Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tuwe watulivu jamani, ubwabwa upo wa kutosha kila mmoja atapata
20230910_110800.jpg
 
Kweli united taifa kubwa.

Mashabiki wa Arsenal mnaipenda united sana. Mnajua habari zote zinazoihusu united kuliko united tunavyojua habari zenu.
Niulize kuhusu mpira wa ligi ya Uingereza na Ujerumani na kidogo ya Ufaransa. Najaribu kuufuatilia mpira na siyo timu
 
Hii ndii Weekend pekee nyumbu na Kenge wanepata usingizi mzuri

Mbaya zaidi hii weekend imeenda fasta sana
 
Wana Man U wenzangu hawa vijana wetu ndo kwamba wanahasira sana huko majumbani? Au kwa vile wanachezea chama kubwa,timu la dunia basi walimbwende wanataka tu kujichotea mipesa?? Timu yetu imekuwa dhaifu sana uwanjani halafu imara sana kwenye wachezaji wake kuwa kwenye scandals/migogoro🥺🥺😓😓,tutatoka kweli?
 


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2745408
 
Hii timu Ni kichekesho eti imeshindwa kuuza Jezi kwa kukosa herufi Ø

| #mufc have been unable to sell Rasmus Højlund shirts because they did not have any "ø" in stock.

[@MikeKeegan_DM]
 
Graeme Souness mchambuzi mwenzetu nguli anaongea niliyowahi kusema humu


“I don't think Manchester United are going to be any better than they were last season. They've spent £72m on a young centre-forward in Rasmus Højlund, who has not got a great goalscoring record.”

20230911_075636.jpg
 
Mchambuz nguli Graeme Souness anaendelea kuungana na mchambuzi nguli wa Jf kuhusu onana ...

Graeme Souness:

“I think Onana will make them better at playing out from the back but will he do the most important thing in keeping the ball out the back of the net? I'm not sure about that one.”
20230911_075636.jpg
 
Mchambuzi nguli Graeme Souness anaendelea kurudia nilichosema mchambuzi nguli wa Jf kuhusu Hojlund

Graeme Souness on Rasmus Højlund:


“He played 34 games for Atalanta and only hit the back of the net 10 times. Now he's come to a league where it's really tough to get goals. I might be wrong but it’s one hell of a gamble for somebody that doesn't have a proven track record.” #
20230911_080715.jpg
 
Graeme Souness mchambuzi mwenzetu nguli anaongea niliyowahi kusema humu


“I don't think Manchester United are going to be any better than they were last season. They've spent £72m on a young centre-forward in Rasmus Højlund, who has not got a great goalscoring record.”

View attachment 2745573
No UCL, no right to speak....rudini jukwaa lenu mkachambue tembele, nyie arsenal soka la mataji makubwa hamliwezi
 
Mchambuz nguli Graeme Souness anaendelea kuungana na mchambuzi nguli wa Jf kuhusu onana ...


Graeme Souness:

"Nadhani Onana atawafanya kuwa bora zaidi katika kucheza kuanzia nyuma lakini atafanya jambo muhimu zaidi katika kuzuia mpira kutoka wavuni?

Sina hakika na hilo.”

Atachezea magoli Sana
20230911_081252.jpg
 
Mchambuzi Nguli anaendelea nilipoishia


Graeme Souness:

“Nimeshutumiwa vikali kwa kusema hivi lakini kwa mtazamo wangu kwa Casemiro. Ni mchezaji mzuri lakini si yule ambaye unataka kulipa pesa kwenda kumtazama.”

Wachambuzi nguli tunakubaliana na Graeme Souness
20230911_081733.jpg
 
Tukiweka ushabiki pembeni

Bado sioni manjesta yakwenda toe to toe na Brighton next week
20230907_201845.jpg
 
Sikubhizinnikiingia huku nakutana na matusi machafu sana wakipewa mashabiki wa Arsenal na Chelsea. Busara siyo kutukana watu ndugu zangu. Wala matusi hayatawafukuza wanaowakera. Tena ndiyo yatawaleta zaidi na kuwakera zaidi. Siku hizi hata Hamis ameanza kupost na vipicha kama Flano wakati zamani ilikuwa maneno tu. Kinachotakiwa ni timu yenu ishinde mechi, tena Kwa pira biriyani siyo hii takataka mnayocheza
 
Sikubhizinnikiingia huku nakutana na matusi machafu sana wakipewa mashabiki wa Arsenal na Chelsea. Busara siyo kutukana watu ndugu zangu. Wala matusi hayatawafukuza wanaowakera. Tena ndiyo yatawaleta zaidi na kuwakera zaidi. Siku hizi hata Hamis ameanza kupost na vipicha kama Flano wakati zamani ilikuwa maneno tu. Kinachotakiwa ni timu yenu ishinde mechi, tena Kwa pira biriyani siyo hii takataka mnayocheza
Flano hanaga matusi yule jamaa huwa tunataniana tu ,hata kwa picha

But Kuna mashabiki uchwara humu wao matusi wanaona Ni njia Bora zaidi

Kaangalie siku ile tume draw na Fulham walivyokuja kama nyuki jukwaa kwetu ,na tulivumilia

Wao wanakuja na matusi tu,

Sisi tumeamua kutotumia matusi Ni fact tu
 
Back
Top Bottom