Hakukuta kikos kibovu Kama mnavyoamishwa na 7hag
Mtu kamkuta had CR7,
Itafika muda utakubali Erik 7 Egg uwezo wake mdogo, hawez kujificha kwenye kichaka Cha Grazzer siku zote,Yana mwisho
Hayo unayoona mafanikio mwaka Jana asilimia kubwa ni form Bora kabisa ya Rashford ,Bruno na Degea
Msimu huu utaiona sura halisi ya Ten egg,
Rashford huwa anarudi default settings
Onana atakumbana na mafurukiko yakutosha
Casemiro kashachoka
Ndio Maana huoni playing style
Ila sisi toka last season tulisema Ten hag anashinda ila Hakuna playing style,
Hali hii huwa ni ya muda mfupi tu