Manchester United (Red Devils) | Special Thread

| BREAKING: Manchester United have sent a scout to Lisbon to closely monitor Sporting centre-back Gonçalo Inácio over the next couple of months ahead of launching a bid in January! United are prepared to trigger his £52m release 𝐜𝐥𝐚𝐮𝐬𝐞.

#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨

#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙

#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏

#𝙂𝙂𝙈𝙐


man utd |
 
Hiyo namba 4 pekee imeonesha ujinga wako ni wa kiwango gani. Kushinda mechi ya kuondolewa kabisa kwenye mashindano ni bora kuliko kushinda mechi moja ya ligi. Palace hayupo tena Carabao. Bora angeshinda ile akashindwa hii ya ligi. Pima ujinga wako kabla ya kuongea pumba. Charlz ze son conscious
 
Another 3 days, another record broken

Galatasaray hadn't scored an away goal in the CL since 2015, until Erik Ten Hag
 
***, ndio natoka usingizini muda huu tokea saa 1 nilipolala.

Nimekimbilia twitter nakutana na trends ya kutandikwa goli 3 pamoja na trends za hawa;

Onana kafanyaje,
Casemiro tena (zee la pasi mbovu]
Dalot naye vipi

Imekuwaje?
Ngoja nikimbilie youtube

Ondoa kipara, lete brendan rodgers.
Ndivyo isemavyo akili ya utawala
 
goli 30 za ligi ni goli 16 hizo nyengine zote za carabao na europa timu zenyewe omonia na sheriff hujui wafungaji wewe kutoka kwa rud van sahivi useme rashford clinical finisher ! sahivi ana goli ngapi ? mfungaji anakuwa kama huyu hojlund timu imepoteana nafasi hakuna ila akikutana nayo anatupia
 
Bado una sonona
Sina uwezo wa kutype paragraph yote iyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…