christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,152
- 5,069
Na hakuna atayekuzuia kumfuatani mchezaji wa kawaida sana. Msiwe na imani nae kupitiliza . Ukiweka mctomny na amrabat namfata mctomny
Anatoa Baba ako hiyo commission?Mkopo kwa €10m ,
Mchezaji amekuja sababu ya connection ya 7hag
Another Utapeli
7hag Ni dalali
Kwa Weghost alipata commission
Kwa Hojlund alimwambia amfukuze wakala wake ajiunge na wakala ambaye ni wa 7hag , wakala akapata 10% , 7hag ana commission
Amrabat hivo hivo wanajuana toka Utriech,akamwambia asiende timu nyingine ,atamleta unyumbuni kwa vyovyote , now kasajiliwa kwa mkopo wa €10m , hapo 7hag ana commission yake
Mchezaji alifanya vzr mech 3 za world cup ,ni mchezaji wa kawaida sana. Msiwe na imani nae kupitiliza . Ukiweka mctomny na amrabat namfata mctomny
Watakuja kumkataa .. waache wajifanye wanamjua sanaMchezaji alifanya vzr mech 3 za world cup ,
Big teams zilikuwa zinatafuta DM , wakapambania signing za Caicedo, Rice ,Palhinha ,
Hawakumuona huyo Amrabat kwa £21m?
He is average player
Usiwe na hasira kaa kwa kutuliaAnatoa Baba ako hiyo commission?
Acha kujipa umuhimu kwenye yasiyokuhusu
Wapo desperate na sajili ,wanasahau 7hag anabahatisha tu ,Ni juzi alikuwa anamtaka Kukubela , Chelsea wamewakazia kwenye loan fee ,Watakuja kumkataa .. waache wajifanye wanamjua sana
Mkuu kajulikania world cup au wewe na wenzio ndio mmemjulia world cup? Kuna tofauti kubwa sana hapo.Wapo desperate na sajili ,wanasahau 7hag anabahatisha tu ,Ni juzi alikuwa anamtaka Kukubela , Chelsea wamewakazia kwenye loan fee ,
Huyu Amrabat yupo fiorentina miaka yote ,walishajiuliza kwann kajulikania world cup kwa mechi 3
Tumejiandaa vizuri kabisapesa ya usajili wa Mason Mount ilipaswa iwekezwe kwa james maddison.
sijawahi kuyafikiria maisha bila ya bruno kwa siku za karibuni.
Je tumejiandaa?
Wataru Endo aliisaidia Stuttgart kubeba kombe gani?Amrabat Amesaidia Florentina kubeba kombe gani?
Wewe umemjulia wapi kabla ya world cup?Mkuu kajulikania world cup au wewe na wenzio ndio mmemjulia world cup? Kuna tofauti kubwa sana hapo.
Bora niku ignore tu kusave energy yangu.Wewe umemjulia wapi kabla ya world cup?
Tudanganye hapa
Amrabat had anafika miaka 26 kajulikana kwa performance ya world cup mech 3 tu
Ilishatokea kwa Davor Suker , na wengine wengi
kufanya vibaya kwa manchester united ndio kunazidi kuifanya ligi ya Uingereza kuwa maarufu zaidi na zaidi.
ukienda kwenye mitandao ya kijamii utakuta jambo lolote linalohusu manchester united ndio linapewa muda zaidi wa kujadiliwa.
mechi dhidi ya spurs tulinyimwa penalty ya wazi lakini hakuna referee wa zamani wala mchambuzi aliyezungumzia sana swala lile.
cha ajabu mechi dhidi ya nottingham forest, baada ya tukio la penalty na red card tumeshuhudia wiki nzima yanajadiliwa matukio mawili hayo kuanzia talk sport, sky news, bbc, na tovuti nyengine za kijamii.
man utd wakisajili au kuhusishwa na mchezaji anatrends kwenye mitandao kuliko trending ya man city kubeba treble.