Mimi natumia app inaitwa ......Football Live HD.Mwenye link yaku stream live anitumie wadau, isiwe inakuba mb sana lkn
Asee mnaangaliaje hii mechi?? Dstv inaoneshwa??Nimeweka alarm hapa sijui hata kama nitaisikia aisee..
Mkuu hebu screenshot hiyo app nione, maana nimejaribu kuitafuta yamekuja machaguo mengi balaaMimi natumia app inaitwa ......Football Live HD.
MU app..ndani yake kuna MUTV..Unaangalia fresh bila shidaAsee mnaangaliaje hii mechi?? Dstv inaoneshwa??
HiyoMkuu hebu screenshot hiyo app nione, maana nimejaribu kuitafuta yamekuja machaguo mengi balaa
Hata Magwaya na Mikidadi wakienda West Ham watakuwa wakali kama ilivyo kwa Lingard tuDogo atawaka sana huko na tutamtamani yetu macho. Nilifuatilia aina ya magoli aliyekuwa akifunga akiwa academy nahisi kule hakuna pressure na atakuwa comfortable.
"Kumbe siku hizi wachawi siyo wazee." 🎵BREAKING:Erik Ten hag has been sacked by Manchester united.
“Manchester United would like to thank Mauricio for all his efforts and contribution and wish him well for the future”, club statement announces.
Microphone checkOne Two One Two
Kuna kipa huwa hafungwi!!??Onana. 😁
Hiyo ni hela anachukua kwa mwezi?View attachment 2700133
Noma sana
Sijajua labda tumuulize Chief-MkwawaHiyo ni hela anachukua kwa mwezi?