verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Tuwe watulivu jamani, ubwabwa upo wa kutosha kila mmoja atapata
Niulize kuhusu mpira wa ligi ya Uingereza na Ujerumani na kidogo ya Ufaransa. Najaribu kuufuatilia mpira na siyo timuKweli united taifa kubwa.
Mashabiki wa Arsenal mnaipenda united sana. Mnajua habari zote zinazoihusu united kuliko united tunavyojua habari zenu.
Wananenepa tuHii ndii Weekend pekee nyumbu na Kenge wanepata usingizi mzuri
Mbaya zaidi hii weekend imeenda fasta sana








Havari zetu ni kuifunga unitedI
Unaweza ukabisha lakini ni ukweli mtupu
👉Mnaipenda sana United kiufupi United taifa kubwa mnajua habari za United kuliko mashqbiki wa. United wanavyojua habari zenu😂

Graeme Souness mchambuzi mwenzetu nguli anaongea niliyowahi kusema humu
Graeme Souness: 
Graeme Souness on Rasmus Højlund: No UCL, no right to speak....rudini jukwaa lenu mkachambue tembele, nyie arsenal soka la mataji makubwa hamliweziGraeme Souness mchambuzi mwenzetu nguli anaongea niliyowahi kusema humu
“I don't think Manchester United are going to be any better than they were last season. They've spent £72m on a young centre-forward in Rasmus Højlund, who has not got a great goalscoring record.”
View attachment 2745573
Huyu Ni wewe?No UCL, no right to speak....rudini jukwaa lenu mkachambue tembele, nyie arsenal soka la mataji makubwa hamliwezi

Graeme Souness: Flano hanaga matusi yule jamaa huwa tunataniana tu ,hata kwa pichaSikubhizinnikiingia huku nakutana na matusi machafu sana wakipewa mashabiki wa Arsenal na Chelsea. Busara siyo kutukana watu ndugu zangu. Wala matusi hayatawafukuza wanaowakera. Tena ndiyo yatawaleta zaidi na kuwakera zaidi. Siku hizi hata Hamis ameanza kupost na vipicha kama Flano wakati zamani ilikuwa maneno tu. Kinachotakiwa ni timu yenu ishinde mechi, tena Kwa pira biriyani siyo hii takataka mnayocheza