Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio kwamba manjesta ilikuwa haishambuliwi alivyokuw de gea,ni kwamba jamaa alikuwa anapunguza sana idadi ya magoli,kwenye tatu mnaweza pigwa moja.timu ni ile ile matatizo ni yale yale tofauti ni kipa tu golini
 
IMG-20230920-WA0405.jpg
kwani hairuhusiwi kutoa timu uwanjani?
 
Back
Top Bottom