Nilikwambia acha kupiga kelele ,timu yako haiwezi kupiga pass 10 kwa usahihi eneo la mpinzani
Mlipiga pass 200+ touches 175 kwenye eneo lenu la backline
Dk 100 mlipiga shot on target 2 tu , Ni dhahiri hata kufika box la Arsenal kwenu ilikuwa mtihan,ndio maana hata mlipopata goli la kaunta ,dakika hiyo hiyo tukarudisha ,
Mna mentality ya timu ndogo ,
Mna onana ambaye Ni mzuri kwa timu based possession,Cha ajabu nyie Ni timu based counter attack,
What will happen?
Onana atachezea goli nyingi, atachezea fimbo Sana
Mechi 4 kashafumuliwa goli 8
Mechi 4 goli 8
Mechi 38 je atapigwa goli ngapi?
Nakupa homework siwezi kukutafunia kila kitu
View attachment 2743018