Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,145
- 56,694
AmepataSabitzer anapiga penati ya mwisho
BHA 5-5 Man U
AmepataSabitzer anapiga penati ya mwisho
Amekosaaaaaaaaaaa.....Solly March anaenda kupiga sasa
Man Utd FainaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiSasa ni zamu ya Lindelof
Mmmh jamaani!Kaiga upande waliopita wenzake.
Matokeo yake amemwaga nje![]()
Hujaangalia eehee? Magoal yote nadhani kasoro la ushindi la Man U yamepita kulia.Mmmh jamaani!