawaida vipi aliposhika usukani muarabu...Haya Newcastle walikua wanapumulia mtungi kunusurika kushuka daraja..Alivyoshika Muarabu Tazama balaa la Newcastle Tazama maboresho ya St.James Park

Wazungu akili nyiingi ila ukiwa timu wanachemsha hawa kina Tajiri miruzi wa Chelsea na huyu Sir Cliff ni walewale kina Glazzer tu...Glazzer kamuweka huyo ili ajipatie faida thats why Jasim alisema anataka kuchukua hisa zoote hakuna mambo ya 25% au ya 49% kama ya Simba(MO) na Yanga(GSM) Hata wao wanatamani kuwekeza mpunga mrefu ila wakifikiria kwenye hisa kumejaa wapigaji na wenyewe wanaamua kukaa hvyohvyo kubania pesa zao.
 
Back
Top Bottom