Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Oy manyumbu, kwani Jana Kipa wa mpira (Omama), kazingua nini mbona anatrend?
F6fxpj1WIAAfD4w.jpeg
 
Bayern vs man u, game ilikua tofauti sana na watu walivyofikiria
Dakika 15-20 za mwanzo man u aliishika vizuri kabisa game.
Ata Bayern walipopata rhymes yao, still man u walikua bado wapo mchezoni

4-3
Ina maana Bayern alikua anafungika vizuri tu
Rashford anakosa sifa za kuitwa mchezaji mkubwa kwasababu ana mapepe Sana, na anachosahau kwa Sasa yeye ndio wakuibeba timu katika mechi Kama hizi

Kiungo ya man u, inakata Moto mapema sana, sababu ni umri

Mentality ya wachezaji ipo chini, hii inawafanya team kuwa underdog mchezoni

Pundits wangekuwa wanaenda mazoezini kutoa hamasa na sio kuishambulia timu kwenye media ingekua vizuri sana

Ten hag angemaliza tofauti zake na Sancho, asimame Kama baba, mtoto akinyea mkono hatuukati

Kuna uwezekano mkubwa Antony, amrabat, Sancho, mount, maino wangekuwepo Jana Mambo yangekua tofauti
Ndio maana shabiki wa man u aliesema Hawa wakija OT hawatoki, nilimuelewa Sana

Man u wamekosa nafasi nyingi, na wameshindwa kuzitumia nafasi nyingi kuliko hayo makosa ya Onana

Timu yenu inahitaji vitu viatau: utulivu, morali iwe juu, strong mentality
Kama unafatilia mpira vizuri, ni rahisi man u ku-bounce back kuliko chelsea

Bayern anakikosi kizuri wanakosa chemistry nzuri
Au wanakikosi Cha kawawaida lakini wanacheza kwa amsha-amsha tu
Au mentality ya kuwa timu kubwa bado wanaitumia vizuri

Ile Bayern akicheza na Brighton, anakufa vizuri tu
Una sifa 100% yakuitwa mchambuzi hauna mihemko wala premature thoughs zaki rivalry ( ushabiki) kiufupi upo un biased itakufanya uwe mtu ndani ya watu na wengi watajifunza mengi toka kwako

Wengine tungechambua hii mechi ila its just kuna influence flani ya umanishaji tuko vibaya sana kuliko uhalisia

Man utd problems
1 injuries especially defense and midfield
2 improvement in goal keeping ( shot stooping)
3 unsettled dressing room ( ego from both players and coach)
4 poor management.. In some sancho & Antony case is
5 Delusional fans & stubborness of coach sometimes

#we trust ETH
 
DDG ni moja ya Best Shot Stopper Ever EPL, Best kwenye Positioning anaeza kuwa Petr Cech na Best in Commanding their Area nadhani Schmeichel na Seamen.
Madrid ilipata Pigo la Thibaut lakini Haikumwangalia DDG, Bayern haikuwa na kipa na Sommer aliondoka lakini haikuangaika na DDG Ikaenda Israel jiokotea.

DDG, UTD Mpka Bonus anakula ~400k Kwa wiki. Waarabu na Kuokota kwao wamempita kama hawamwoni na amekuwa Free Agent kitambo tu. Magoli anafungwa Onana, DDG kakaribishwa nayo Community Shield na Dzeko na anayo Mengi sana ya aina Hiyo tena Hatua Muhimu Zaidi Wembley, Kapigwa na Mount F.A juzi tu tena F.A kapigwa na Gundo. Hii haialalishi Makosa ya Onana lakini namna inawekwa kama DDG Haijawahi mtokea. Goalie wako akiwa "Player of the Season" kuna Shida kubwa

Msimu Jana Newcastle wanasema Game Plan yao ilikuwa ni Kum-Press DDG Aggressively ili apige Long Ball sababu footwork sio nzuri na wao Physicality walikuwa vyema kuliko UTD so Second Balls nyingi wali-win. Kipindi hiki timu nyingi zimegundua Onana ni Press Resistant njia Pekee imekuwa ya kuiadhibu UTD ni kupitia FB's na kufanya Transition ya watu wengi kukimbilia kwenye Box zile "Late Run" na ndo mana Goli nyingi zinafanana. Solution Ipo kwa wiki zinazokuja.
 
Mmeacha Shot stopper mmekimbilia kwa kipa ambaye ni mzr zaid kwny footwork.

Mlivo wa ajab mtafikir Uwa mnacheza aina iyo ya mpr had muwe na uhitaj na Onana.. Mpr wenu wa kuunga unga hlf ETH na yy alivo hana aibu amejificha bd kwny injuries wkt ukiangalia team haujui hata inacheza brand ipi ya mpr.

Mwsho wa siku onana anaonekana na yy hana lolote kwa sbb mda wote nyie team yenu inapigwa msako tu.

Sema anguko lenu kiukwl ni zuri na nyie mpitie heka heka kwa mda mrefu
 
Kabisa mkuu, Masingeli yeye anajiita mchambuzi lakini chambuzi zake zimejaa ushabiki mwanzo mwisho hataki kabisa kuzungumzia uhalisia wa mambo anakua hana tofatauti yoyote na kina Flano
Ethics za uchambuzi unatakiwa usiwe biased, hivyo vitu ndio vinamfanya Geoge Ambangile akubalike na mashabiki wa timu zote katika chambuzi zake sio kama kina Edo Kumwembe ambao kweli mpira wanaujua ila wameamua tu kwa makusudi kujifanya ni comedians.
Sasa Ambangile Mimi ndiye mentor wake ,hivi unadhani hili jina la mchambuzi nguli lilikuja hivi hivi tu

Ungejua Ambangile anachukua madini mengi kwangu ,ungenipa heshima yangu

Hivi Nani aliyeawaambia ukweli humu kuhusu uwezo wa 7hag kama sio Mimi

Simlikuwa mnadanganyana humu 7hag ana uwezo ,

Nikawaambia hana playing style Hana brand ya kisasa ya football

Nan aliyewaambia humu kuhusu 7hag kuwa Dalali ndani ya manjesta had juz imejulikana ana kampuni lake la Udalali na mwanae NIGEL Ni mfanyakazi
 
Paul Scholes on #mufc:

"I think they are a cup team. They can possibly win the FA Cup, they can possibly win the EFL Cup, but they are not at this level [UCL] yet."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Casemiro’s game by numbers vs. Bayern Munich:

85% pass accuracy
49 touches
34/40 passes completed
3 ground duels won
3 tackles won
2 goals
1 key pass

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Manchester United’s next five games:

-Burnley (A)
-Crystal Palace (H)
-Crystal Palace (H)
-Galatasaray (H)
-Brentford (H)

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230921_141659_283.jpg
 
Group A - UCL

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230921_141712_076.jpg
 
Back
Top Bottom