Sio mbwembwe tu..Muarabu pesa anaweka kwelikweli..Nitajie timu inayoomilikiwa na muarabu na haifanyi vizuri ligi 5 bora za ulaya...Muarabu pesa huwa anawekeza haswaa...Kuanzia kina City,PSG wote si walikua wa kawaida vipi aliposhika usukani muarabu...Haya Newcastle walikua wanapumulia mtungi kunusurika kushuka daraja..Alivyoshika Muarabu Tazama balaa la Newcastle Tazama maboresho ya St.James ParkSir Jim hakuwa na kelele Wala mbwembwe Wala wapambe
Muarabu ametumia media za kila aina ,majarida makubwa kwa madogo kupiga kampeni na kuwapa presha Grazzer family
Katumia media kumchafua Sir Jim aonekane si lolote si chochote ,
Hadi humu Jf ziliibuka ID nyingi za kumpigia kampeni Sheikh Jasim ,
Sasa mzawa Sir Jim ,mwenye uchungu na man u anaenda kupewa timu kwa 25%,
Sir Jim Ni mzawa anajua matatizo ya manjesta ,
Guardiola yeah itategemea na assistant atakayemchagua.Itategemea na comeback yake, guardiola amefanya kazi na tito villanova, brian kidd, arteta, enzo maresca n.k
Bado amebaki kuwa bora
Huyu hana lolote ,tapeli mmoja tu ,si ndio huyu alitaka kununua share za Chelsea pia kipindi kile timu imewekwa kwenye mnada ?BREAKINGSir Jim Ratcliffe to BUY 25% stake in Man United after Sheikh Jassim withdraws offer to buy club
View attachment 2782225
Sir JimHuyu hana lolote ,tapeli mmoja tu ,si ndio huyu alitaka kununua share za Chelsea pia kipindi kile timu imewekwa kwenye mnada ?


I think fatilia mipango ya Sir Jim kabla hujamuhukumuNaona iko imethibitishwa ni mateso ya muda mrefu.
I think fatilia mipango ya Sir Jim kabla hujamuhukumu
Yani sir Jim Katoa paundi bilion 1.3 Kwa Kununua asilimia 25 ya hisa.
Halafu mtu anataka kutoa Dola bilion 8 huku akiahidi kufuta deni la Dola milion 500 , kujenga uwanja na facilities zote ila kabaniwa.
Hii team ni ya kipumbavu saaaana.
RIP Manchester united (1898-2023)
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Daaah hatari kkmkPia usisahau hiyo ni hatua ya mwanzo tu kuelekea Timu kuuziwa yeye yote.
Yani jiandaeni kisaikolojia Timu kujazwa Wachezaji wabovu wa Kiengereza.
I think fatilia mipango ya Sir Jim kabla hujamuhukumu
Kwa Nini? Na Kwa Nini siyo Jasim?I speak for all united fans ,Sir Jim is the right man for this club
Ndio mpango unaokuja huo chini ya DOF Paul Mitchell.Muengereza na Mmarekani hajawahi kuwa na mipango ya kula hasara.
Waombe tu asije akabeba sera za Tajiri wa Liverpool za Sell to Buy.