Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Amelifanya Kama jukwaa lake, hoja zake mmeshindwa kuzipangua
Hamis77 muelewa Sana, mkae nchini myamalize. Hili jukwaa mtalikimbia wote humu
 
Imagine deadline day ndio tunajitafuta kumnasa Amrabat tena tunaomba watukopeshe!
Mie naona uko UCL huwa tunapalilia tu lakini hatuna ubavu wa kushindana bali tunaenda kumjaza Glazers mapesa tu. Ni heri tutolewe mapema tukose wote na wamiliki.
 
Imagine deadline day ndio tunajitafuta kumnasa Amrabat tena tunaomba watukopeshe!
Mie naona uko UCL huwa tunapalilia tu lakini hatuna ubavu wa kushindana bali tunaenda kumjaza Glazers mapesa tu. Ni heri tutolewe mapema tukose wote na wamiliki.
Bado hamjasema

hamis77 nyumbu washaanza kuelewa SoMo huku
 
Huyu kipara ndezi (Ten Hag) naanza kupata mashaka naye kwa hizi sajili za kipuuzi.

Tumetumia zaidi ya Β£180m kusajili overpriced players wakati timu inahitaji maboresho ya mengi. Matokeo yake FFP na injuries zinatulazimu kuanza kutafuta flops.
 
Imagine deadline day ndio tunajitafuta kumnasa Amrabat tena tunaomba watukopeshe!
Mie naona uko UCL huwa tunapalilia tu lakini hatuna ubavu wa kushindana bali tunaenda kumjaza Glazers mapesa tu. Ni heri tutolewe mapema tukose wote na wamiliki.
Ucl tutafika mbali mark my words Round 16 to Quarter final hapo ndo moto utakapowaka

Kuna deadline deals 2-3 zitatimia at end of the transfer market ijumaa tukianza na huyo Sergio rugillion then ambrat kiraka
 
Ten Hag ni fala sana badala ya kutumia Β£65m kwa Mount angemsajili Amrabat. Sasa ameshtuka double 8s inafanya timu inakuwa exposed tayari kumekucha.

Scouts wetu nao walivyo wapuuzi wachezaji kama N. Jackson hawawaoni tumeenda kupigwa Β£70m.

Β£47m yote imeenda kwa kipa wakati tulikuwa na De Gea, Henderson, Kovar. Wote hao hawafai kwa kipindi cha mpito, sasa kwa uchezaji wetu Onana hatatusaidia ipasavyo.
 
Huyu kipara ndezi (Ten Hag) naanza kupata mashaka naye kwa hizi sajili za kipuuzi.

Tumetumia zaidi ya Β£180m kusajili overpriced players wakati timu inahitaji maboresho ya mengi. Matokeo yake FFP na injuries zinatulazimu kuanza kutafuta flops.
Ndio mpira mkuu hawa hawa wanaotuponda humu na kutuombea njaa watatukuta tuna ka kombe mwisho wa msimu afu wao watakula chaka warudi wakiwa wameshinda aerials duel 1v1 most xG tactical overload cup na loser medall


Man utd round 16 lazima mkubwa ni mkubwa tu askuambie mtu
 
Ambrat anakuja kwa loan option to buy hivo ndivo Florentina walivo sisitiza ili deal likamilike sababu ya FFP rules

Shida yetu man utd kwa sasa ni beki ndo hamna
 
Akija huku anasema mount tumepigwaπŸ˜ƒ
 
Manchester United's defence

#πƒπ«π˜π‰π¨π€πž

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…