Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Soon and very soooon, dalili ya mvua ni mawingu
View attachment 2755927
ETH siku zake zinahesabika , hakuna dalili yaku install mpira wakueleweka

Kwasasa imejulikana kumbe Ni dalali tu ana kampuni yake na mwanae anafanya kazi humo ,kazi zao kufanikisha wachezaji Wakiholanzi au waliowahi kupita Ligi ya uholanzi

7hag hata akifukuzwa Hana chakupoteza kashavuna pesa mingi kupitia kampuni lake la Udalali SGE
 
IMG_5196.jpg
 
Kwa wanavyocheza vile hata kukaa na mpira hawawezi, wanaweza kupigwa 6-0 kweli

Sifa za timu kubwa haijalishi mnachezaje ,kaa na mpira Basi

Brighton Kuna Goli wamepiga pass 30 bila chezaji yoyote wa manjesta kugusa
Lile goal naangalia clip yake, mdomo ukabaki wazi aisee

Bayern anawaua leo hawa
 
7hag anataka aendelee kushinda kwa Miujiza Kama mwaka Jana

Nilisema hapa ,ushindi wa papatupapatu, janjajanja, viziavizia hauna maisha marefu

Leo anasema wachezaji wawe na Imani watashinda ,how? Kwa kaunta ambayo zinategemea Rashford kaamkaje


Ten Hag’s message to the #mufc players:

“Believe! The belief that we can beat them, from start to finish.”
 
Alietengeneza hii animation ya Onana mbinguni ataenda kwa magoti.
 
Chukua beki huyu muache kufungwa
 

Attachments

  • FB_IMG_1695222035104.jpg
    FB_IMG_1695222035104.jpg
    42.9 KB · Views: 14
Ole kasema ya moyoni kweli Timu yetu imeozaa inahitaji watu wapya kuanzia wamiliki mpaka wachezaji.
Mambo ya DNA yanatufanya turudi nyuma mpira umebadilika mambo ya kucheza kama Ferguson tuachane nayo 10han atafute mpira wa kueleweka wa Timu kucheza kama Hawa nyumbu wakubwa hawawezi fukuza wote tuanze na academy players.
 
Back
Top Bottom