Uzi unatambulishwa lini??Any #mufc transfer activity is expected to be delayed by their takeover talks.
Newcastle DO NOT expect to make an offer for Harry Maguire as things stand.
[Simon Jones]
#ππ§πͺπ¨π©πππππ§π€πππ¨π¨πππ
#ππ£ππ©ππππ€π§π©πππππ£π¨
#ππ‘ππ―ππ§πππ
#ππππ
man utd |View attachment 2655109
Timu wanapewa Qatar ni suala la muda tu. SJR na INEOS wametumika na Glazers ili Sheikh Jassim aongeze dau. Baada ya 5th bid wiki iliyopita jana taarifa kutoka reliable sources zinasema tayari wanasheria wa pande zote mbili SJR na Sheikh Jassim wanamalizia taratibu za kishetia na RAINE ili kusubiri maamuzi ya Glazers.Ndugu yangu ,Timu atapewa Sir Jim , maana ni Chawa wa Grazzer
Huu uko magoli ngoja tusubiri zenyewe
Mambo ya on loan ndo sitaki kuyaskia saivi kwa senior players waliokuwa kwenye kikosi cha kwanza.Newcastle want Harry Maguire on loan.
#AlanNixon
#ππ§πͺπ¨π©πππππ§π€πππ¨π¨πππ
#ππ£ππ©ππππ€π§π©πππππ£π¨
#ππ‘ππ―ππ§πππ
#ππππ
man utd |View attachment 2654933
Mount unamfananisha na Caicedo? Caicedo mtu mwingine yule aiseeKati ya mason mount na caicedo yupo ni bora
Kwa mujibu wa David ornstein haongeagi Sana ,Mara ya mwisho alisema inaonesha timu atapewa Sir JimMizani inaelemea QATAR.
View attachment 2655536
Caicedo hawezi kucheza advanced #8. Mount na Caicedo ni profiles mbili tofauti.Mount unamfananisha na Caicedo? Caicedo mtu mwingine yule aisee
Muweke #6 ,#8 au RB INVERTED DM , anakupa A+
Mount alifanya vzr msimu ule wa Tuchel ,baada ya hapo amekuwa Kama Dele Ali
"Mwenye macho haambiwi tazama."Kwa mujibu wa David ornstein haongeagi Sana ,Mara ya mwisho alisema inaonesha timu atapewa Sir Jim
Waandishi wa Telegraph walisema anapewa Jim
Labda upepo ubadilike
Inategemea na kocha tu, kwa mifumo yenu hapo manjesta unaona Ni ngumu, mfano sisi tunamleta Rice ambaye Ni DM aje acheze advanced 8,Caicedo hawezi kucheza advanced #8. Mount na Caicedo ni profiles mbili tofauti.