Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

huko tulipita siku nyingi....au ulimaanisha ARSENAL na MAN CITY? maanake hao ndio tumewaacha huko. man utd wapo LAST 8!!!

Tell him. Naona ako nyuma ya wakti
 
971165_10153927665000508_1048737614_n.jpg
 
Naamini hakuna timu inayotaka kupangwa na utd kwenye droo ya kesho, simply kwa sababu they now the underdogs but experienced underdogs. Kwa kifupi hawatabiriki na wanacheza kwa mioyo yao sio kwa vichwa vyao tena. MAN U fans get ready for suprises but do not
 
Naamini hakuna timu inayotaka kupangwa na utd kwenye droo ya kesho, simply kwa sababu they now the underdogs but experienced underdogs.

Ni kweli yanaweza kuwa kama yale ya Liverpool na Chelsea.

Njia pekee ya Man Utd kucheza Champions League msimu ujao ni kushinda champions League msimu huu.

Kama wakielekeza nguvu zao kwenye Champions League kwa kucheza kama walivyocheza jana wanaweza kutwaa kombe.

So, I won't rule them out. Halafu unless UEFA have changed the rules, patakuwa patamu kama Man Utd wakishinda Champions League huku Arsenal au Liverpool wakiwa wameshika nafasi ya nne kwenye ligi. Yaani patanoga.
 
Ni kweli yanaweza kuwa kama yale ya Liverpool na Chelsea.

Njia pekee ya Man Utd kucheza Champions League msimu ujao ni kushinda champions League msimu huu.

Kama wakielekeza nguvu zao kwenye Champions League kwa kucheza kama walivyocheza jana wanaweza kutwaa kombe.

So, I won't rule them out. Halafu unless UEFA have changed the rules, patakuwa patamu kama Man Utd wakishinda Champions League huku Arsenal au Liverpool wakiwa wameshika nafasi ya nne kwenye ligi. Yaani patanoga.

Patanoga kweli
 
Ni kweli yanaweza kuwa kama yale ya Liverpool na Chelsea.

Njia pekee ya Man Utd kucheza Champions League msimu ujao ni kushinda champions League msimu huu.

Kama wakielekeza nguvu zao kwenye Champions League kwa kucheza kama walivyocheza jana wanaweza kutwaa kombe.

So, I won't rule them out. Halafu unless UEFA have changed the rules, patakuwa patamu kama Man Utd wakishinda Champions League huku Arsenal au Liverpool wakiwa wameshika nafasi ya nne kwenye ligi. Yaani patanoga.

umesema kitaalam mkuu....ECL ni one game at a time regardless of your 'form' tofauti na ligi kwahio lolote linaweza kutokea.
sheria ya uefa iko pale pale man utd wakishinda ECL mshindi wa nne kwenye EPL ataishia EUROPA LEAGUE.
 
Binafsi naogopa sana timu za spain hasa Athletic & Barca timu zingine hazitishi sana anything can happen
 
Binafsi ningependwa tupangwe na Bayern au Dortmund ,timu nisizozitaka ni Atletico,Madrid na Chelsea
 
Mkuu EMT hata mimi ningependa iwe hivyo lakini kila nikipiga hesabu zangu najikuta nakubaliana na uhalisia kwamba MAN ya sasa chini ya Moyes hawana uwezo huo ingawa mpira unadunda chochote chaweza kutokezea.


Ni kweli yanaweza kuwa kama yale ya Liverpool na Chelsea.

Njia pekee ya Man Utd kucheza Champions League msimu ujao ni kushinda champions League msimu huu.

Kama wakielekeza nguvu zao kwenye Champions League kwa kucheza kama walivyocheza jana wanaweza kutwaa kombe.

So, I won't rule them out. Halafu unless UEFA have changed the rules, patakuwa patamu kama Man Utd wakishinda Champions League huku Arsenal au Liverpool wakiwa wameshika nafasi ya nne kwenye ligi. Yaani patanoga.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe Simba hazeeki meno bhana,3-0?duuuuh!nahisi mtapewa Madrid au PSG!
 
Binafsi mi ningependa tupangwe na either Dortmund au Chelsea...
Kwanini nataka Dortmund jibu ni dogo tu nao wanamatatizo kama yetu..hawafanyi vizuri kwenye league ya nyumbani kwao ingawa sio vibaya kulinganisha na majanga yetu tunaweza pitia humo humo...
Chelsea ni wazuri hilo halina ubishi ila ndugu wa nyumba moja wanajuana mazuri na mapungufu yao..hii na maana kwa kuwa Chelsea tuko league moja tushazoeana wanatujua mafungufu yetu na sie tunayajua mapungufu yao...tunaweza tukasimama nao..
All in all we are the biggest underdog kwa hiyo we gotta nothing to lose hatuna pressure na kama tukicheza kama juzi tunaweza kuweka upinzani wa kutosha
 
The Champions League quarter-final draw is coming up from UEFA's headquarters in Nyon, and it the first time in history that all eight group winners have progressed to this stage. There are no restrictions in the draw so Chelsea and Manchester United could be pitted together after their midweek wins.
 
Back
Top Bottom