Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anachosema mchambuzi nguli Graeme Souness ndio kile mchambuzi nguli wa Jf nilisema usajili wa Onana Ni sawa na kumfanyia operation kichwa mgonjwa wa miguu, unasajili GK based possession kwa timu ya kaunta na mpira wa ujanja ujanja

Graeme Souness:

"Nadhani Onana atawafanya kuwa bora zaidi katika kucheza kuanzia nyuma lakini atafanya jambo muhimu zaidi katika kuzuia mpira kutoka wavuni?

Sina hakika na hilo.”

Atachezea magoli Sana
20230906_193721.jpg
 
hamis77 na arsenal wenzio nyie ni kama maskini anaetoa mbinu za kuwa tajiri
Tukiweka ushabiki pembeni

Bado sioni manjesta yakwenda toe to toe na Brighton next week

Sion manjesta yakufurukuta kwa master tactician Roberto Di Zerbi
20230903_110646.jpg
 
Casemiro performance vs Arsenal

Hii timu kupiga pass 10 kwa usahihi eneo la kiungo haiwezi

20230904_064337.jpg
 
Huna mpira wa kuifunga Brighton

Nitarudi kukukumbusha hapa
Wew mwenyewe hujui mpira, umekaa tu kindezi mda wote hupo humu kwenye jukwaa la Manchester United ukikomenti utopolo tu.

Unashindwa kufokasi na timu yako ya arsenal, na usichokijua huo utoto wako wew sio wa kwanza, tumeona maboya wengi zaidi yako kwenye hili jukwaa na walipoa wao wenyewe.
 
Wew mwenyewe hujui mpira, umekaa tu kindezi mda wote hupo humu kwenye jukwaa la Manchester United ukikomenti utopolo tu.

Unashindwa kufokasi na timu yako ya arsenal, na usichokijua huo utoto wako wew sio wa kwanza, tumeona maboya wengi zaidi yako kwenye hili jukwaa na walipoa wao wenyewe.
Mimi nipo Jf toka 2009

Wewe ndio mgeni humu

Brighton wakiwakaanga utashika adabu vzr
 
Mchambuzi Nguli na lejend wa manjesta Gary Neville anaungana na mchambuzi nguli wa Jf


Gary Neville


"Football never ceases to amaze you; Manchester United haven't crossed the halfway line. They've had a million passes in their own half."

20230911_152036.jpg
 
Mimi nipo Jf toka 2009

Wewe ndio mgeni humu

Brighton wakiwakaanga utashika adabu vzr
Ndio maana nakuambia wew ni boya, account yako inaonesha umejiunga jf 2013. Na usichokijua mie nimeijua jf tokea mwaka 2007. Kabla ya kujiunga, hivyo still narudia kusema wew ni mtoto bado hujawa matured, sababu ujinga unaokomenti hapa unadhihirisha nikwa jinsi gany ulivyo mweupe kwenye mpira wa miguu.
 
Ndio maana nakuambia wew ni boya, account yako inaonesha umejiunga jf 2013. Na usichokijua mie nimeijua jf tokea mwaka 2007. Kabla ya kujiunga, hivyo still narudia kusema wew ni mtoto bado hujawa matured, sababu ujinga unaokomenti hapa unadhihirisha nikwa jinsi gany ulivyo mweupe kwenye mpira wa miguu.
Unalalamika Nini hasa
 
Ndio maana nakuambia wew ni boya, account yako inaonesha umejiunga jf 2013. Na usichokijua mie nimeijua jf tokea mwaka 2007. Kabla ya kujiunga, hivyo still narudia kusema wew ni mtoto bado hujawa matured, sababu ujinga unaokomenti hapa unadhihirisha nikwa jinsi gany ulivyo mweupe kwenye mpira wa miguu.
Unalalamika Nini hasa
 
Flano hanaga matusi yule jamaa huwa tunataniana tu ,hata kwa picha

But Kuna mashabiki uchwara humu wao matusi wanaona Ni njia Bora zaidi

Kaangalie siku ile tume draw na Fulham walivyokuja kama nyuki jukwaa kwetu ,na tulivumilia

Wao wanakuja na matusi tu,

Sisi tumeamua kutotumia matusi Ni fact tu
Yes. Najua Flano Hana matusi. Nimesema tu zamani ulikuwa huweki picha za kukera kama Flano anavyofanya kwetu. Ila Kwa sababu Hawa jamaa wanatukana sana, Sasa umezidisha makali kwenye utani hadi picha sasa unaweka
 
Back
Top Bottom