D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Hazard hana timu
Øde ndio ana miaka 24 Bruno anatafuta 29
SwaliFree agent walikuwa kina tielemans thuram madisson etc hawakuchukuliwa duh
Ni waholanzi?
Wamewahi kucheza Erevedise ?
Waliwahi fanya kazi na 7hag au kutakiwa kipindi Cha nyuma?Kumbe unalijua hilo, sasa kwanini ulileta comparison wakati Øde bado anajitafuta na Bruno tayari ni World-class player!Øde ndio ana miaka 24 Bruno anatafuta 29
Sijacompare nimeuliza Bruno alikuwa wapi jumapiliKumbe unalijua hilo, sasa kwanini ulileta comparison wakati Øde bado anajitafuta na Bruno tayari ni World-class player!
Tatizo ni Glazers. January baada ya Ronaldo kuondoka EtH alimtaka Gakpo akaambiwa anaweza kusajili kwa mkopo tu, akamtaka Joao Felix ikashindikana kwasababu ya ada ya mkopo, Glazers wakagoma kutoa pesa ikabidi amchukue Weghorst. Msimu huu akataka RCB mpya ikaonekana kama atamsajili Min-Jae, Kim akaenda Bayern, akamtaka Pavard Glazers wakasema hakuna pesa mpaka auze wachezaji, Maguire akagoma kuondoka ikabidi EtH amsajili Evans.Swali
Ni waholanzi?
Wamewahi kucheza Erevedise ?
Waliwahi fanya kazi na 7hag au kutakiwa kipindi Cha nyuma?
Kama hawana hizo sifa hawawezi kutakiwa manjesta
Kocha mbovu tuu,Tatizo ni Glazers. January baada ya Ronaldo kuondoka EtH alimtaka Gakpo akaambiwa anaweza kusajili kwa mkopo tu, akamtaka Joao Felix ikashindikana kwasababu ya ada ya mkopo, Glazers wakagoma kutoa pesa ikabidi amchukue Weghorst. Msimu huu akataka RCB mpya ikaonekana kama atamsajili Min-Jae, Kim akaenda Bayern, akamtaka Pavard Glazers wakasema hakuna pesa mpaka auze wachezaji, Maguire akagoma kuondoka ikabidi EtH amsajili Evans.
Sasa hivi anamtaka El Ghazi kwasababu hana option nyingine na msimu bado mrefu sana na dirisha la usajili limefungwa.
Hawa wachezaji wengi wa mkopo na free agents hawana viwango vya kucheza United ila uongozi wa timu unamfelisha kocha maana hana namna.
BREAKING: Bruno Fernandes wins the MOTM award. 








The extension of Facundo Pellistri's contract is now one of #mufc's priorities.







.














️


































