Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

7hag anasubiri kushinda kwa Miujiza


Next Burney Hawa wanaweka mpira chini

Bado sijaona manjesta yakubeba points 3 kwa Burney

Hii mechi Ni Sare ,hamtafungwa
 
Yani manyumbu yamefikia stage yanaona Raha na wapo juu kimpira kufungwa na Bayern iliyojichokea kisa kwenye goli 4 wamerudisha 3, so sad. One man down
 
Hivi wewe huwa unituzama mpira gani? Onana anayomapungufu yake ya kibidam kama alivyokuwa De gea, kwa magoli anayofungwa Onana kipa yeyete yule ata awe bora vipi anafugwa. Tunafungwa magoli ambayo mfungaji anakuwa huru na kuchagua wapi ashoot yaani hakuna block wala interference anayofanyiwa na beki zetu. Hivi sasa tumekuwa na beki mbovu nadhani kuliko msimu wowote tangu niwafahamu utd. Kama nikustop mashut tumeona Onana anstop shoot nyingi tu. Majeruhi ya beki zetu huwenda ndio yanatugharimu kwa kiasi kikubwa Nilichofurahi leo angalau timu imeanza kupata magoli kupitia straiker sio viungo na mabeki pekee.
Onana kakubali Mwenyewe goli la kwanza ni makosa yake alafu we unakuja kumtetea hapa, una ajenda gani ya siri nae? Lile shuti hata mtoto wa darasa la kwanza anadaka

Unasema hii ndio beki mbovu ya Manchester? Tulishawahi kuwa na back four ya Blind, phill Jones, Smalling na Valencia, mbele yao kuna Fellain, Carrick na Herrera unless umeanza kuifuatilia Manchester sababu ya betting.

Kipindi cha Van gaal karibu kila mechi ddg anakua MoM sioni hii ikitokea kwa Onana, unapigiwa mashuti 15 mashuti 10 yanakua goli.
 
MATOKEO HAYAKUPI PICHA HALISI

Mtu akiona matokeo anaweza kuhisi mechi ilikuwa tight sana lakini ni Bayern ambao wakiamua kufunga basi unaona goli lileeee linakuja . United wakifunga basi Bayern kama vile wanasema " tunakuja kufunga goli letu tena " BANG .!

United walianza mchezo vizuri jinsi walivyokuwa wana press na kuwalazimisha Bayern kupoteza mipira hasa pale walipokuwa wanataka kutoka nyuma

1: Bayern walikuwa wanafanya build up na 2-3 ( Upamecano na Kim ) nyuma na mstari wa Laimer Kimmich na Davies

2: Lakini United walikuwa wanafanya pressing kwa 4-1-4-1 Hojlund anafunga njia ya pasi kwa Kimmich huku Rashy na Pellistri kwa Fullbacks wote wa Bayern : Bruno na Eriksen wanafunga njia za pasi zinazopita kwenye halfspaces zote mbili kwasababu ya Musiala na Goretzka .

Bayern baada ya kutulia na kuanza kupasia mpira vizuri , ndio shida ilipoanza kwa United

1: Musiala anakuwa maeneo ambayo anajua Casemiro na Eriksen hawawezi kufika na anajua akishapata mpira ni rahisi kupita katikati yao

2: Kane anashuka chini kidogo ili kufanya kazi ya Lisandro na Lindelof kuwa ngumu , kwasababu wakimfuata wanaacha space nyuma yao kwa Sane na Gnabry kuishambulia , wasipomfuata anapokea mpira na kupiga pasi kwa wingers wake

Aina ya magoli ambayo United wanaruhusu yanafanana sana msimu huu

1: Goli la pili dhidi ya Spurs
2: Goli la Martin Odegaard
3: Magoli yote ya Brighton
4: Goli la Gnabry

Yanafanana nini ? United wanashida sana ya kukimbia na runners wa timu pinzani ( tracking runners ) , cutbacks zinawafunga sana United msimu huu na timu zinajua hilo . Casemiro na Eriksen pamoja kwenye kiungo bila mpira ?

NOTE

1: Jamal Musiala kawapika sana viungo wa United

2: Kimmich muda wote anapicha kichwani kwake nini kinaendelea na nini afanye

3: Bayern bila mpira wanaacha space nyingi sana ni wewe tu kuwapa adhabu kama unataka

4: Goli la nne la Bayern , pasi , movement na finishing

5: Andre Onana wakati anaopitia sasa hivi

6: Man United katika mechi 5 zilizopita wameruhusu magoli 14

7: Kufunga magoli 3 ugenini na bado hujashinda mechi

FT: Bayern 4-3 Man United

#Ambangile

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Uchambuzi mzur mno kaka unatusaidia amabao hatujaangalia mechi
 
Onana kakubali Mwenyewe goli la kwanza ni makosa yake alafu we unakuja kumtetea hapa, una ajenda gani ya siri nae? Lile shuti hata mtoto wa darasa la kwanza anadaka

Unasema hii ndio beki mbovu ya Manchester? Tulishawahi kuwa na back four ya Blind, phill Jones, Smalling na Valencia, mbele yao kuna Fellain, Carrick na Herrera unless umeanza kuifuatilia Manchester sababu ya betting.

Kipindi cha Van gaal karibu kila mechi ddg anakua MoM sioni hii ikitokea kwa Onana, unapigiwa mashuti 15 mashuti 10 yanakua goli.
Upo sahihi
 
Yani manyumbu yamefikia stage yanaona Raha na wapo juu kimpira kufungwa na Bayern iliyojichokea kisa kwenye goli 4 wamerudisha 3, so sad. One man down
Nawashangaa ,hawajui baryen ya Sasa Ni ovyo Sana ,juzi hapa wamekimbizwa na kina Xhaka ,

Narudia Tena baryen,Madrid sio Timu tishio kwasasa

Wanaoendelea kuamini katika majina waendelee

Madrid sio kila siku Jude atawaokoa dk za mwisho
 
Usajili wa mchezaji ambao Chelsea daima watafurahi kuukwepa msimu uliopita wa kiangazi ni huu wa Andre Onana
1695266661854.png
 
Nawashangaa ,hawajui baryen ya Sasa Ni ovyo Sana ,juzi hapa wamekimbizwa na kina Xhaka ,

Narudia Tena baryen,Madrid sio Timu tishio kwasasa

Wanaoendelea kuamini katika majina waendelee

Madrid sio kila siku Jude atawaokoa dk za mwisho
Hakuna timu ya mpira hapa
 
Bayern vs man u, game ilikua tofauti sana na watu walivyofikiria
Dakika 15-20 za mwanzo man u aliishika vizuri kabisa game.
Ata Bayern walipopata rhymes yao, still man u walikua bado wapo mchezoni

4-3
Ina maana Bayern alikua anafungika vizuri tu
Rashford anakosa sifa za kuitwa mchezaji mkubwa kwasababu ana mapepe Sana, na anachosahau kwa Sasa yeye ndio wakuibeba timu katika mechi Kama hizi

Kiungo ya man u, inakata Moto mapema sana, sababu ni umri

Mentality ya wachezaji ipo chini, hii inawafanya team kuwa underdog mchezoni

Pundits wangekuwa wanaenda mazoezini kutoa hamasa na sio kuishambulia timu kwenye media ingekua vizuri sana

Ten hag angemaliza tofauti zake na Sancho, asimame Kama baba, mtoto akinyea mkono hatuukati

Kuna uwezekano mkubwa Antony, amrabat, Sancho, mount, maino wangekuwepo Jana Mambo yangekua tofauti
Ndio maana shabiki wa man u aliesema Hawa wakija OT hawatoki, nilimuelewa Sana

Man u wamekosa nafasi nyingi, na wameshindwa kuzitumia nafasi nyingi kuliko hayo makosa ya Onana

Timu yenu inahitaji vitu viatau: utulivu, morali iwe juu, strong mentality
Kama unafatilia mpira vizuri, ni rahisi man u ku-bounce back kuliko chelsea

Bayern anakikosi kizuri wanakosa chemistry nzuri
Au wanakikosi Cha kawawaida lakini wanacheza kwa amsha-amsha tu
Au mentality ya kuwa timu kubwa bado wanaitumia vizuri

Ile Bayern akicheza na Brighton, anakufa vizuri tu
 
MATOKEO HAYAKUPI PICHA HALISI

Mtu akiona matokeo anaweza kuhisi mechi ilikuwa tight sana lakini ni Bayern ambao wakiamua kufunga basi unaona goli lileeee linakuja . United wakifunga basi Bayern kama vile wanasema " tunakuja kufunga goli letu tena " BANG .!

United walianza mchezo vizuri jinsi walivyokuwa wana press na kuwalazimisha Bayern kupoteza mipira hasa pale walipokuwa wanataka kutoka nyuma

1: Bayern walikuwa wanafanya build up na 2-3 ( Upamecano na Kim ) nyuma na mstari wa Laimer Kimmich na Davies

2: Lakini United walikuwa wanafanya pressing kwa 4-1-4-1 Hojlund anafunga njia ya pasi kwa Kimmich huku Rashy na Pellistri kwa Fullbacks wote wa Bayern : Bruno na Eriksen wanafunga njia za pasi zinazopita kwenye halfspaces zote mbili kwasababu ya Musiala na Goretzka .

Bayern baada ya kutulia na kuanza kupasia mpira vizuri , ndio shida ilipoanza kwa United

1: Musiala anakuwa maeneo ambayo anajua Casemiro na Eriksen hawawezi kufika na anajua akishapata mpira ni rahisi kupita katikati yao

2: Kane anashuka chini kidogo ili kufanya kazi ya Lisandro na Lindelof kuwa ngumu , kwasababu wakimfuata wanaacha space nyuma yao kwa Sane na Gnabry kuishambulia , wasipomfuata anapokea mpira na kupiga pasi kwa wingers wake

Aina ya magoli ambayo United wanaruhusu yanafanana sana msimu huu

1: Goli la pili dhidi ya Spurs
2: Goli la Martin Odegaard
3: Magoli yote ya Brighton
4: Goli la Gnabry

Yanafanana nini ? United wanashida sana ya kukimbia na runners wa timu pinzani ( tracking runners ) , cutbacks zinawafunga sana United msimu huu na timu zinajua hilo . Casemiro na Eriksen pamoja kwenye kiungo bila mpira ?

NOTE

1: Jamal Musiala kawapika sana viungo wa United

2: Kimmich muda wote anapicha kichwani kwake nini kinaendelea na nini afanye

3: Bayern bila mpira wanaacha space nyingi sana ni wewe tu kuwapa adhabu kama unataka

4: Goli la nne la Bayern , pasi , movement na finishing

5: Andre Onana wakati anaopitia sasa hivi

6: Man United katika mechi 5 zilizopita wameruhusu magoli 14

7: Kufunga magoli 3 ugenini na bado hujashinda mechi

FT: Bayern 4-3 Man United

#Ambangile

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Ujuaji as usual
 
Bayern vs man u, game ilikua tofauti sana na watu walivyofikiria
Dakika 15-20 za mwanzo man u aliishika vizuri kabisa game.
Ata Bayern walipopata rhymes yao, still man u walikua bado wapo mchezoni

4-3
Ina maana Bayern alikua anafungika vizuri tu
Rashford anakosa sifa za kuitwa mchezaji mkubwa kwasababu ana mapepe Sana, na anachosahau kwa Sasa yeye ndio wakuibeba timu katika mechi Kama hizi

Kiungo ya man u, inakata Moto mapema sana, sababu ni umri

Mentality ya wachezaji ipo chini, hii inawafanya team kuwa underdog mchezoni

Pundits wangekuwa wanaenda mazoezini kutoa hamasa na sio kuishambulia timu kwenye media ingekua vizuri sana

Ten hag angemaliza tofauti zake na Sancho, asimame Kama baba, mtoto akinyea mkono hatuukati

Kuna uwezekano mkubwa Antony, amrabat, Sancho, mount, maino wangekuwepo Jana Mambo yangekua tofauti
Ndio maana shabiki wa man u aliesema Hawa wakija OT hawatoki, nilimuelewa Sana

Man u wamekosa nafasi nyingi, na wameshindwa kuzitumia nafasi nyingi kuliko hayo makosa ya Onana

Timu yenu inahitaji vitu viatau: utulivu, morali iwe juu, strong mentality
Kama unafatilia mpira vizuri, ni rahisi man u ku-bounce back kuliko chelaea

Bayern anakikosi kizuri wanakosa chemistry nzuri
Au wanakikosi Cha kawawaida lakini wanacheza kwa amsha-amsha tu
Au mentality ya kuwa timu kubwa bado wanaitumia vizuri

Ile Bayern akicheza na Brighton, anakufa vizuri tu
Rashford akiamua kutafta goli lawama ,akiamua atoe Pasi lawama , wachambuzi wa mchongo mnazingua sana
 
Back
Top Bottom