Timu na ya ole haina tofauti wallahi ushabiki tu mengine hovyooo. Hata kuwepo tulipo ni bahati tu hatustahili league inavyoenda mwisho ndo timu inazidi kuwa mbovu.
hili timu letu kupata ushindi inategemea siku hio Rashidi ameamkaje.
Liverpool jinsi walivyochuruka kipindi hiki huenda mechi zote zilizosalia wakaondoka na points 3.