Siyo kwa msimu huuHili la captain wetu, ukimtoa KDB anaefwata ni Bruno. Kama ukibisha hadi rankings za KDB sisi hatuna neno
Uyu onana niwa ku mtumia ballistic missile tu mna mtungua kutokea mbali![]()



IdiotMashabiki wa man U tufanye kikao cha dharula, tuombe mods wafunge hili jukwaa kwa muda usiojulikana. Tutarudi tim ikiwa sawa.
Huu msimu tunaenda kuwa kichekesho, ile nafasi ya 12 ya Chelsea msimu uliopita tutaitamani.
Niulize kuhusu mpira wa ligi ya Uingereza na Ujerumani na kidogo ya Ufaransa. Najaribu kuufuatilia mpira na siyo timuKweli united taifa kubwa.
Mashabiki wa Arsenal mnaipenda united sana. Mnajua habari zote zinazoihusu united kuliko united tunavyojua habari zenu.
Wananenepa tuHii ndii Weekend pekee nyumbu na Kenge wanepata usingizi mzuri
Mbaya zaidi hii weekend imeenda fasta sana








Havari zetu ni kuifunga unitedI
Unaweza ukabisha lakini ni ukweli mtupu
👉Mnaipenda sana United kiufupi United taifa kubwa mnajua habari za United kuliko mashqbiki wa. United wanavyojua habari zenu😂

Graeme Souness mchambuzi mwenzetu nguli anaongea niliyowahi kusema humu
Graeme Souness: 
Graeme Souness on Rasmus Højlund: No UCL, no right to speak....rudini jukwaa lenu mkachambue tembele, nyie arsenal soka la mataji makubwa hamliweziGraeme Souness mchambuzi mwenzetu nguli anaongea niliyowahi kusema humu
“I don't think Manchester United are going to be any better than they were last season. They've spent £72m on a young centre-forward in Rasmus Højlund, who has not got a great goalscoring record.”
View attachment 2745573
Huyu Ni wewe?No UCL, no right to speak....rudini jukwaa lenu mkachambue tembele, nyie arsenal soka la mataji makubwa hamliwezi

Graeme Souness: