HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,643
- 7,073
Kaumeme kamerudi huku nikachaji simu kidogo nikasema niingie humu niwape za uso kwanza ndiyo niende kuwapongeza wenzangu. Heh! Kumbe nyie ndiyo mmetufunga?
Hongereni. Nasevu maneno yangu kwenye Microsoft word Kwa next game ambayo tutawacharaza mpaka muache meno uwanjani
Hongereni. Nasevu maneno yangu kwenye Microsoft word Kwa next game ambayo tutawacharaza mpaka muache meno uwanjani







