Nan kasema kibonde,Arsenal wamepata kibonde huko wamempiga tatu
I told yaKazi ya Onana sio kufanya tuutawale mpira, kazi ya Onana ni kuzuia mpira usiingie wavuni, so far kwa hizi mechi mbili alizocheza kashindwa kutekeleza majukumu yake
Vp bado huna wasiwasi na uwezo wa onana?Mashabiki lawama wameshaanza hawaoni kuwa sasa kiuchezaji tumeiprove sana na mpira tunautawala kwa ujio wa Onana kwa sasa tumekosa straiker wa kuja kuleta hatari kule mbele na kutuliza timu. Sina wasi wasi na uwezo wa Onana tangu nimeanza kumfuatilia.
Goal la pili LINDELOF kaishia kuweka mikono nyuma anatizama mpira unampita unaenda kwa GNABRYMabeki wanaruka ruka uwanjani mnamlaumu kipa
Mwanangu wanakuona mamluki lakin Kupitia onana ,mnaweza gombea kushuka darajaI told ya
Two months later, bado hatuna golikipaJuzi niliandika hapa kuwa tunaenda pre season hatuna GK, hatuna striker, hatuna RB wala LB, katikati tuna Casemiro pekee, kuna Mwendawazimu mmoja alikuja juu sana kwamba tayari tumesha msajili Onana, kiko wapi?????? Leo tuna Leeds
Bado hamjasemaHatuna timu

Acha tuendelee kupigwa akili itukae sawaMwanangu wanakuona mamluki lakin Kupitia onana ,mnaweza gombea kushuka daraja
Hata ukienda kulala haita badilisha matokeo, endelea kuangalia utumbo mliokua mnauteteaUjinga mtupu..ngoja tu nilale