yaan kuna muda unawazaaaa, unagundua kumbe na wazungu nao ni mazuzu tu.Manjesta shida Ni management ,Chelsea Wanataka wawauzie mount kwa β¬80m halafu wao hiyo hiyo hela wakamchukue Caicedo kwa Β£75-80m (β¬80-85m)
Wakati huo huo manjesta unaona kabisa wanamuhitaji mtu Kama Caicedo ,
Umri mdogo, anacheza #8 ,#6 anacheza inverted RB , Ni press resistant
Kitu kingine Caicedo anatoa priority kwa timu inayocheza UCL ,
Kituko Sasa Manjesta wanakomaa na mount ambaye kwa misimu miwili amekuwa na kiwango duni
baada ya kuvuta bangi.Kane gani kwanza huyo mnaye msemea humu.maana kane wa Tottenham ana enda zake madrid.nyumbu labda mpewe kane wa WWE.mk8 jitahidi sana mta pata mitrovic wa Fulham ndo size zenu
Kituko zaidi tulikishuhudia kwenye sakata la jesse lingard.Kufanya maamuzi sahihi juu ya kikosi chake.
Hapo nilikuwa namuelezea kuhusu usajili wa msimu huu. Tunawahitaji hao wakina Caicedo, Kane, Mount, Min-Jae, Costa ila tatizo ni pesa.hatujawahi kuwa na shida ya matumizi ya fedha, yapo mengi ya ujinga anayoandika huyo hamis77 na pia yamo mengi ya msingi anayoandika huyo bwana.
anachokosea yeye ni njia sahihi ya kuwasilisha.
timu inayotumia paundi millioni 150 hadi 200 kila mwaka huwezi kusema ina ukata wa fedha.
Hii timu ina upuuzi mwingi. Ni muda sasa tuwe na roho mbaya na maamuzi magumu kama Real Madrid.tatizo kuu linalotukabili hatujui muda sahihi wa kufanya maamuzi yenye maslahi mapana kwa klabu.
mfano:
chini ya ralf rangnick tulishuhudia kupewa muda mwingi wa kucheza anthony elanga, kwa klabu ilio makini ingelihakikisha inamuweka sokoni dirisha lililopita na tungelipata fedha nzuri.
mimi ninayeishi huku unguja upembani nilishamuona anthony elanga hana future njema hapo klabuni, ina maana uongozi wa manchester united wao hawakuliona hilo?
leo hii tunamweka elanga kwa thamani ya paundi millioni 10
liverpool wamemuuza neco williams kwa paundi millioni 17 kwenda nottingham forest.
liverpool wamemuuza harry wilson kwa paundi millioni 14 kwenda Fulham.
liverpool wamemuuza solanke kwa paundi millioni 19 kwenda bournermouth
hawakusita kuwaweka sokoni kwa sababu walishaona hawana mpango nao wa muda mrefu licha uchanga wa umri wao.
walichokifanya wao ni kuwabrand wachezaji wao.
full stop
manchester city walimuuza bazunu kwenda southampton, yaani city wamepata paundi millioni 13 kwa golikipa anayecheza Kikosi B.
MAN CITY hao hao wamemuuza lavia kwenda southampton kwa paundi millioni 15 huku wakiweka kipengele cha kumnunua tena kwa paundi millioni 40, huyu lavia naye alicheza team B.
sisi mpaka leo tunaumiza kichwa juu ya dean henderson, yaani kimasihara masihara tunazikalia paundi millioni 25 hadi 35 kwenye makalio ya carrington.
Team ilio serious haiwezi kumfikiria scott mctominay kwa zaidi ya mara mbili, newcastle united walishaonyesha nia ya kumhitaji lakini klabu inasita kupokea paundi millioni 25 hadi 35 kwa mpuuzi kama yule.
unajiuliza hii klabu ya manchester united inakhofia kitu gani kwa kumpoteza mctominay?
uza mctominay baadae mnunue mathew nunez wa wolves,
umepoteza nini?
tuna safari ndefu sana
1st phase midfielder maana yake tupate mtu kama De Jong, jambo ambalo ni gumu kutokea.nasubiria muujiza wa ten hag.
nataka kuona jinsi atakavyoitawala hiyo dunia kwa kutumia namba 8 wawili kama tunavyoambiwa.
bruno + mount .
na wakati huo huo DM wako ni casemiro na si RODRI.
tutaendelea kucheza mpira wa kufukuzana na wapinzani mpaka kiama.
ninachokiona mimi ujio wa mount si mwisho wa kusajiliwa kiungo mwengine wa kati
we need controller hususani phase 1 ndipo tumfikirie huyo mount.
chelsea wamefanya sajili nyingi za kipumbavu lakini Mungu kawajaalia huduma ya ENZO.
mwili wa enzo ulipaswa kuwepo manchester united, ila sishangai tulikataa kulipa euro millioni 20 kwa ajili yake.
tukakataa kulipa euro millioni 6 kwa caicedo.
Uliona ile video ya utabiri wa yai? π
Kasaini mkataba juz na una release clause ya β¬150mMan wamchukue leao wa Ac milan
Mkuu usifananishe city na utd kwenye market. Utd na Madrid kinachowaponza kwenye usajili ni brand zao. Leo hii City au Liver ikimtaka mchezaji bei yake inakuwa ya dagaa, utd au Madrid akitia mguu kwa mchezaji huyo huyo ghafla bei yake inageuka kuwa ya Sangara.Graza kinachowaponza wametoa Uhuru mkubwa watu washike nyadhifa ambazo Ni muhimu Sana ,
Nikweli wanabeba pesa mingi Sana, lakini bado kile kidogo wanachokitumia kwa usajili Ni kikubwa ,hamjawahi kuwa na tatizo la kusajli wachezaji wa β¬80-100m
Kama Ni hivo tatizo lipo kwa uongozi, Graza hawajui mpira inajulikana , walipotoa mianya waletwe watu wa mpira bado hawakuletwa watu wampira
Leo timu akichukua muarabu bado mtasajili wachezaji wa Bei zile zile ambazo alikuwepo Graza ,
Siku mtakapoleta watu Kama kina Van der sar , Luis ocampos ,na watu wanaofanana mitazamo Kama hai, Katika uongozi wenu , hamtaona ubaya wa Grazzer.
Hivi unajua pale city wachezaji wao ukimtoa jack Ni wa Bei β¬30-60m tu ,
Amesaini mkataba mpya juzi tu wa miaka mitano haitakuwa rahisi halafu Leao ni kama Rashford kimatendo na maamuziMan wamchukue leao wa Ac milan
Mngempaga nafasi ya DOF rangnik mngepata wachezaji wazuri kwa Bei nafuuMkuu usifananishe city na utd kwenye market. Utd na Madrid kinachowaponza kwenye usajili ni brand zao. Leo hii City au Liver ikimtaka mchezaji bei yake inakuwa ya dagaa, utd au Madrid akitia mguu kwa mchezaji huyo huyo ghafla bei yake inageuka kuwa ya Sangara.
Shida manjesta haina watu wa mpira , wakitajiwa Bei kubwa isiyoendana na uhalisia wanatoa , angalia pale city walivyotajiwa Bei ya Cuculera walisema Wanamthaminisha mwisho Β£35-40m , Tajiri miluzi sababu sio mtu wa mpira akatoa Β£62mMkuu usifananishe city na utd kwenye market. Utd na Madrid kinachowaponza kwenye usajili ni brand zao. Leo hii City au Liver ikimtaka mchezaji bei yake inakuwa ya dagaa, utd au Madrid akitia mguu kwa mchezaji huyo huyo ghafla bei yake inageuka kuwa ya Sangara.
Shida manjesta haina watu wa mpira , wakitajiwa Bei kubwa isiyoendana na uhalisia wanatoa , angalia pale city walivyotajiwa Bei ya Cuculera walisema Wanamthaminisha mwisho Β£35-40m , Tajiri miluzi sababu sio mtu wa mpira akatoa Β£62mMkuu usifananishe city na utd kwenye market. Utd na Madrid kinachowaponza kwenye usajili ni brand zao. Leo hii City au Liver ikimtaka mchezaji bei yake inakuwa ya dagaa, utd au Madrid akitia mguu kwa mchezaji huyo huyo ghafla bei yake inageuka kuwa ya Sangara.