Nyambeho
Member
- Feb 23, 2022
- 19
- 30
Mwamba mbn yupo saw 2Kamata, inua, makofi, fimbo, mitama, garagaza, chinja, ua, malizaaa
Mwamba mbn yupo saw 2Kamata, inua, makofi, fimbo, mitama, garagaza, chinja, ua, malizaaa

Andre Onana: "My start in Manchester is not so good. Today is one of my worst games. It was a big opportunity for us to bounce back from the pressure we’re facing, but it’s tough. We have to be together."






Rio Ferdinand on Andrè Onana's post-match interview:



























vs. Young Boys
vs. Villarreal
vs. Atalanta
vs. Atalanta
vs. Villarreal
vs. Atleti
vs. Atleti
vs. Bayern







Hivi VITAKWIMU vyako vya kisenge vinasaidia nini sasa KENGE weweManchester United are struggling
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2756449
Hivi wewe huwa unituzama mpira gani? Onana anayomapungufu yake ya kibinadam kama alivyokuwa De gea, kwa magoli anayofungwa Onana kipa yeyete yule ata awe bora vipi anafugwa. Tunafungwa magoli ambayo mfungaji anakuwa huru na kuchagua wapi ashoot yaani hakuna block wala interference anayofanyiwa na beki zetu. Hivi sasa tumekuwa na beki mbovu nadhani kuliko msimu wowote tangu niwafahamu utd. Kama nikustop mashut tumeona Onana anstop shoot nyingi tu. Majeruhi ya beki zetu huwenda ndio yanatugharimu kwa kiasi kikubwa Nilichofurahi leo angalau timu imeanza kupata magoli kupitia straiker sio viungo na mabeki pekee.Vp bado huna wasiwasi na uwezo wa onana?