Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1695239596560.png
 
Mashabiki lawama wameshaanza hawaoni kuwa sasa kiuchezaji tumeiprove sana na mpira tunautawala kwa ujio wa Onana kwa sasa tumekosa straiker wa kuja kuleta hatari kule mbele na kutuliza timu. Sina wasi wasi na uwezo wa Onana tangu nimeanza kumfuatilia.
Vp bado huna wasiwasi na uwezo wa onana?
 
Kocha ni kiazi sana huyu. Kiungo cha wastaafu kila mecho anawapanga na hakuna matumaini yoyoye. Bichwa lake kama papai.
 
Juzi niliandika hapa kuwa tunaenda pre season hatuna GK, hatuna striker, hatuna RB wala LB, katikati tuna Casemiro pekee, kuna Mwendawazimu mmoja alikuja juu sana kwamba tayari tumesha msajili Onana, kiko wapi?????? Leo tuna Leeds
Two months later, bado hatuna golikipa
 
Back
Top Bottom