D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Onana ni Inter MilanUna fact kwa upande fulani ,Kama manjesta kwenye kufunga ilikuwa butu ,means mngekuwa na kipa ambaye ikipigwa imo ,Basi mngekuwa nafasi 12-15
Mfano rahisi Ni Chelsea ,walikuwa hawafungi magoli ya kutosha halafu kipa wao Kepa huwa Ni mbovu kwenye long shots , wamejikuta 12-15.
Mimi naamini pamoja na Degea na kukosa footwork ,mnatakiwa kupata kipa mwingine mwenye footwork nzuri na shot stopping angalau nzuri kiasi, mfano Yule kipa wa Ac Milan, Onana sio mbaya Sana kwenye shot stopping
Degea Ni sehemu tu ya matatizo
Habari kama hizi binafsi zinanikera,wakamilishe mchakato mbwa hawa.Man Utd's new owners might not be in place before next season!
Mail Sports understand should the Glazers decide who they want to sell to, a further eight to 12 weeks ‘approval process’ would follow before a deal is officially approved.
That means that when Erik ten Hag’s men start the 2023-24 campaign against Wolves at Old Trafford on August 14, the Glazers – deeply unpopular with large sections of the club’s fanbase - may well still be technically in control.
Any successful bidder will be subject to an approval and closing process and there will be no impact on United’s summer transfer business. As Mail Sport reported yesterday, Ten Hag’s transfer budget has been set at around £120m. That is open to change depending on how much he can bring in from selling players.
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2658984
Wamrudishe Henderson kuna kipindi Ole alimpiga benchi De Gea kwa game za kutosha na kijana alisimama vyema sana.Bajeti ya manchester united ni paundi millioni 120.
Unamuondoaje david de gea?
120?asee.Man Utd's new owners might not be in place before next season!
Mail Sports understand should the Glazers decide who they want to sell to, a further eight to 12 weeks ‘approval process’ would follow before a deal is officially approved.
That means that when Erik ten Hag’s men start the 2023-24 campaign against Wolves at Old Trafford on August 14, the Glazers – deeply unpopular with large sections of the club’s fanbase - may well still be technically in control.
Any successful bidder will be subject to an approval and closing process and there will be no impact on United’s summer transfer business. As Mail Sport reported yesterday, Ten Hag’s transfer budget has been set at around £120m. That is open to change depending on how much he can bring in from selling players.
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2658984
Daah..hela kiduchu sana..Bajeti ya manchester united ni paundi millioni 120.
Unamuondoaje david de gea?
Hiyo nafuu wapeleke kwa Goncalo Ramos.Hojlund wanataka £80m!!!??? Hii timu washaona ni sehemu ya upigaji pesa.
Man United haijui kununua wala kuuza wachezaji.120? Tuhesabu maaumivu msimu ujao. Glazzers hawa watu wanazingua
Hawezi kuwa listed kwenye retained squad kwasababu hana mkataba ila kwa budget iliyopo naona akibaki maana akiondoka bure sisi ndiyo tutapata hasara kwa kutoa pesa kutafuta kipa.Hii kama gelesha tu ila hapa tayari imekwisha labda tuone watafanya nini hizi wiki 2 zilizobaki. View attachment 2659670
Hasara kupata kawaida tulipata kwa Pogba tuliyemnunua hela nyingi akaondoka bure ila De Gea alisajiliwa bei chee.Hawezi kuwa listed kwenye retained squad kwasababu hana mkataba ila kwa budget iliyopo naona akibaki maana akiondoka bure sisi ndiyo tutapata hasara kwa kutoa pesa kutafuta kipa.
Mazungumzo ya mkataba mpya yamekuwa yakikwama kisa hataki sharti la kupunguza mshahara wa £375,000 kwa wiki aliokuwa akipokea,hapa ndio nagundua kwamba United ni kama mgodi wa watu kujipigia hela za uzeeni pensheni.EtH anasafisha banda. CR7, DDG, Jones.
View attachment 2659700
Highlights zake sijaona hata goli la kichwa..£80m kweli?Hiyo nafuu wapeleke kwa Goncalo Ramos.
Ni risk sana kwa kijana yule hiyo hela halafu ukizingatia serie A inaongoza kwa kutoa sajili za tapeli,hebu leta hapa mshambuliaji mkali aliyesajiliwa na timu za Epl toka serie A halafu akafanya vizuri.Nadhani ni Salah tu ambaye kiuhalisia anatokea pembeni ndio kaonesha potential wengine wote za uso
Hata mabeki na viungo ndio usiseme huwa hawatambi nje ya ile ligi.
So ni bora waende Ureno na hiyo hela wakambebe Goncalo Ramos tena ni €80m na katupia mabao ya kutosha sana ila sio kwa huyo aliyefunga 9 tu kulipa hilo dau tunajirisk kama kwa Antony
Na unamnunuaje Kane kwa pesa yote?Bajeti ya manchester united ni paundi millioni 120.
Unamuondoaje david de gea?
Ndio maana nikasema risky pia kwa wote.Highlights zake sijaona hata goli la kichwa..£80m kweli?