Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kheee kumbe huyu jasusi ten hag unajua mpaka kiswahili?
 
Martial amekuja hapo Manchester hakiwa na miaka 21 tu Mpaka leo katufanyia nini cha maana ni heli tupate Kane tumtumie hata misimu mitatu au minne tu.
Huyo Kane ukimnunua leo ukitaka muuza kesho huwezi tena.
 
Unatoa 100M kununua striker atakaeumia mnarudi kwenye default settings.
 
Kane atauzwa 100 Million
.Budget yaweza kuwa 110 Milion.

Bado tunahitaji kiungo,Beki wa kulia na winger wa kulia na ikiwezekana kipa.

Kwa uchache tunahitaji five new players.
Kutoa 100M kumchukua Kane lazima kuwe na 400M nyingine pembeni ya kuziba hizo nafasi zilizobaki.
 
Muache kumlaumu kocha, katutoa mbali....na anafanya kazi kubwa tuwe bora zaidi....mm naamini akisajili tena atakuwa na sub nzur, na atafany vizuri....na aliahidi msimu wa tatu mmudai ubingwa either EPL au UEFA....TRUST THE PROCESS.
Ana maamuzi ya kijinga sn haswa upande wa sare kuna mechi km tatu sub zake zimefanya tumetoka sare.. angalia gem kama na sevilla ila tupo home rejea pia gem ya spurs
 
Ana maamuzi ya kijinga sn haswa upande wa sare kuna mechi km tatu sub zake zimefanya tumetoka sare.. angalia gem kama na sevilla ila tupo home rejea pia gem ya spurs
Operation ni kuifilisi MANCHESTER
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…