D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Kuondoka kwa Rui Faria kuliathiri sana utendaji kazi wa Jose Mourimho,Louis van Gaal will recommend Mitchell van der Gaag to Ajax if the club part ways with Maurice Steijn.
Ajax are, however, aware that he is important in Erik ten Hag's staff and that it could be difficult to snatch him from the club.
Glazers wameshikilia bomba haiachiwi
Kwangu carlos Queroz ndie mwanadamu aliyekuja kutuonyesha sura nyengine ya Sir Alex, nimemkumbuka assistant walter smith (RIP)Ferguson pia aliondokewa na msaidizi wake Steve McClaren mwaka 2001 hali iliyopelekea kutetereka kidogo kwa Man United hadi Ferguson alitangaza kustaafu mwisho wa msimu
Hawataki kuachia timu kwa asilimia 100. wameshanusa harufu ya kupiga hela miaka ya mbeleni.Glazers wameshikilia bomba haiachiwi
Itategemea na comeback yake, guardiola amefanya kazi na tito villanova, brian kidd, arteta, enzo maresca n.kJe kuondoka kwa Mitchel Van Der Gaag itamwacha salama Ten Hag ?
Uchungu upi sasaHatimaye Sheikh Jasim kakimbia
Ni wakati Sasa muafaka timu anapewa Sir Jim Ni mzawa pia ana uchungu na man u
Sir Jim amebaki peke yake kwenye tenda ya kuinunua manjesta
BREAKINGSir Jim Ratcliffe to BUY 25% stake in Man United after Sheikh Jassim withdraws offer to buy club
View attachment 2782225
Tatizo mishabiki Ni misenge Sana manina kila siku inapiga kelele glazer out Ila uwanjani inajaa ndo unajua hii Ni mikondoo *****.Glazers wangese sana. Ikiwezekana Old Trafford isichezwe mechi yoyote inayofuata, maandamano yaanze.
Sio mbwembwe tu..Muarabu pesa anaweka kwelikweli..Nitajie timu inayoomilikiwa na muarabu na haifanyi vizuri ligi 5 bora za ulaya...Muarabu pesa huwa anawekeza haswaa...Kuanzia kina City,PSG wote si walikua wa kawaida vipi aliposhika usukani muarabu...Haya Newcastle walikua wanapumulia mtungi kunusurika kushuka daraja..Alivyoshika Muarabu Tazama balaa la Newcastle Tazama maboresho ya St.James ParkSir Jim hakuwa na kelele Wala mbwembwe Wala wapambe
Muarabu ametumia media za kila aina ,majarida makubwa kwa madogo kupiga kampeni na kuwapa presha Grazzer family
Katumia media kumchafua Sir Jim aonekane si lolote si chochote ,
Hadi humu Jf ziliibuka ID nyingi za kumpigia kampeni Sheikh Jasim ,
Sasa mzawa Sir Jim ,mwenye uchungu na man u anaenda kupewa timu kwa 25%,
Sir Jim Ni mzawa anajua matatizo ya manjesta ,
Guardiola yeah itategemea na assistant atakayemchagua.Itategemea na comeback yake, guardiola amefanya kazi na tito villanova, brian kidd, arteta, enzo maresca n.k
Bado amebaki kuwa bora