Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sheikh Jassim's final offer worth almost £5 billion was rejected by the Glazer family

Sir Jim Ratcliffe is close to agreeing a deal to buy 25% of Manchester United
 
Sir Jim hakuwa na kelele Wala mbwembwe Wala wapambe

Muarabu ametumia media za kila aina ,majarida makubwa kwa madogo kupiga kampeni na kuwapa presha Grazzer family

Katumia media kumchafua Sir Jim aonekane si lolote si chochote ,


Hadi humu Jf ziliibuka ID nyingi za kumpigia kampeni Sheikh Jasim ,


Sasa mzawa Sir Jim ,mwenye uchungu na man u anaenda kupewa timu kwa 25%,

Sir Jim Ni mzawa anajua matatizo ya manjesta ,
Sio mbwembwe tu..Muarabu pesa anaweka kwelikweli..Nitajie timu inayoomilikiwa na muarabu na haifanyi vizuri ligi 5 bora za ulaya...Muarabu pesa huwa anawekeza haswaa...Kuanzia kina City,PSG wote si walikua wa kawaida vipi aliposhika usukani muarabu...Haya Newcastle walikua wanapumulia mtungi kunusurika kushuka daraja..Alivyoshika Muarabu Tazama balaa la Newcastle Tazama maboresho ya St.James Park

Wazungu akili nyiingi ila ukiwa timu wanachemsha hawa kina Tajiri miruzi wa Chelsea na huyu Sir Cliff ni walewale kina Glazzer tu...Glazzer kamuweka huyo ili ajipatie faida thats why Jasim alisema anataka kuchukua hisa zoote hakuna mambo ya 25% au ya 49% kama ya Simba(MO) na Yanga(GSM) Hata wao wanatamani kuwekeza mpunga mrefu ila wakifikiria kwenye hisa kumejaa wapigaji na wenyewe wanaamua kukaa hvyohvyo kubania pesa zao.
 
Kwa huu upumbavu wa wamiliki wa Glazer's kuwanyima watu muhimu kabisa walikoua na nia ya kuifufua hii club nakuirudisha kwenye ubora wake.

Nakwa hivi vipigo mfululizo huku timu ikiwa na wachezaji wengi mizigo, niseme tu ctaendelea kujiangaisha na hili li club kabisa.
 
We Stand With Sir Jim Ratcliffe

Hatuhitaji Wageni (Sheikh Jassim) bali tunahitaji Mzalendo (Sir Jim) ndiyo apewe Timu.
 
Yani sir Jim Katoa paundi bilion 1.3 Kwa Kununua asilimia 25 ya hisa.


Halafu mtu anataka kutoa Dola bilion 8 huku akiahidi kufuta deni la Dola milion 500 , kujenga uwanja na facilities zote ila kabaniwa.



Hii team ni ya kipumbavu saaaana.


RIP Manchester united (1898-2023)

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app

Pia usisahau hiyo ni hatua ya mwanzo tu kuelekea Timu kuuziwa yeye yote.

Yani jiandaeni kisaikolojia Timu kujazwa Wachezaji wabovu wa Kiengereza.
 
Muengereza na Mmarekani hajawahi kuwa na mipango ya kula hasara.
Waombe tu asije akabeba sera za Tajiri wa Liverpool za Sell to Buy.
Ndio mpango unaokuja huo chini ya DOF Paul Mitchell.

Kama tumeshindwa kutoboa wakati tunaspend now mambo yatakuwa magumu
 
Back
Top Bottom