christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,065
Hivi arsenal nayo nintop timu? Utop wa arsenal uko wapi ndugu zangu sio kwamba nakejeli naomba kuelimishwa.Man Utd away vs top 9 teams:
Brentford 0-4
Man City 3-6
Aston Villa 1-3
Arsenal 2-3
Liverpool 0-7
Newcastle 0-2
They visit #Spurs on 27th April.
Manjesta Ni top team?Hivi arsenal nayo nintop timu? Utop wa arsenal uko wapi ndugu zangu sio kwamba nakejeli naomba kuelimishwa.
Sio suluhisho ikiwa kocha anapewa mabilion anasajili wachezaji kupitia YoutubeMwarabu apewe timu
Mwanzo tulikuwa tunajadili mambo tofauti kabisa na suala la Ronaldo kwenda City.Eti Rumours dah,CR7 mwenyewe anafanya interview na pier Morgan kazungumza Hilo Jambo
Ole Guna pale manjesta hakuwa manager ,hiyo nguvu ya kusajili anayemtaka aliitoa wapi
Zilishakuwa rumours na sasa hivi ni facts kwasababu Rashford mwenyewe kakanusha hilo suala.Mh unakua mgeni sasa siyo? Hua tunasikia fununu, kukanusha kisha tunasikia kitakachokua
Ila pia akagongwa 7 na hizi za jana jumla 9Umeongea ujinga mtupu hamis77 . Nadhani huna zaidi ya miaka 7 toka uanze kushabikia mpira.
1. Kocha tayari ana Carabao (hakuna timu yoyote yenye kikombe mwaka huu)
2. Anasubiria kwenda finaly FA (arsenane alitolewa siku nyingi sana)
3. Anasubiri fainaly ya Europa
Makombe matatu anategemea msimu huu. Arsenane akifungwa ile mechi na Man City difference inabaki point 2 ha haaaa. Ikiwa bado mechi 9. Ni mjinga pekee anayewaza ubingwa akiwa na difference ya point 2 na bado mechi 9.
Mjinga kama hamis77 bado anaamini kile kikatuni kinarukaruka kwenye touchline ni kocha. Mwaka huu patupu tena fukuza kocha huyooooo.
Wegosti ana mikimbio mizuri kaka au wewe huoniNdiyo nikasema wote wana maamuzi sawa kwenye swala la ST.
Ole alimtafuta Ighalo na Cavani. Ronaldo akaja baadaye. Erik kamtafuta Weghorst sioni utofauti wa Weghorst na Ighalo
Huyu msimu ujao watamtimua X mass, maana msimu ujao patakuwa hapatoshiPotter tayari bado 7 Hag
Wewe jamaa naona umeshikilia bango la build up kuanzia chini muda mrefu sasa mara soka safi unataka timu zote ziwe na philosophy moja?. Hilo soka lenu safi mnalocheza mwaka wa 20 huu hamna kombe la ligi. Hilo soka lenu safi enzi za mzee Wenger mmekula vichapo vya kutosha toka kwa wanaume wanapiga counter. Soka safi miaka imekata UEFA mnaisikia redioni. Watu wanataka matokeo na makombe na sio soka safi bila makombe.Tukiweka ushabiki pembeni bado hatuioni manjesta ya kuifunga Brighton na Brentford ,
Tuliona Vs Fulham had walipopata 3 red cards ndipo mkapata matokeo
Brighton katikati Caicedo & MacAlister ,
Winga Soli March na Mitoma
Buildup inaanzia chini kabisa ,Bado sioni Manjesta yakuifunga Brighton na Brentford
Mpaka mechi ya mwisho huenda manjesta akamaliza nafasi ya 6-7
Naona umekurupukaWewe jamaa naona umeshikilia bango la build up kuanzia chini muda mrefu sasa mara soka safi unataka timu zote ziwe na philosophy moja?. Hilo soka lenu safi mnalocheza mwaka wa 20 huu hamna kombe la ligi. Hilo soka lenu safi enzi za mzee Wenger mmekula vichapo vya kutosha toka kwa wanaume wanapiga counter. Soka safi miaka imekata UEFA mnaisikia redioni. Watu wanataka matokeo na makombe na sio soka safi bila makombe.
Hivi arsenal nayo nintop timu? Utop wa arsenal uko wapi ndugu zangu sio kwamba nakejeli naomba kuelimishwa.
Hii ilikua hoja ya kiazi kimoja hivi 🤣🤣Wegosti ana mikimbio mizuri kaka au wewe huoni