Kitendo Cha kumpa mkataba Dalot na kumbakisha Wana bisaka , eti wameimarika Ni dalili za kuendelea kupiga marktime
Ndio haya ya Sancho akifunga Goli mechi 1 , tunaandamana tunasema Sancho Ni potential ,Sancho amerudi yule wa Dortmund
Manjesta wanatakiwa kubaki wachezaji wasiozidi watano
Luke Shaw
Lisandro
Garnacho
Rashford
Bruno
Casemiro Kama sub
Wengine wote vunjia mikataba na kuwauza