Msimu uliopita kapigwa 7 na Liverpool de gea akiwa kwenye ubora wakeManjesta tumewakosakosa kuwalamba 4,5 hata 10 Mara kadhaa kikwazo Degea ,tunawasakaga Sana ,Kama hiyo mechi ya ON TARGET 14 , hata hii ya mwisho 3-2 , matokeo hayahakisi kabisa tulivyocheza ,muda mwingi tulikuwa kwenye box lao, Degea anaokoa Sana
Sasa acha wamlete Sweeper halafu mabeki wawe wachomaji
De Gea hatakiwi kubaki kwa sababu ya mindset ya mashabiki wengi haitawaingia akilini kumuona akikaa benchi kama namba 2.Mimi nasubiri tu kuona kocha atafanya nini, kazi yangu kushabikia tu. Nimeona pia watu wengi hawataki hata idea ya De Gea kubaki na Onana kuja yani wao wanaamini akiwepo Onana tumemaliza na hatuhitaji backup nzuri.
Muda ndiyo hakimu.
Sio kwamba Ten Hag anatafuta sajili ambazo ashawahi kufanya nao kazi ila ni ugumu wa kupata wachezaji anaowataka ndio unasababisha aje na hiyo plan B kwa sababu ni rahisi kuwapata kutokana na connection yao ya nyuma.Onana kwenye shot stopping na reflexes hawezi kumfikia De Gea miaka 100.
Onana kwenye timu yenye defence na midfield kama United ipo siku mtamkumbuka De Gea.
Mimi sikubaliani na De Gea kuwa #1 msimu ujao ila Onana siyo kipa sahihi wa kucheza United kwasasa.
EtH ni kama vile sajili zake nyingi anatafuta watu aliowahi kufanya nao kazi kabla, wenye uraia wa Holland, waliocheza Eredivisie au aliowahi kuwahitaji miaka hiyo ana budget ndogo.
Kucheza na midfield ya Case, Mount, Bruno kwa kipa Onana ni risk sana.
Tatizo kubwa la De Gea ni uoga na kufanya makosa ya kizembe. Kipa mpya anahitajika na sokoni kuna options nyingi tu ni suala la kocha kutuliza akili.
Nimekuelewa Mkuu.Hilo halina ubishi lakini watu hawataki kuangalia overall game ya Onana:
Kwenye footwork, distribution, confidence na concentration, Onana yupo vizuri.
Swali la kujiuliza Onana kwenye handling technique, consistency, positional awareness, decision making, point blank saves (hapa De Gea ni 100%) ana uwezo wa kumfanya kuwa bora maana hayo ndiyo maeneo muhimu kwa timu ambayo midfield haikai na mpira.
De Gea kacheza top level football consistently, kwenye decision making yupo vizuri na ndiyo maana huwa anafanya saves nyingi kwenye 1v1.
Foresight pia ni kitu Onana hana kutokana na risk anazofanya akiwa anataka kufanya sweeping. Mara nyingi huwa anatoka na anapoteza mipira nje ya box lake. Kwa kasi ya EPL, Ten Hag afikirie sana maamuzi anayotaka kufanya.
Usajili wa Onana nitauleweka kama tu De Gea atapewa mkataba. Tunapaswa kuwa na options nyingi ila kumuamini Onana moja kwa moja ni kosa.
Mashabiki wa upinzani ni wanafiki sana kipindi Maguire anatua hakuwa mbovu kama wa sasa na tulikuwa tunampamba ila wao wanamponda na kusema tumetapeliwa ila baada ya sisi kuanza kumpondea wao wanatetea wanasema Maguire mzuri ila timu ndio mbovu.ila we jamaa si ndio ulikua unaongoza kumponda De gea wakati ligi inaendelea?
Au yale yalikua ni maneno tu ya kishabiki?
Ten Hag hata akiwa Ajax licha ya kuwa ni ligi ya nyumbani ila first 11 yake Waholanzi walikuwa hawavuki wa4.haya mambo ya kila mchezaji wa Kiholanzi kuhusishwa na Man Utd ndio yanafanya kina Bachelor ll kupata nguvu zaidi ya kumhusisha 10 Hag na ujasusi wa nchi yake dhidi yetu.
Wakati tunamsifia miaka ya nyuma mlikuwa mnamponda ila saa hizi mnajifanya ndio watetezi,tumezoea unafiki wa wapinzaniKuna uwezekano mkubwa de gea ndio mchezaji mwenye utimamu na uzalendo pale unyumbuni HQ
Naona nyumbu wanarusha kitaulo kabla ya ligi kuanza
Hawa Arsenyani ni watani wetu wa jadi tuwazoee tu.Wakati tunamsifia miaka ya nyuma mlikuwa mnamponda ila saa hizi mnajifanya ndio watetezi,tumezoea unafiki wa wapinzani
Fred..Which of these players are you willing to give at least one more season?
#ππ§πͺπ¨π©πππππ§π€πππ¨π¨πππ
#ππ£ππ©ππππ€π§π©πππππ£π¨
#πππππ ππ ππ¨π¨ππ’ππ£πΌπ©πππ£ππ©π
#ππ‘ππ―ππ§πππ
#ππππ
man utd |View attachment 2674647
Hilo suala haliwezekani. Unajua 95% ya mashabiki wa United hawaishi England!Ila hata mashabiki Wa Man U wa pale uingereza ni mafala sana,hivi Kwa muda wote huu wamesshindwa kuwatingisha hao Glazers mpaka waachie klabu? Wanaishia kuandamana kinafikihalafu msimu unaooanza unakuta wao ndio wanaojaa uwanjani kuliko timu zingine. Naamini wangekuwa serious wangekuwa washapeleka ujumbe na hao Glazers wangekuwa washaondoka
Facthaya mambo ya kila mchezaji wa Kiholanzi kuhusishwa na Man Utd ndio yanafanya kina Bachelor ll kupata nguvu zaidi ya kumhusisha 10 Hag na ujasusi wa nchi yake dhidi yetu.
Wangejaribu tuone hao wageni wapige kelele za kuisapoti timu OT ktk mechi karibia zoteHilo suala haliwezekani. Unajua 95% ya mashabiki wa United hawaishi England!
Manchester tu ina wakazi 1.7m na kwa mwaka 2018 population ya England ni 60m.
Old Trafford kwa mwaka inapata visitors siyo chini ya 1.5m hawa ni watalii.
Old Trafford capacity ni 74k na katika msimu wa EPL kuna mechi 19 za home, yaani wenyeji wasipoingia uwanjani basi wageni wataijaza OT na huwezi kumzuia mtu aliyekuwa na ndoto za kufika OT aache kutimiza ndoto yake ajiunge kufanya maandamano.
Tuna Waholanzi wawili tu Malacia na Van De Beek ambaye kocha kamkuta tayari mnalialliaFact
Papaya gx unakatwa na Magwaya ππππππTimu la vilaza
"Kama nawaona vile mashabiki wa Ronaldo bado wanasikiliziaga kocha ateleze kidogo wapate pa kubwekeaTuna Waholanzi wawili tu Malacia na Van De Beek ambaye kocha kamkuta tayari mnaliallia
Hadi saaa tumehusishwa na wachezaji zaidi ya 70 ila mliowaona wa Kiholanzi tu
Kuna kuhusishwa na kusajili,Ten Hag sio mtu wa hivyo,kama nilivyojibu hata akiwa Ajax sio muumini wa kutumia Waholanzi unless wana uwezo sana na starting line up yake hawakuwahi kuzidi 4.
Kama nawaona vile mashabiki wa Ronaldo bado wanasikiliziaga kocha ateleze kidogo wapate pa kubwekea
Ligi ianze tu ,ushanenepa sana"Kama nawaona vile mashabiki wa Ronaldo bado wanasikiliziaga kocha ateleze kidogo wapate pa kubwekea"View attachment 2675247
Wameziweka kwa ushahidi wa wanaobisha, kuna saves nyingi De Gea anazifanya kufuta makosa aliyofanya dk 1 nyuma.Wamemtengenezea De Gea fail compilation ya dk 109! Hizi ni chuki sasa.
Kwa style hii wachezaji wengi wakija watakuwa under pressure kwasababu kosa 1 tu mashabiki wote wanakutukana.