Endelea kupiga mboyoyo,watu hawataki biashara za Mali kauliKujinyonga ni tabia ya Yatima FC ndio maana vichapo vyao vizito viliondoka na watu
Kwanza wapunguze Maguire na Varane hata ndani transfer window mbili ili tutafute reliable defenders.Hamna anayeondoka kwa wale waliokuwepo last season ila si unajua pancha za Varane akiumia tu anatuachia msala wa Maguire
Kwa mtazamo wako tunahitaji kuboresha maeneo yapi msimu huu mkuu?Unategemea ushinde makombe ukiwa na Shaw, Wan Bissaka, Malacia, Dalot? Em tuweni serious basi
Nilisema hii kitu siku za nyuma,Sheikh Jassim akiamua kuinunua West Ham wale washenzi Glazers watakuwa wanakatwa,fans sijui wanakwama wapiView attachment 2687014
Kwanza wapunguze Maguire na Varane hata ndani transfer window mbili ili tutafute reliable defenders.
Kwamba Sheikh Jassim ataconsider option ya kuinunua West Ham kama ataamua kujiengua katika kinyang'anyiro cha kuinunua Man UnitedWameandika nini hapo we NYUMBU
Hii ni simple sana,Kwa mtazamo wako tunahitaji kuboresha maeneo yapi msimu huu mkuu?
Hao hawataki kuiachia kama wangekuwa na nia kweli wasingeenda hadi round ya 5 ya bidding.Ila kina Glazer sidhani kama wana nia ya dhati ya kuiuza Manchester United, lazima wanacheki waone kama ligi ikienda vyema basi wataahirisha mpango wao, mana wanahisi wanauza team wakati wa mafanikio yanakaribia
Endelea kuota ETH atatimuliwa na Dingi yako labdaHii ni simple sana,
1. Glazers watuachie timu, Shekh ashike usukani.
2. Timua kocha, tunahitaji kocha mwenye ushindani, kocha atakae jua kuwa hii ni EPL na sio Eradivisie aache kuchukua mchezaji yoyote ili mradi kawahi kucheza Eradivisie au ni mholanzi, kocha ambae atakua tayari kuwaambia Glazers kuwa hii ni nyeusi na hii ni nyekundu, sio nyeusi anasema ni blue ili mradi kuwaridhisha Glazers.
3. Timua kikosi kizima muache Varane, Martinez na Casemiro, Rashbeck mpeleke kwa mkopo MK Dons. The rest wauze kokote kule out of EPL, wachezaji kama Anton, Fred, Sancho, Luke shaw, AWB ni dhambi kuendelea kuwaona week in week out wakicheza EPL achilia mbali kucheza Manchester.
4. Nunua wachezaji wenye winning mentality, matured players tuachane na hivi vitoto
Maguire na Varane kwa sasa ni liability.Maguire ameshapewa go ni wa kutoka tu. Varane aanzie bench maana miguu ya glass
Hii partnership ya Leon Bailey na Diaby kwenye flanks ilikuwa hatari sana.Aston Villa atamuua mtu, sisi na wale tuendeleee na hadithi za kitoto.
Anthony, sterling, madueke, badiashile, fred, mctominay n.k
View attachment 2687067
Moussa diaby,
Sema siwaamini sana wachezaji wanaotoka bundesliga
Tusajili timu mpya dirisha moja tu la usajili?Hii ni simple sana,
1. Glazers watuachie timu, Shekh ashike usukani.
2. Timua kocha, tunahitaji kocha mwenye ushindani, kocha atakae jua kuwa hii ni EPL na sio Eradivisie aache kuchukua mchezaji yoyote ili mradi kawahi kucheza Eradivisie au ni mholanzi, kocha ambae atakua tayari kuwaambia Glazers kuwa hii ni nyeusi na hii ni nyekundu, sio nyeusi anasema ni blue ili mradi kuwaridhisha Glazers.
3. Timua kikosi kizima muache Varane, Martinez na Casemiro, Rashbeck mpeleke kwa mkopo MK Dons. The rest wauze kokote kule out of EPL, wachezaji kama Anton, Fred, Sancho, Luke shaw, AWB ni dhambi kuendelea kuwaona week in week out wakicheza EPL achilia mbali kucheza Manchester.
4. Nunua wachezaji wenye winning mentality, matured players tuachane na hivi vitoto
Why not man? Tunazungumzia Manchester united bro, one of the richest and biggest football club in the world.Tusajili timu mpya dirisha moja tu la usajili?
Mkurupukaji huyo sijui anadhani sisi ni Nottingham Forest.Tusajili timu mpya dirisha moja tu la usajili?
Financial Fair Play ni shemeji zetu au sioWhy not man? Tunazungumzia Manchester united bro, one of the richest and biggest football club in the world.