Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama timu msimu huu tumefanya vizuri kinyume na matarajio ya wengi. Tukutane msimu ujao najua kuna watu hawajamuheshimu ETH kwa sasa ila msimu ujuo watamuheshimu. Huwezi kucheza na timu haina straiker EPL na ukamaliza top 4, kufika fainali FA na kuchukua karabao.
 
Tunawashukuru sana wachezaji wa Mancity kwa kutuheshimisha, leo tulijua mtatupiga nyingi ili kutufedhehesha.
Kikubwa nilichokiona kwenu ni mmejaa utu na uzalendo.
Kama kumfunga City ni rahisi nendeni mkamuulize Asenyo na Madrid.
Kikubwa tunachojivunia msimu huu makombe yote ya England yamebaki katika jiji letu tukufu la Manchester.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…