Manchester United (Red Devils) | Special Thread


It's over!

Man U 0 - 1 Crystal Palace
 
Crystal palace uyu ambae arsenal alishinda kwa tabu sana tena kwa penalty
Katoa sare na brentford
Kampiga wolves
Katoa sare na fulham
Team Kama hiyo unaeza sema ni mbovu kwel??
Yes Manchester yetu haiko vzuri lakn angalau tumeona utofauti jana

Ndugu ulikuwa sahihi kwa Palace, lakini vipi bado kwa Manchester United umeona hiyo tofauti?
 
EtH aanze kutueleza huu mpira tunaocheza ni mpira gani..
Yani mkuu hatuna style ya mpira tunayocheza na sijui hata total football kama ipo hivi... Kuna mtu anaiita haram ball...

tunakosa creativity ya kocha kwenye final third ndio maana hatufungi magoli mengi

Mda wote unaona kuna nafasi katikati lakini tunacheza side passes zisizo na maana
EtH aanze kutueleza huu mpira tunaocheza ni mpira gani..
 
Ni mwendo wa vipondo tu ,na mtajuta kushiriki epl msimu huu Fisi maji wakubwa ninyi .
 
Wanangu mi tu ningewaambia kuwa tusidanganyike na kaushindi ka jana,

Ten hag ni mmbovu.

Crystal palace ni wabovu ndio maana tuli dominate

Na walikuwa wanakabia nyuma wa mstari wa kati kati.

#TENHAGOUT
#GLAZERSOUT

Yani hii kauli yako inanipa changamoto nashindwa nikubaliane na wewe kuwa Palace ni wabovu au Man United ndiyo wabovu.
 
Hilo mnalocheza linaitwa pochetino's ball
, ni kushambulia kama hamtaki kufunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…