Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yani hii game Sevilla walivyokuwa wanaitaka, mda wote wanakimbia. Wachezaji wa unyumbuni lazima wakalale na viatu Leo. Alaf hapo J2 mna Brighton, mbona kazi mnayo
 
Tuna wachezaji wengi ambao viwango vyao ni kupwa na kujaa kwa maji na aliyeiharibu Man U ni sosha kwa kujaza michezaji ya kiingereza

Maguire
Bissaka
Martial
Tommy
Elanga
Fred
Werghost asipewe mkataba
Sancho apelekwe kwa mkopo timu yoyote
Degae next season awe golikipa namba 2

Bora Eric Baily sio maguire
 
gaucho mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…