Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Toa Erickson weka Fred. Naona Sabitzer anapasha kule nje, huyu kocha anataka kutuletea majanga tena.
Ahsante Ten Hag kwa kunisikia. FRED in for ERICKSON.
Kila kitu kimebadilika, sasa tunawachezea nusu uwanja.
 
Nyie nyumbu nafasi yenu wanayo Liverpool na Nyie mnayo yao muanze kushuka taratibu sasa
 
Tunachocheza humu ni aibu kwa kweli.. Ten han nae maneno mengi tu timu hainyeshi mabadiliko unacceptable kila siku halafu no changes.
Sijui tulimkosea nani kama timu.
 
Ila nyumbu ni wajinga sana

Kiasi cha pesa ya usajili hakiendani na ujinga wanaoufanya hapa
 
Back
Top Bottom