United inaendelea ilipoishia.
Hakuna kipya.
Wakiambiwa tatizo lenu ni winger na mnayemhitaji ni Sancho basi mashabiki wao dunia nzima watakua wanatumia hiyo hoja. Siku za hivi karibuni wameambiwa tatizo lao ni kiungo na wanayemhitaji ni Amrabat.
Amrabat wamempata. Kisha timu itaendelea kua average watazuga kisha wataanza kusema mmiliki wetu hafai, mmiliki anakuletea sajili zote unazotamani ziwepo.
Swali kwa mashabiki. Amrabat ataongeza kipi ambacho sasa hivi hakipo? Uwepo wake utasababisha Erik agundue kupaki basi na kusubiri kaunta ni game plan ya hovyo? Hii game plan imechezwa kuanzia anaifunga Arsenal msimu uliopita mpaka msimu huu yeye amekomaa hapo tu.
Kuna shabiki alilalamika goli la Odegaard kwamba linafungwa huku Eriksen anakimbilia kwenye boksi badala ya kumkaba Odegaard. Hii timu haina defense nzuri strategy yao ni swarming mbele ya goli. Wao wanachofanya ni kuhakikisha wote wanajazana kwenye boksi kuhakikisha mpinzani hashuti.
Eriksen alikua anatekeleza maelekezo ya kocha.
Wanakuambia Arsenal haina mpira haiwezekani ipate magoli ya papatu papatu. Arsenal hatupo vizuri, lakini tumeshawafunga tukiwa hovyo zaidi ya hapo with a lot of average players.
Kichekesho kingine ni kapteni wenu



bro is so average kukabidhiwa kitambaa ila mashabiki hawaoni. Hainspire timu kucheza muda wote analalamika au yupo chini anataka watu wagewe kadi.
Its funny ukiwasikiliza mashabiki wa united