Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wewe ulikuwa na mdomo Sana

Bado huna timu hata ya kubishana na Brighton

Subiri next week uone 7hag akifundishwa mpira na master Roberto Di Zerbi

Huyu hata Pep Guardiola huwa anapaki Basi
Wewe jamaa si ndiyo ulisema Pochettino ni kocha bora kocha kashindwa kuipa UCL PSG yenye Messi,Mbappe na Neymar aje aweze Chelshit masingeli bana😂
 
Nilikwambia acha kupiga kelele ,timu yako haiwezi kupiga pass 10 kwa usahihi eneo la mpinzani

Mlipiga pass 200+ touches 175 kwenye eneo lenu la backline

Dk 100 mlipiga shot on target 2 tu , Ni dhahiri hata kufika box la Arsenal kwenu ilikuwa mtihan,ndio maana hata mlipopata goli la kaunta ,dakika hiyo hiyo tukarudisha ,

Mna mentality ya timu ndogo ,

Mna onana ambaye Ni mzuri kwa timu based possession,Cha ajabu nyie Ni timu based counter attack,

What will happen?

Onana atachezea goli nyingi, atachezea fimbo Sana

Mechi 4 kashafumuliwa goli 8

Mechi 4 goli 8

Mechi 38 je atapigwa goli ngapi?

Nakupa homework siwezi kukutafunia kila kituView attachment 2743018
Shabiki mpinzan ataona Kila kitu ni udhaifu
 
Wewe jamaa si ndiyo ulisema Pochettino ni kocha bora kocha kashindwa kuipa UCL PSG yenye Messi,Mbappe na Neymar aje aweze Chelshit masingeli bana
PSG Wana matatizo mengi, sio kuwa na mess ,mbappe na Neymar inatosha ,ndio maana wamewatimua na mbappe walikuwa wanataka kumtimua

Poch kaangalie mpira wake ,had Sasa EPL ndio anaongoza kwa Possession,On target ,n.k

Shida ya Chelsea itawacost Wana kipa Pazia ,na wachezaji wao wengi sio matured bado, but kwa ufundishaji mpira wa kueleweka,bila ushabiki Poch kamuacha mbali kocha wako 7hag

Ni rahisi Sana Chelsea kuinuka na kuwaacha sababu Wana playing style,shida Chelsea nawaona hawana wachezaji wengi matured tofaut na manjesta ya 7hag
 
Shabiki mpinzan ataona Kila kitu ni udhaifu
Positive kwa manjesta Ni kuanza mpira kwa Onana kuwavuta wapinzani ipigwe pass moja ndefu kwa Bruno apige ndefu kwa rashidi ligungwe goli

Wapinzani wakishtukia hiyo mbinu Hawa mpress Onana ,wanasubiri mpira ufike kwa kina casemiro ambao hawawez kukaa na mpira ,mnapigwa shambulio

Kwa mpira wenu huu wa ujanjaujanja, Brighton wanaweza kuwadhalilisha ,mtaenda mkijua Ni timu ndogo itawaogopa ,

Kitakachowakuta mtaandamana kuchoka Moto familia ya Graza
 
PSG Wana matatizo mengi, sio kuwa na mess ,mbappe na Neymar inatosha ,ndio maana wamewatimua na mbappe walikuwa wanataka kumtimua

Poch kaangalie mpira wake ,had Sasa EPL ndio anaongoza kwa Possession,On target ,n.k

Shida ya Chelsea itawacost Wana kipa Pazia ,na wachezaji wao wengi sio matured bado, but kwa ufundishaji mpira wa kueleweka,bila ushabiki Poch kamuacha mbali kocha wako 7hag

Ni rahisi Sana Chelsea kuinuka na kuwaacha sababu Wana playing style,shida Chelsea nawaona hawana wachezaji wengi matured tofaut na manjesta ya 7hag
Wewe jamaa ni takataka inayoishi serious umejaa ushabiki wa kishoga sana hadi inatia kinyaa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Positive kwa manjesta Ni kuanza mpira kwa Onana kuwavuta wapinzani ipigwe pass moja ndefu kwa Bruno apige ndefu kwa rashidi ligungwe goli

Wapinzani wakishtukia hiyo mbinu Hawa mpress Onana ,wanasubiri mpira ufike kwa kina casemiro ambao hawawez kukaa na mpira ,mnapigwa shambulio

Kwa mpira wenu huu wa ujanjaujanja, Brighton wanaweza kuwadhalilisha ,mtaenda mkijua Ni timu ndogo itawaogopa ,

Kitakachowakuta mtaandamana kuchoka Moto familia ya Graza
Muda wote unashinda humu ukiandika pumba sijui hata kama una familia wewe mjinga 24/7 upo humu kuhadiri upumbavu, Kila nikiwasha data nakutana na notifications zako wewe mpumbavu hivi unafanya kazi saa ngapi au umeamua kuwa mke wa mtu unatunzwa?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Muda wote unashinda humu ukiandika pumba sijui hata kama una familia wewe mjinga 24/7 upo humu kuhadiri upumbavu, Kila nikiwasha data nakutana na notifications zako wewe mpumbavu hivi unafanya kazi saa ngapi au umeamua kuwa mke wa mtu unatunzwa?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Aende kwenye jukwaa lao bhana
 
Aende kwenye jukwaa lao bhana
Anakera sana huyu kenge Mimi huwa naingia mara Moja Moja kwenye jukwaa lao humkuti huyu nguruwe pori akiwa active kama ilivyo huko isitoshe jukwaa lao limedoda halina vibe kama humu ajabu anasahau kuwa anapaswa ajikite zaidi na timu yake ambayo haijashiriki UCL misimu sita mfululizo atoe mawazo wafanye Nini angalau wabebe Kombe hilo lenye hadhi kubwa kwa ngazi ya klabu duniani aache ushoga wa kushadadia mambo yasiyomhusu mjinga huyu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ryan Giggs: "It seems like this is the last throw of the dice [from Erik ten Hag]. Call him [Sancho] out publicly and see how he reacts. From the outside we don't know, but it looks like Ten Hag has really tried everything with Sancho."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230909_003831_139.jpg
 
Ryan Giggs on Jadon Sancho: "When he came to the club I was a fan. I thought he would progress, which he didn't really do. Ten Hag tried him in different positions, gave him time to get back into shape. For me, calling him out publicly is probably the last attempt to get the best out of Sancho."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Ryan Giggs: "Sancho can react and say 'OK, I'll show him what I can do' or he can sulk and probably not achieve anything. It's up to Sancho to play now."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Ryan Giggs: "I know we've talked a lot about training and for me, training at #mufc, from my playing experience, was harder than the games. You have to perform well in training to be able to be on the pitch on Saturday. He needs to improve. If it's true that his performance in training wasn't good enough, you're not going to play."

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230909_003927_656.jpg
 
Muda wote unashinda humu ukiandika pumba sijui hata kama una familia wewe mjinga 24/7 upo humu kuhadiri upumbavu, Kila nikiwasha data nakutana na notifications zako wewe mpumbavu hivi unafanya kazi saa ngapi au umeamua kuwa mke wa mtu unatunzwa?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Umejaa hasira ,unatokwa mapovu , yaan unanipangia Hadi Cha kufanya

Bado hujasema ,Kuna wiki moja zaidi, Kuna kichapo Cha Brighton na baryen ,utasema zaidi


Humu tupo Sana ,matusi ,kashfa havitakusaidia
20230907_214109.jpg
 
Mau U mapovu yamewatokaHamis endelea kuwagonga Nyundo kwenye makalio mpaka povu liwaishe,nawakumbusha tu kwamba paketi iliyotumika pale Emirates ni moja tu aina ya Dume,sasa kwa pazia lenu Onana kuna wahuni kama Liverpool wakawapiga kumi, endeleeni na Mpira wenu wa janjajanja,ni akili mbovu kumtoa De Gea na Fred kisha kumleta Onana na mashuzi mengine pale kati
 
Mau U mapovu yamewatokaHamis endelea kuwagonga Nyundo kwenye makalio mpaka povu liwaishe,nawakumbusha tu kwamba paketi iliyotumika pale Emirates ni moja tu aina ya Dume,sasa kwa pazia lenu Onana kuna wahuni kama Liverpool wakawapiga kumi, endeleeni na Mpira wenu wa janjajanja,ni akili mbovu kumtoa De Gea na Fred kisha kumleta Onana na mashuzi mengine pale kati
Bado hawajasema mbona

Tuli draw na Fulham walikuja kwa fujo jukwaa letu

Nilisikitika Sana wanapata wapi nguvu ya kuja kuleta fujo jukwaa letu wakati timu Yao ni mbovu

Hawa tupo nao had mechi na Galatasaray watakandwa na kina zaha

Next week,Di zerbi anaenda kumfundisha mpira Erik 7 hag a Dutch David Moyes Super Tony pulis
 
Mau U mapovu yamewatokaHamis endelea kuwagonga Nyundo kwenye makalio mpaka povu liwaishe,nawakumbusha tu kwamba paketi iliyotumika pale Emirates ni moja tu aina ya Dume,sasa kwa pazia lenu Onana kuna wahuni kama Liverpool wakawapiga kumi, endeleeni na Mpira wenu wa janjajanja,ni akili mbovu kumtoa De Gea na Fred kisha kumleta Onana na mashuzi mengine pale kati
Utakuta wanakuja majukwaa ya watu kupiga kelele wakati timu yao hata pass 10 haiwez kupiga

Casemiro Kama kafungwa mawe miguuni
 
Back
Top Bottom