mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Bora Onana kuliko huyo SanchezSanchez kwa Onana! wacha kuchekesha. Sachez kaokoka tangu mechi na Bornemouth
Bora Onana kuliko huyo SanchezSanchez kwa Onana! wacha kuchekesha. Sachez kaokoka tangu mechi na Bornemouth
Bayern vs man u, game ilikua tofauti sana na watu walivyofikiria
Dakika 15-20 za mwanzo man u aliishika vizuri kabisa game.
Ata Bayern walipopata rhymes yao, still man u walikua bado wapo mchezoni
4-3
Ina maana Bayern alikua anafungika vizuri tu
Rashford anakosa sifa za kuitwa mchezaji mkubwa kwasababu ana mapepe Sana, na anachosahau kwa Sasa yeye ndio wakuibeba timu katika mechi Kama hizi
Kiungo ya man u, inakata Moto mapema sana, sababu ni umri
Mentality ya wachezaji ipo chini, hii inawafanya team kuwa underdog mchezoni
Pundits wangekuwa wanaenda mazoezini kutoa hamasa na sio kuishambulia timu kwenye media ingekua vizuri sana
Ten hag angemaliza tofauti zake na Sancho, asimame Kama baba, mtoto akinyea mkono hatuukati
Kuna uwezekano mkubwa Antony, amrabat, Sancho, mount, maino wangekuwepo Jana Mambo yangekua tofauti
Ndio maana shabiki wa man u aliesema Hawa wakija OT hawatoki, nilimuelewa Sana
Man u wamekosa nafasi nyingi, na wameshindwa kuzitumia nafasi nyingi kuliko hayo makosa ya Onana
Timu yenu inahitaji vitu viatau: utulivu, morali iwe juu, strong mentality
Kama unafatilia mpira vizuri, ni rahisi man u ku-bounce back kuliko chelaea
Bayern anakikosi kizuri wanakosa chemistry nzuri
Au wanakikosi Cha kawawaida lakini wanacheza kwa amsha-amsha tu
Au mentality ya kuwa timu kubwa bado wanaitumia vizuri
Ile Bayern akicheza na Brighton, anakufa vizuri tu



Huyu ndio mkorea yuleyule ninaemjua mimi? 



Leo kwa mara ya kwanza nimeona umeshusha nondo za kweli big up sana mkorea.Bayern vs man u, game ilikua tofauti sana na watu walivyofikiria
Dakika 15-20 za mwanzo man u aliishika vizuri kabisa game.
Ata Bayern walipopata rhymes yao, still man u walikua bado wapo mchezoni
4-3
Ina maana Bayern alikua anafungika vizuri tu
Rashford anakosa sifa za kuitwa mchezaji mkubwa kwasababu ana mapepe Sana, na anachosahau kwa Sasa yeye ndio wakuibeba timu katika mechi Kama hizi
Kiungo ya man u, inakata Moto mapema sana, sababu ni umri
Mentality ya wachezaji ipo chini, hii inawafanya team kuwa underdog mchezoni
Pundits wangekuwa wanaenda mazoezini kutoa hamasa na sio kuishambulia timu kwenye media ingekua vizuri sana
Ten hag angemaliza tofauti zake na Sancho, asimame Kama baba, mtoto akinyea mkono hatuukati
Kuna uwezekano mkubwa Antony, amrabat, Sancho, mount, maino wangekuwepo Jana Mambo yangekua tofauti
Ndio maana shabiki wa man u aliesema Hawa wakija OT hawatoki, nilimuelewa Sana
Man u wamekosa nafasi nyingi, na wameshindwa kuzitumia nafasi nyingi kuliko hayo makosa ya Onana
Timu yenu inahitaji vitu viatau: utulivu, morali iwe juu, strong mentality
Kama unafatilia mpira vizuri, ni rahisi man u ku-bounce back kuliko chelsea
Bayern anakikosi kizuri wanakosa chemistry nzuri
Au wanakikosi Cha kawawaida lakini wanacheza kwa amsha-amsha tu
Au mentality ya kuwa timu kubwa bado wanaitumia vizuri
Ile Bayern akicheza na Brighton, anakufa vizuri tu
Jamaa kashusha nondo za ukweli sana.Huyu ndio mkorea yuleyule ninaemjua mimi?
Hii chambuzi kama ya 3 hivi naiona kutoka kwako ukiongelea Man Utd positive pamoja na matokeo yetu kua mabovu.
Hongera sana Mkuu naona akili yako imeanza kupevuka, chambuzi kama hizi kutoka kwa mtani wako wa jadi hua zinaongeza matumaini ya kuishi kwa watu waliojikatia tamaa kupunguza suicide rates in sports
Nimependa zaidi hapo uliposhauri kua Pundits wangekuwa wanaenda mazoezini kutoa hamasa na sio kuishambulia timu kwenye media.
Ushabiki katika kuchangamshana tuHuyu ndio mkorea yuleyule ninaemjua mimi?
Hii chambuzi kama ya 3 hivi naiona kutoka kwako ukiongelea Man Utd positive pamoja na matokeo yetu kua mabovu.
Hongera sana Mkuu naona akili yako imeanza kupevuka, chambuzi kama hizi kutoka kwa mtani wako wa jadi hua zinaongeza matumaini ya kuishi kwa watu waliojikatia tamaa pia inasaidia kupunguza suicide rates in sports
Nimependa zaidi hapo uliposhauri kua Pundits wangekuwa wanaenda mazoezini kutoa hamasa na sio kuishambulia timu kwenye media.


Madrid wamedumazwa na Upuuzi wa Kumfatilia Mbappe kipindi chote cha usajili, Mpk usajili umefungwa na Sasa Wameingia kwenye msimu Bila Namba 9,Nawashangaa ,hawajui baryen ya Sasa Ni ovyo Sana ,juzi hapa wamekimbizwa na kina Xhaka ,
Narudia Tena baryen,Madrid sio Timu tishio kwasasa
Wanaoendelea kuamini katika majina waendelee
Madrid sio kila siku Jude atawaokoa dk za mwisho
👍
Ushabiki katika kuchangamshana tu
Sometimes ushabiki tunauweka pembeni, tunaongea uhalisia![]()



Kabisa mkuu, Masingeli yeye anajiita mchambuzi lakini chambuzi zake zimejaa ushabiki mwanzo mwisho hataki kabisa kuzungumzia uhalisia wa mambo anakua hana tofatauti yoyote na kina Flano Kwanin usinge jiita jina la huyo jamaa kwenye picha kama sikosei ni daegil kwe slave hunterUshabiki katika kuchangamshana tu
Sometimes ushabiki tunauweka pembeni, tunaongea uhalisia![]()
Huyu mkorea nakumbuka hilo jina ameanza kujiita kitambo mno kabla hata ya ujio wa hizo tamthilia za kikorea.Kwanin usinge jiita jina la huyo jamaa kwenye picha kama sikosei ni daegil kwe slave hunter
Ingekua guda Sana, Ila twende na hili hili mkoreaKwanin usinge jiita jina la huyo jamaa kwenye picha kama sikosei ni daegil kwe slave hunter


Una sifa 100% yakuitwa mchambuzi hauna mihemko wala premature thoughs zaki rivalry ( ushabiki) kiufupi upo un biased itakufanya uwe mtu ndani ya watu na wengi watajifunza mengi toka kwakoBayern vs man u, game ilikua tofauti sana na watu walivyofikiria
Dakika 15-20 za mwanzo man u aliishika vizuri kabisa game.
Ata Bayern walipopata rhymes yao, still man u walikua bado wapo mchezoni
4-3
Ina maana Bayern alikua anafungika vizuri tu
Rashford anakosa sifa za kuitwa mchezaji mkubwa kwasababu ana mapepe Sana, na anachosahau kwa Sasa yeye ndio wakuibeba timu katika mechi Kama hizi
Kiungo ya man u, inakata Moto mapema sana, sababu ni umri
Mentality ya wachezaji ipo chini, hii inawafanya team kuwa underdog mchezoni
Pundits wangekuwa wanaenda mazoezini kutoa hamasa na sio kuishambulia timu kwenye media ingekua vizuri sana
Ten hag angemaliza tofauti zake na Sancho, asimame Kama baba, mtoto akinyea mkono hatuukati
Kuna uwezekano mkubwa Antony, amrabat, Sancho, mount, maino wangekuwepo Jana Mambo yangekua tofauti
Ndio maana shabiki wa man u aliesema Hawa wakija OT hawatoki, nilimuelewa Sana
Man u wamekosa nafasi nyingi, na wameshindwa kuzitumia nafasi nyingi kuliko hayo makosa ya Onana
Timu yenu inahitaji vitu viatau: utulivu, morali iwe juu, strong mentality
Kama unafatilia mpira vizuri, ni rahisi man u ku-bounce back kuliko chelsea
Bayern anakikosi kizuri wanakosa chemistry nzuri
Au wanakikosi Cha kawawaida lakini wanacheza kwa amsha-amsha tu
Au mentality ya kuwa timu kubwa bado wanaitumia vizuri
Ile Bayern akicheza na Brighton, anakufa vizuri tu
