Mtu wa kwanza kumhitaji Ten Hag alikuwa Frenkie De Jong, wengine walikuja tu kwa bahati nasibu, kasome alichokiandika Martinez utajua kama alikuwa target yake au lah.
Ten Hag kutoka Ajax alimhitaji Jurian Timber tu
Kwamba wachezaji wengine wote amesajikiwaMtu wa kwanza kumhitaji Ten Hag alikuwa Frenkie De Jong, wengine walikuja tu kwa bahati nasibu, kasome alichokiandika Martinez utajua kama alikuwa target yake au lah.
Ten Hag kutoka Ajax alimhitaji Jurian Timber tu
Sasa Arsenyo nayo ni timu au ni kikundi cha comedians?Hamia the Gunner kwa mkopo
Mwenzenu Flano anaamkia Kule na kabla hajalala comments zake za mwisho mwisho anazituma Kule
Kwamba wachezaji wengine wote amesajikiwa
Hahaha Habari za vijiwen
Wewe ushakua nyumbu sugu, hauelewiSasa Arsenyo nayo ni timu au ni kikundi cha comedians?
Timu inaongoza ligi kuanzia Augost mpaka April wanabakiza mwezi mmoja wakabidhiwe kombe wanalegeza makalio.
Kote mkuuUzi wa Chelsea na arsenal haufunguki tangia majuzi,,,,ni kwangu tu au
Kwamba Martinez na Anthony hawakuwa chaguo la Ten Hag au sio
Mbona ameelezea vzr sana , sio kwamba wachezaji amesajiliwa ila hawakua chaguo lake la kwanza.Kwamba wachezaji wengine wote amesajikiwa
Hahaha Habari za vijiwen
Ukwel mchungu huu ila ndo hali halisiIli kulinda afya yangu ya akili na kupunguza kufuatilia vitu vya hovyo.
Kuanzia leo napumzika kuifuatilia Man United mpaka pale timu hii itakapokuwa na wachezaji sahihi wa kuichezea.
Tukutane msimu ujao.
Mimi sichambui mpira kwa kufuata mkumbo mkuu, natoa facts, tatizo letu sio kiungo mkabaji wala kiungo mshambuliaji wala sio beki japo tunapaswa kuongeza kiungo mmoja wa kumsaidia Casemiro.Sawa mkuu, kwahiyo kumbe team haina shida ya kiungo? Tupo sawa kabisa tukomae na Casemiro na Mctominay kama DM na dogo Mainoo?
Sawa mkuu, kizuri ni kuwa striker tumesajili na soon atacheza, basi tutakutana hapa hapa na hizi data.Mimi sichambui mpira kwa kufuata mkumbo mkuu, natoa facts, tatizo letu sio kiungo mkabaji wala kiungo mshambuliaji wala sio beki japo tunapaswa kuongeza kiungo mmoja wa kumsaidia Casemiro.
Hadi sasa timu yetu kwenye ligi ni timu ya tatu kwa kutengeneza big chances nyingi nyuma ya Brighton na Newcastle.
Ndani ya hizi mechi mbili tumcreate big chances 6 tumefunga moja tena ni beki ndio kafunga sawa na 16.66%, Brighton wamecreate tisa wamescore 8 sawa na 88.88%, Newcastle wamecreate 8 wametumia 5 swa na 62.5%. Na utd ndio timu ilipoteza big chances nyingi zaidi ya timu yeyote ya big 6, sasa kwa akili tu ya kawaida utasema tatizo la timu ni kiungo, beki au forward?