Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
Screenshot_20230601-192626.jpg
 
Manchester United have halved their asking price for Anthony Elanga this summer to Β£10m.


#MEN
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
 
Harry Kane has turned down Bayern and will not be moving to Munich. He only wants Manchester United.

Harry Kane has rejected Bayern's offer. He only wants Manchester United.


#BiLD
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |View attachment 2642849
Safi kabisa bora kane aje, kuliko hicho kitoto Victor usimen kije kianze kutusumbua Tena.
 
Sasa naanza kuona tofauti ya kocha na msimamizi wa mazoezi. Mambo ya kusajili watu tu bila kujali system yamepotea.

Sitaki kumpinga EtH hata kidogo, yeye alete watu anaoona watamfaa. Tulishamleta Sancho na bado tukauziwa ndoto za uongo.

Ila Chelshit ni mafala, €80m kwa Mount!? Maximum wale €40m + add-ons kama hawataki kocha aangalie upande mwingine.
20230601_201116.jpg
 
Mimi binafsi sioni huyu dogo atatusaidia nini..

Nasubiri tu kuona ataniprove vipi wrong..

Binafsi natamani tupate kiungo ambaye uwezo wake wa kuretain mpira ni mkubwa sana...
Mount ni pressing monster. Kama umewahi kufuatilia mechi za Chelsea kipindi yupo form basi uwezo wake utakuwa unaujua.

Msimu huu hajafanya vizuri na siyo yeye tu ni timu yote kwa ujumla. Hata Rashford msimu uliopita alizingua ila msimu huu kaweka namba za kutosha.

Tatizo la hili deal ni price tag tu ila kwa Mount kipaji kipo aisee.
 
Pep anamchukua kovacic ila kwa bei ya madafu kabsa ila sisi tungepigwa hata Β£ 90+

Madrid wanamnyatia Kai havertz kwa bei elekezi kabsa

Ben10 aachane na wachezaji wa EPL azame chimbo uko bundasliga,Ligue 1,Serie A kuna vyuma vya uhakika haswaa

Nasema uongo ndugu zangu
 
Chelsea wanajua kabisa manjesta Ni shamba la Bibi na 7 hag Ni mkurupukaji maana alimnununua Anthony wa €25m kwa €100m pamoja na kuwa alishakuwa nae Ajax akijua fika Ni average player


Chelsea wameanza na Β£80m wanajua manjesta wakijipigapiga watafika angalau Β£70m

Chelsea huo ujinga hawezi kuufanya kwa Liverpool au Arsenal


Ona Liverpool wanajiokotea Mac Allister kwa less than €60m
 
Hofu ya wachambuz nguli Kama sisi na kina Roy Keane tunajiuliza maswali haya

1: Mason mount Kama alishindwa kuingia first eleven kwenye timu Dhaifu iliyokuwa shimoni ,je ataisaidia Manjesta?


2: 7 hag hawez kucheza kwa ku dominate na ku control mechi ,je kumleta mount atamtumia wapi au ndio kutafutiana lawama


3: Mount anaonekana Ni profile ya kucheza double 8/10 kwenye mfumo wa 4-3-3 akishambulia half spaces, Je manjesta ya 7 hag ina wachezaji wa hivo? Tukumbuke Degea yupo, dalot kapewa mkataba mpya , Casemiro ambaye sio profile ya Viungo wa 4-3-3 ya double 8/10 yupo


4: Mount kwa Β£80m Ni muendelezo wa utapeli Kama ule wa Anthonykwa €100m , Sancho €85m ,magwaya €85m ....
 
Za ndani kabisa , 7 Hag anampigia magoti Degea asaini mkataba mpya ,sababu Ni hizi

1: Kwakuwa manjesta kwa ujumla ina udhaifu kwenye recruitment ya wachezaji sahihi , 7 hag ana hofu anaweza muachia Degea ,akasajili Kipa (sweeper) akachezea michomo Hadi akaomba poo , hii wachambuzi Nguli tuliwahi kulisema wakati Chelsea wanamsajili kwa mbwembwe Kepa arizabaraga kwa dau la dunia , Alichezea Sana vipigo mpaka walipompata Mendy, na Kepa akiwa Golini mna uhakika wa kupata Goli


2: 7 hag anamsihi Degea asaini mkataba mpya sababu Kama na umahiri wote wa Degea manjesta ilichezea 7-0, 6-3,4-0, n.k , Vipi awe na kipa mithiri ya Kepa arizabaraga (sweeper)? Si atashuka daraja

3:Mpaka Sasa 7 Hag haelewi msimu ujao atacheza aina gan ya football, alipojaribu Total football alichezea vipigo heavy , alipojaribu Direct football akapata kitonga Cha form ya Rashford ,swali je Rashford atarejea na form yake au ndio Yale Yale ya UYOGA Ni sumu lakini Kuna muda Ni chakula
 
Sajili za manjesta Kama za Simba kumsajili Sawadogo


Kuna uhusihano fulani wa manjesta na simba
IMG_20230531_150605.jpg
 
Huyu Anthony wa €25m akauzwa kwa €100m kitapeli

Huwa nasema ni average player naambiwa eti Ni potential

Ndio maana huwa naamini na ndio ipo hivo , Anthony hamfikii chochote Nicolas Pepe , lakini pale Arsenal tulimuona hatoshi

Antony, Mudryk & Richarlison have a combined 5 PL goals

Pepe had 18 goal contributions for Arsenal in his first season and won the FA cup
 
Mnavurunda kwenye usajili, mambo yakianza kwenda mrama , Lawama anaangushiwa Graza family ,


Tujiulize huyu mason mount akiwa flop Kama Anthony au Sancho , je Yule Joel na ndugu yake watoto wa marehem Graza wanahusikaje?


Ndio maana hawaoni umuhimu wakuiuza manjesta


Wameshatoa Β£1.3B lakini zinasajili magarasa na wachezaji bila kuzingatia profile


IMG_20230601_202810.jpg
 
Hivi ukiulizwa mason mount anakuja manjesta je atacheza wapi na kwa mfumo gani ? Je timu itakuwa balance kwenye Attacking na defence?

Au unajipangia tu

Mount casemiro Bruno

Allo!!
 
MAJOR BREAKING:
#mufc have agreed personal terms with Mason Mount and are now expected to sign the Chelsea midfielder.
[@TelegraphDucker]


Chief-Mkwawa neno tafadhali
DEJAN7
Darmian

N.k
Sina tatizo na usajili wa Mason Mount atleast tutakuwa na mtu mwenye sifa tofauti kwenye midfield yetu.
Mount ni aggressive na energetic ukilinganisha na Ericksen lakini pia ni typical english midfield wanaocombine pace, agility, shooting na yuko technical. Aje tu.

Bila shaka Ten Hag atanufaika naye.
 
Back
Top Bottom