Mngempaga nafasi ya DOF rangnik mngepata wachezaji wazuri kwa Bei nafuuMkuu usifananishe city na utd kwenye market. Utd na Madrid kinachowaponza kwenye usajili ni brand zao. Leo hii City au Liver ikimtaka mchezaji bei yake inakuwa ya dagaa, utd au Madrid akitia mguu kwa mchezaji huyo huyo ghafla bei yake inageuka kuwa ya Sangara.
Shida manjesta haina watu wa mpira , wakitajiwa Bei kubwa isiyoendana na uhalisia wanatoa , angalia pale city walivyotajiwa Bei ya Cuculera walisema Wanamthaminisha mwisho Β£35-40m , Tajiri miluzi sababu sio mtu wa mpira akatoa Β£62mMkuu usifananishe city na utd kwenye market. Utd na Madrid kinachowaponza kwenye usajili ni brand zao. Leo hii City au Liver ikimtaka mchezaji bei yake inakuwa ya dagaa, utd au Madrid akitia mguu kwa mchezaji huyo huyo ghafla bei yake inageuka kuwa ya Sangara.
Shida manjesta haina watu wa mpira , wakitajiwa Bei kubwa isiyoendana na uhalisia wanatoa , angalia pale city walivyotajiwa Bei ya Cuculera walisema Wanamthaminisha mwisho Β£35-40m , Tajiri miluzi sababu sio mtu wa mpira akatoa Β£62mMkuu usifananishe city na utd kwenye market. Utd na Madrid kinachowaponza kwenye usajili ni brand zao. Leo hii City au Liver ikimtaka mchezaji bei yake inakuwa ya dagaa, utd au Madrid akitia mguu kwa mchezaji huyo huyo ghafla bei yake inageuka kuwa ya Sangara.
Kwa mara ya kwanza tokea kumalizika WC leo ndio nmekuona umeandika positive kuhusu Man Utd.Mimi Kama mchambuzi nguli kwa Mara ya kwanza nimeiona manjesta vs Mancity ikifanya buildup kutoka nyuma Mara kadhaa na inafanikiwa
Kwasisi wahafidhina tunaoangalia positive na negative , hii imetutusha kidogo
Kama Mtasajili yule Kim ,acheze na Martinez na kipa Kama Onana ,au David Raya , mtaokota points nyingi
Maana manjesta wakifika eneo la Kati wanakuwa quickly kufanya transition kwa pass 2-3
Kwasisi ambao huwa hatuishii kuangalia matokeo tu ,dhidi ya city Kuna positive sign zilionekana
Kwasasa inategemea na Sajili mtakazofanya
Uwepo wa GK mwenye footwork , Lisandro ,CB like Kim, Luke Shaw ,
Itawarahisishia kuondoka nyuma haraka na kufika eneo la Midfield
Hivi uyo KIM mbona hana tafauti na magwaya sana stat zina mbeba lakn uchezaji wake n ule ule mzito kama wlivyo magwaya tu fuatilia utaonaMimi Kama mchambuzi nguli kwa Mara ya kwanza nimeiona manjesta vs Mancity ikifanya buildup kutoka nyuma Mara kadhaa na inafanikiwa
Kwasisi wahafidhina tunaoangalia positive na negative , hii imetutusha kidogo
Kama Mtasajili yule Kim ,acheze na Martinez na kipa Kama Onana ,au David Raya , mtaokota points nyingi
Maana manjesta wakifika eneo la Kati wanakuwa quickly kufanya transition kwa pass 2-3
Kwasisi ambao huwa hatuishii kuangalia matokeo tu ,dhidi ya city Kuna positive sign zilionekana
Kwasasa inategemea na Sajili mtakazofanya
Uwepo wa GK mwenye footwork , Lisandro ,CB like Kim, Luke Shaw ,
Itawarahisishia kuondoka nyuma haraka na kufika eneo la Midfield
Point.Kwa mara ya kwanza tokea kumalizika WC leo ndio nmekuona unaandika positive kuhusu Man Utd.
Kipindi cha nyuma hamis77 kabla ya kuingiza ushabiki wa kuegemea upande mmoja ulikua ukichambua mpira msomaji anafurahi na anatamani kurudia kusoma tena na tena kile ulichokiandika, binafsi mimi nimejifunza mambo mengi niliyokua siyajui kupitia kwenye maandiko yako.
Ushauri wa bure tu kwako wewe jamaa unajua sana kuhusu soka tunakuomba ujikite zaidi katika kuchambua ki professional kama zamani, huu ushabiki lialia tuachie sisi akina Flano ambao tuko hapa kwa ajili kuchangamsha tu majukwaa na kuburudisha mashabiki kwa utani na masihara ya hapa na pale.
Hivi uyo KIM mbona hana tafauti na magwaya sana stat zina mbeba lakn uchezaji wake n ule ule mzito kama wlivyo magwaya tu fuatilia utaona
MAGUIREHivi uyo KIM mbona hana tafauti na magwaya sana stat zina mbeba lakn uchezaji wake n ule ule mzito kama wlivyo magwaya tu fuatilia utaona
Hivi kuna Mbadala mwingine wa De Jong?1st phase midfielder maana yake tupate mtu kama De Jong, jambo ambalo ni gumu kutokea.
Badala yake ni bora EtH auze Bissaka asajili Timber kuja kucheza inverted full back.
Hivi uyo KIM mbona hana tafauti na magwaya sana stat zina mbeba lakn uchezaji wake n ule ule mzito kama wlivyo magwaya tu fuatilia utaona
Binafsi hiyo pesa ya kumnunua Harry Kane ni bora tukawekeza kutengeneza timu ya muda mrefu.#ππ§πͺπ¨π©πππππ§π€πππ¨π¨πππ
#ππ£ππ©ππππ€π§π©πππππ£π¨
#ππ‘ππ―ππ§πππ
#ππππ
man utd |View attachment 2647715
Hojlund kama backup striker then striker no moja awe nani?Context:
Mount anakuja kucheza kama right sided no 8.
Timber siyo overlapping RB so tutamhitaji Mount ku-link na Antony. Pressing yao itakuwa ya hatari sana.
Kwenye build up tutaweza kucheza na back 5 (3-2) ya Martinez, Min-Jae na Timber wakitengeneza 3 at the back kwasababu Timber ni mzuri kuanzisha mashambulizi kutokea nyuma. Shaw inverted kuwa pivot pamoja na Casemiro.
Pia tunaweza kucheza na 2 CBs mbele yao kukiwa na 2 mids. Tukiwatumia FBs Shaw na Dalot (overlapping RB)
Costa kama ball playing GK.
Hojlund kama backup striker, hapo tutapata a balanced team bila hivyo Β£100m kwa Kane timu itakuwa na matobo mengi.
Kumuuza AWB..Ni kitendo tu cha kumuuza Wan-Bissaka na replacement yake kuwa Timber (inverted RB). Kim Min-Jae anakuja kama right sided CB.