Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Upo sahihi
 
Arsenal Sasa hivi huwez kuiona nje ya top 3

Halafu Di zerbi anauwezo mkubwa Sana kuliko 7hag


Hivi ukiulizwa mpaka Sasa 7hag anacheza mfumo gan unaweza elezea

Ukiulizwa kwa £400m aliyopewa amefanya Nini Cha Maana ,Kama usajili unaonekana mbovu


Je 7hag ni chuma ulete
 
Safari 7hag anaweza wapeleka nafas ya 10
 

£400 huoni kama timu imamaliza nafasi ya 3?
 
£400 huoni kama timu imamalizs nafasi ya 3?
Msimu huu nafasi ya 10 inamuita

Mkuu usikomae na tai shingoni


7hag pale Hakuna kocha

Nilisema kwa Anthony,Malacia na mount

Nasasa narudia hata Hojlund ni utapeli tu


Mpaka Sasa timu inacheza ikisubiri miujiza ,

Forest wapo pungufu lakin walikuwa wanawapelekea Moto OT ,


Mpaka Lin mtaendelea kujificha kuwa Graza ndio tatizo wakati 7hag anahusika asilimia kubwa
 
Unajitahidi kupiga ramli cha ajabu umeshindwa kuipa ubingwa arsenal wa uingereza
Mimi sipigi ramli , nitakukumbusha hapa hukawii kuulizia 7hag hajafukuzwa

Mlikuwa wabishi Sana mech ya kwanza niliposema Anthony,Malacia ni average players

Na Ten egg ni kocha wakawaida Sana


Leo mnaona aibu kukiri mnakufa na tai shingoni
 

Hata akimaliza nafasi ya 10 sina nnamchodai msimu wa kwanza na wale wachezaj kumaliza nafasi tatu mafanikio makubwa sana wakat kocha wako akiwa na

Xhaka
Saka
Aubameyang
Lacazatte
Ozil
Saliba
Martinel
Pepe

Hakuweza hata kushika nafasi ya 5
 
Kamfukuze ten haag kaka
+44556543788 namba iyo apo technical director atakuelekeza
Mkuu hapa tunajadili uhalisia

Mimi nawaeleza ukweli maana mnawakomalia Graza wauze timu

Hata auziwe Elon musk,Kama makocha ni kina 7hag Hakuna mtakachofanya


Hivi ulishajiuliza 7hag aliyemshauri amsajili Malacia et amuweke nje Luke Shaw ni Nan?

Yaan kabisa alimfatilia Malacia akaona ana uwezo Zaid ya Shaw?
 

Angalia msije pigania top 4 dalili ya mvua ni mawingu

Unamaani arsenal itacheza vizur zaidi kushinda msimu uliopita?

Kuna muda kusajili ni kuharibu timu

Sasa kai na declan lazima wacheze vipi mfumo umekubali?
 
Hata akimaliza nafasi ya 10 sina nnamchodai msimu wa kwanza na wale wachezaj kumaliza nafasi tatu mafanikio makubwa sana wakat kochwa wako akiwa na

Xhaka
Saka
Aubameyang
Lacazatte
Ozil
Saliba
Martinel
Pepe

Hakuweza hata kushika nafasi ya 5

7hag kakuta timu nzuri kuliko Arsenal aliyoikuta Arteta

Arteta kakuta Xhaka asiyetakiwa na mashabiki ni wachache tunaojua mpira ndio tulisema Xhaka Hana tatizo

Saka kamkuta Ni kinda wa miaka 18 Tena beki,kambadilisha kuwa RW Bora duniani kwasasa

Ozil kamkuta ameisha na Hana nafasi

Martinelli kamkuta Hana hata mechi 5 za EPL

Saliba kamkuta ana miaka 18 yupo mkopo Nice

Pepe kamkuta ameshakuwa flop


Nadhan unaona alikuta timu ya Aina gani na akapewa mtihan aiongoze bila kupewa hata 100 ya kibongo

7hag kaukuta timu ina CR7, Degea , Bruno , Rashford ,Fred ,Sancho , n.k akaongezewa na €250m ,
 
Angalia msije pigania top 4 dalili ya mvua ni mawingu

Unamaani arsenal itacheza vizur zaidi kushinda msimu uliopita?

Kuna muda kusajili ni kuharibu timu

Sasa kai na declan lazima wacheze vipi mfumo umekubali?
Arsenal msimu huu Ni strong zaidi ya mwaka Jana , record zinaongea hivo ,na hapo hatujakaa sawa ,

Hizi kelele za Kai ni Kama zile za Xhaka ,mwisho waliufyata mkia

2022/23
2023/24

goals
expected goals
goals conceded
expected goals against
shots faced
possession
touches in opponents box
distance covered
sprints
10+ pass sequences

How Arsenal’s start to the Premier League compares to last season.
 
Hawa wachezaji wanaosajiliwa kutokana na viwango vya kombe la dunia huwa ni Matapeli sana mfano mzuri ni Weghorst na Gakpo

 
7hag na mikopo

Weghorst,

Dubravka,

Sabitzer and

Butland on loans whilst now attempting to sign Amrabat or Gravenberch on loan in addition to Cucurella.


Halafu tunaambiwa anataka kupigania Ubingwa EPL

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…