hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
ETH siku zake zinahesabika , hakuna dalili yaku install mpira wakuelewekaSoon and very soooon, dalili ya mvua ni mawingu
View attachment 2755927
Kwasasa imejulikana kumbe Ni dalali tu ana kampuni yake na mwanae anafanya kazi humo ,kazi zao kufanikisha wachezaji Wakiholanzi au waliowahi kupita Ligi ya uholanzi
7hag hata akifukuzwa Hana chakupoteza kashavuna pesa mingi kupitia kampuni lake la Udalali SGE
Ten Hag’s message to the #mufc players: 


wakubaliane na hali tu, waache leo ipite