Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Sorry mkuu Why nashindw aku acces jukwaa la arsenal kutumia app?Nawashangaa ,hawajui baryen ya Sasa Ni ovyo Sana ,juzi hapa wamekimbizwa na kina Xhaka ,
Narudia Tena baryen,Madrid sio Timu tishio kwasasa
Wanaoendelea kuamini katika majina waendelee
Madrid sio kila siku Jude atawaokoa dk za mwisho
Sasa Ambangile Mimi ndiye mentor wake ,hivi unadhani hili jina la mchambuzi nguli lilikuja hivi hivi tuKabisa mkuu, Masingeli yeye anajiita mchambuzi lakini chambuzi zake zimejaa ushabiki mwanzo mwisho hataki kabisa kuzungumzia uhalisia wa mambo anakua hana tofatauti yoyote na kina Flano
Ethics za uchambuzi unatakiwa usiwe biased, hivyo vitu ndio vinamfanya Geoge Ambangile akubalike na mashabiki wa timu zote katika chambuzi zake sio kama kina Edo Kumwembe ambao kweli mpira wanaujua ila wameamua tu kwa makusudi kujifanya ni comedians.
JF Sasa inasumbua, Kuna muda linakubali Kuna muda linakataa, ni majukwaa yote ya soka, yanatofautiana muda tuSorry mkuu Why nashindw aku acces jukwaa la arsenal kutumia app?
Kuna mtu alishawai kusema Kuwa DDG alikuwa stopper wa matitizo aliyoyatengeneza mwenyewe yanayotokana na press kutoka kwa wapinzani wakiwa na mpira...... kama jana ile mipira inayolud kwa kipa ingekuwa inapigwa hovyo na kukuta kiungo ya Bayern tungekufa nyingi kutokana na style yao ya ushambuliajiDDG ni moja ya Best Shot Stopper Ever EPL, Best kwenye Positioning anaeza kuwa Petr Cech na Best in Commanding their Area nadhani Schmeichel na Seamen.
Madrid ilipata Pigo la Thibaut lakini Haikumwangalia DDG, Bayern haikuwa na kipa na Sommer aliondoka lakini haikuangaika na DDG Ikaenda Israel jiokotea.
DDG, UTD Mpka Bonus anakula ~400k Kwa wiki. Waarabu na Kuokota kwao wamempita kama hawamwoni na amekuwa Free Agent kitambo tu. Magoli anafungwa Onana, DDG kakaribishwa nayo Community Shield na Dzeko na anayo Mengi sana ya aina Hiyo tena Hatua Muhimu Zaidi Wembley, Kapigwa na Mount F.A juzi tu tena F.A kapigwa na Gundo. Hii haialalishi Makosa ya Onana lakini namna inawekwa kama DDG Haijawahi mtokea. Goalie wako akiwa "Player of the Season" kuna Shida kubwa
Msimu Jana Newcastle wanasema Game Plan yao ilikuwa ni Kum-Press DDG Aggressively ili apige Long Ball sababu footwork sio nzuri na wao Physicality walikuwa vyema kuliko UTD so Second Balls nyingi wali-win. Kipindi hiki timu nyingi zimegundua Onana ni Press Resistant njia Pekee imekuwa ya kuiadhibu UTD ni kupitia FB's na kufanya Transition ya watu wengi kukimbilia kwenye Box zile "Late Run" na ndo mana Goli nyingi zinafanana. Solution Ipo kwa wiki zinazokuja.
Nyakati zinabadilika lazima tukubali DDG alikuwa sehemu ya Tatizo na namna Bora ni kila mtu kuchukua njia yake. Sancho naye anabidi afanye zaidi uwanjani kuliko kwenye mitandao ya Kijamii.Kuna mtu alishawai kusema Kuwa DDG alikuwa stopper wa matitizo aliyoyatengeneza mwenyewe yanayotokana na press kutoka kwa wapinzani wakiwa na mpira kama jana ile mipira inayolud kwa kipa ingekuwa inapigwa hovyo na kukuta kiungo ya Bayern tungekufa nyingi kutokana na style yao ya ushambuliaji
I hope you mean ERAErrors comes to end
😀😀😀 no, he means errors. He's lampooning 7hag's 'Eras come to an end".I hope you mean ERA