Sijui nani ni mbadala wa valencia..labda ataponeshwa kwa muda.mi muhimu sana anakimbia sana.anakaba sana/kwa nguvu.anaingiza mipira mingi katikati kwenye kushambulia.anampumzisha kiasi rafael.
Man u anatakiwa apate goli 4,hapo usalama
upo,maana 3-1,Man u nje,olypic watakuwa na goli la ugenini,hivyo Man wahakikishe Olypiac hawapati goli la ugenini.kila la kheri Man u