D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,021
️ Tatizo ni Ronaldo️ solved
️ Tatizo ni Wachezaji hawajitumi️ solved
️ Tatizo hatujafanya usajili️ solved
️ Inatakiwa mchezaji mwingine wa kumsaidia Rashford asajiliwe (Mzee ferg alisema baadhi ya mashabiki ku bet wakaanza mponda)
️ Manchester kuna tatizo kubwa sana kuna wachezaji ambao hawatakiwi kuwepo pale kabisa,kocha akaongeza wengine
️ Tatizo Ferg anaingilia maamuzi ya kocha (Mashabiki ku bet)
️ Tuna bonge la kocha (Mashabiki ku bet baada ya kula mikeka kadhaa)
️ Europa yetu (Mashabiki ku bet baada ya kuchukua Carabao)
Alafu kuna sisi"Ten hag ni bonge la kocha ila hawezi kuwa kocha wa United,united ni kubwa sana kwake,kocha ana Ego sana na ana dharau wapinzani na anaamini yeye ndio kila kitu amesahau hamna kijiji kinachokosa wazee,Manchester united sio Academic au Ajax,EPL sio ligi ya uholanzi huku ukiingia kwenye mfumo hata Newcastle inaweza kukupiga 7" baada ya siku chache Liverpool mbovu ikatupiga 7,
NB:Mimi naamini Ten hag ni bonge la Kocha tuendelee nae tunaweza chukua World cup
Wabisaka hiv mnamchukuliaje tatizo mashabik wengine mnafatilia mpira ukubwani pia sancho ni sio mchezaj mbovu mfumo tunaocheza n mbovu sancho anataka tucheze kucheza atujui ebu review Dortmund muangaliechyo kiumbe Anthony kwasbbu tumetoa 100 ndo mnaogopa pale tumepigwaHenderson
Williams
Telles
Bissaka
Mejbri
Bailly
Jones
Tuanzebe
Sancho
Martial
Maguire
Lindelöf
McTominay
Fred
Elanga
van de Beek
Weghorst
Sabitzer
Hizo zote ni takataka
Hiii manjestaa ni mbovu kuliko ata ChelseaIla we kwa brighton ulikuwa unakimbia mkuu zile chuma mbili et?
Garnacho yupo anatosha akisaidiana na mawinga wengine wengi tu, utd hatuna shida ya winga shida ni kuwa na averge players kweny nafasi za beki kiungo na ushambuliaji. Kuna watu huwa wanamtusi Antony ila Antony sio average player ila amezungukwa na average players wengi Rashford enyewe sio wakumuamini sana ni mtu wa kupanda na kushuka.Kwa sancho napo tukubali hasara tuingie sokoni mapema kabla hatujaadhirika zaidi msimu ujao.
Jamii forum imekuwa ya hovyo sana hivi wewe ni member wa jf kwa uandishi huu kweli??Wabisaka hiv mnamchukuliaje tatizo mashabik wengine mnafatilia mpira ukubwani pia sancho ni sio mchezaj mbovu mfumo tunaocheza n mbovu sancho anataka tucheze kucheza atujui ebu review Dortmund muangaliechyo kiumbe Anthony kwasbbu tumetoa 100 ndo mnaogopa pale tumepigwa
Garnacho yupo anatosha akisaidiana na mawinga wengine wengi tu, utd hatuna shida ya winga shida ni kuwa na averge players kweny nafasi za beki kiungo na ushambuliaji. Kuna watu huwa wanamtusi Antony ila Antony sio average player ila amezungukwa na average players wengi Rashford enyewe sio wakumuamini sana ni mtu wa kupanda na kushuka.
Mchezaji mshambuliaji pekee tuliyekuwanaye wa uwakika kabla hawajaja kina Antony ni Greenwood naye ndio hivyo tena na makesi yaani sijui man u tunabalaa gani. Kocha kaja kahitahidi timu ikaanza kufanya vyema na wachezaji aliye waleta yeye ghala akaanza kumia Erksen, mara makadi ya Casemiro mara majeruhi Garnacho yakaanza kucheza machezaji yale mazembe mazembe tukapoteza dira ya kupigania ubingwa. Huku mwishoni nako wameumia Varane na Martinez yamerudi kina Maguire na Lindelof Maguire katufunga 2 tumetolewa uerope na sasa tunagombania top 4.
Greenwood mtu na nusu Mwanangu. Ana bomba zake za uhakka sio kama Anthony. Greenwood ndo mchezaji pekee ambaye sasa hivi angetusaidia. Rashford anashuka kama Martial alivyoshuka. Misimu miwili mbele Rashford anakua hewa. Hatuna wachezaji wenye consistency misim mitatu hadi minne kwenye competition zote. Wachezaj wetu ni wa ku compete na kina newcastle bas na sio Madrid au Man City. Top 4 tumekua tukibahatisha. Tim Kama man city ana uhakka na top 4 kwa kikos alichonacho sisi hatuna uhakka
Umerudi!!! Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaTUNAKUMBUSHANA TU
THAMAN YA KOMBE LA CARABAO
NI £100k sawa na Million Kama 250 za kitanzania
NBC premier league Million 500 plus Million 500 TV rights (Jumla 1Billions)View attachment 2595343
Tominay mzuri kuliko Sabtzer. Mtakuja kukubali wenyewe.Scott McTominay is NOT on the list of players the club are actively looking to sell, but his future will depend on what happens this summer.
Nani alikuloga? Nani alikuambia wachezaji wa umri mdogo ndio wanashinda makombe?Hatukuwasajili wakiwa na 30 Kama nyie ,
Kaangalie average ya miaka ya Arsenal na manjesta
Unamtetea Anthony ,hata Sancho ulikuwa unamtetea hivi hivi
Anthony mmepigwa
Kocha pale huna
Maguire achezi Leo ana kadi ya njano.Ukweli mchungu mechi ya leo najisikia mnyonge.
Kama center back ni ile ile,tusubiri balaa na aibu kubwa.
Maguire hayupo comfortable anapokuwa na mpira amejaa wasiwasi sana na bahati mbaya anakuwa last Man.
Lindelof one against one ni tatizo kubwa kupita tunavyofikiri.
Wanabisaka ni mzuri kulinda zaidi kuliko kushambulia.Game mbili alicheza vizuri lkn si mchezaji wa kutumaini.Mara nyingi hata kuji position ni tatizo.
Viungo wetu wengi umri umewatupa mkono.Nadhani suala la kutazama umri katika usajili ujao ni muhimu sana.Mchezaji kama Casemiro & Varane ni wazuri sana lakini hawawezi kutupatia muda mrefu hasa tukizingatia mikimiki ya EPL.
Mshambuliaji mmoja au wawili ni muhimu sana ikiwa tutataka kupambana na Man City msimu ujao.Rashfod ni mzuri lakini anakosa nafasi nyingi na wakati mwingi anakuwa mchoyo kupitiliza.
Mungu mkubwa kila nikimwona kwenye start eleven moyo unakwenda mbio.Maguire achezi Leo ana kadi ya njano.
Anakufa tatu bila leo
nawaona vijana waleeeee fainali
Trust the process