Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu Anthony wa €25m akauzwa kwa €100m kitapeli

Huwa nasema ni average player naambiwa eti Ni potential

Ndio maana huwa naamini na ndio ipo hivo , Anthony hamfikii chochote Nicolas Pepe , lakini pale Arsenal tulimuona hatoshi

Antony, Mudryk & Richarlison have a combined 5 PL goals

Pepe had 18 goal contributions for Arsenal in his first season and won the FA cup
 
Mnavurunda kwenye usajili, mambo yakianza kwenda mrama , Lawama anaangushiwa Graza family ,


Tujiulize huyu mason mount akiwa flop Kama Anthony au Sancho , je Yule Joel na ndugu yake watoto wa marehem Graza wanahusikaje?


Ndio maana hawaoni umuhimu wakuiuza manjesta


Wameshatoa £1.3B lakini zinasajili magarasa na wachezaji bila kuzingatia profile


IMG_20230601_202810.jpg
 
Hivi ukiulizwa mason mount anakuja manjesta je atacheza wapi na kwa mfumo gani ? Je timu itakuwa balance kwenye Attacking na defence?

Au unajipangia tu

Mount casemiro Bruno

Allo!!
 
MAJOR BREAKING:
#mufc have agreed personal terms with Mason Mount and are now expected to sign the Chelsea midfielder.
[@TelegraphDucker]


Chief-Mkwawa neno tafadhali
DEJAN7
Darmian

N.k
Sina tatizo na usajili wa Mason Mount atleast tutakuwa na mtu mwenye sifa tofauti kwenye midfield yetu.
Mount ni aggressive na energetic ukilinganisha na Ericksen lakini pia ni typical english midfield wanaocombine pace, agility, shooting na yuko technical. Aje tu.

Bila shaka Ten Hag atanufaika naye.
 
Ander Herrera: “I will watch it [FA Cup Final] for sure and I will watch it with a United shirt for sure.”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230602_001309_347.jpg
 
Hofu ya wachambuz nguli Kama sisi na kina Roy Keane tunajiuliza maswali haya

1: Mason mount Kama alishindwa kuingia first eleven kwenye timu Dhaifu iliyokuwa shimoni ,je ataisaidia Manjesta?


2: 7 hag hawez kucheza kwa ku dominate na ku control mechi ,je kumleta mount atamtumia wapi au ndio kutafutiana lawama


3: Mount anaonekana Ni profile ya kucheza double 8/10 kwenye mfumo wa 4-3-3 akishambulia half spaces, Je manjesta ya 7 hag ina wachezaji wa hivo? Tukumbuke Degea yupo, dalot kapewa mkataba mpya , Casemiro ambaye sio profile ya Viungo wa 4-3-3 ya double 8/10 yupo


4: Mount kwa £80m Ni muendelezo wa utapeli Kama ule wa Anthonykwa €100m , Sancho €85m ,magwaya €85m ....
Haya mambo yako haya ya "rebuild" cjui "half ya pili ya mpinzani" cjui nini nini ndiyo huwa yanakuponza mpaka unakimbia jukwaa lako
 
Pep anamchukua kovacic ila kwa bei ya madafu kabsa ila sisi tungepigwa hata £ 90+

Madrid wanamnyatia Kai havertz kwa bei elekezi kabsa

Ben10 aachane na wachezaji wa EPL azame chimbo uko bundasliga,Ligue 1,Serie A kuna vyuma vya uhakika haswaa

Nasema uongo ndugu zangu
Kweli kabisa.
 
Manjesta mseme kabisa nyie mtaanza ligi Kama Title contender au title pretender?
 
Tatizo la manjesta sio Graza family

Joel Graza eti analaumiwa kwa sajili hizi za kina Sawadogo
IMG_20230601_202810.jpg
 
Manjesta kwa mpira wenu wa janja janja ule


Kesho mnaweza kupigwa Goli 5 Hadi 7 kwa sufuri
 
7 hag aambiwe ukweli ,mpira wa janja janja una expire date , asitegemee Tena form ya Rashford na harakati za Degea kumfichia ujinga wake


Aambiwe ukweli
 
Mimi sio mjukuu wa Nabii ila haya yatatokea

1: Mashabiki wa manjesta wataandamana kumpinga Graza kwa sajili za kitapeli za 7 hag

2: 7 hag atakutana na vipigo mfululizo
 
SAJILI ZA KITAPELI


WEGHOST

0 Goals

1 Assist (yakujigonga gonga)
 
SAJILI ZA KITAPELI



JINA :SANCHO

ALINUNULIWA €85M

GOALS: 6

MECHI :50
 
SAJILI ZA KITAPELI

JINA: ANTHONY SANTOS

ALINUNULIWA KWA €100M

GOALS :4

MECHI 30+
 
SAJILI ZA KITAPELI

JINA:HARRY MAGWAYA

ALINUNULIWA KWA £85M(~€90M)

OWN GOALS :15

ERRORS LEADING TO GOALS:120
 
Bukayo Ayoyinka Saka ameenda Nigeria kwa mtaalamu wake wa tiba asili msimu ujao mkileta matapeli wenu kwa ground kuwalaumu ni lazima tu
IMG_20230602_111342.jpg
 
Back
Top Bottom