Wala siyo sub, wachezaji wenyewe ndiyo wapuuzi. Hawachezi kama timu inavyopaswa kucheza.Sub za kipuuzi kabisa.
Bruno na Antony ni muhimili mkubwa sana wa timu kwa sasa.Timu yetu ya utd bado ina average players wengi sana leo tumefunga magoli yote manne. Ila bado nasema ya kuwa pamoja na kwamba Antony watu wanamdharau ila timu yetu inapata tabu sana pale anapotoka.
Mi nimeliongelea hilo ..sub zilikuwa mapema sana na kwa watu muhimu mno...Bruno na Antony ni muhimili mkubwa sana wa timu kwa sasa.
Sijui kulikua na umuhimu gani wa kufanya sub za hawa watu kwa pamoja?
Sub ya muhimu ilikua ni ya Sancho tu, hata huyo Martial leo hakustahiki kutoka.
Draw ya leo lawama zote tunambebesha kocha maana sio mara ya kwanza wala ya pili kufanya sub zinazotucost.
Usisahau na magoli ya sevilla 😂
Labla come on shimoni 😂Tunahitaji la 3 tuwe huru jamani
Come on United!!
Woyo Woyo Woyoooooooooo 😂😂 kudadeki 😂Nasema woyo woyo woyooo
Eh unasema.? 😂Nawaonea huruma Sevilla, kwa hiki kikosi cha leo.
Uzembe tu wa wachezaji. Magoli mawili watu wana-relax. Utoto mwingi, nafasi kibao wametumia mbili tu.Eh unasema.? 😂
Kichekesho 😂Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester United 3 vs Sevilla 1
Time
4:00
Stadium
Old Trafford
Kichapo lazima kiendelee kwa hizi timu za Spain.
GGMUView attachment 2586517
Binafsi naamini kwa hizi mechi zilizosalia Bissaka kama atapangwa CB atapaform vizuri kuliko hata hio RB ayocheza.Naona kabisa United tumerudi 0. Dirisha la usajili siyo CB mmoja tena ni wawili maana Martinez mpaka arudi msimu mpya utakuwa ushaanza.
Ni kweli ila kocha mimi simlaumu kiufundi alipokuja hakuwa hivyo ila kwa sasa kutokana na majeruhi yanayoiandama timu yetu mara kwa mara nahisi kocha naye ni kama kavurugwa anahofia kupata majeruhi hivyo wakati mwingine analazimika kujilipua. Fikiria timu inapigania pig 4 bado kombe la FA na EUROPE kwa average player tulionao kisha ukapata majeruhi ua wachezaji muhimu kama Rashford ni lazima kocha uchanganyikiwe coz unaweza poteza vyote kumbuka ligi bado ngumu. Arsenal mwenyewe na ubora wake anapambania ligi tu na anaweza asipate hilo kombe.Bruno na Antony ni muhimili mkubwa sana wa timu kwa sasa.
Sijui kulikua na umuhimu gani wa kufanya sub za hawa watu kwa pamoja?
Sub ya muhimu ilikua ni ya Sancho tu, hata huyo Martial leo hakustahiki kutoka.
Draw ya leo lawama zote tunambebesha kocha maana sio mara ya kwanza wala ya pili kufanya sub zinazotucost.
Muhujumu uchumi hapo MANCHESTER UnitedHuyu ten hag.