Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1679582486178.png
 
Thomas Zilliacus (bidder to buy #mufc): “Any sport club ultimately should belong to its fans.

The current development, where billionaire sheikhs and oligarks take over clubs and control them as their personal playgrounds is not a healthy trend.”
1679582567301.png
 
American hedge fund Elliott Management have made an offer to buy a minority stake in Manchester United. The Glazers would still have control!
 
Chris Kamara: "I can exclusively reveal that I told Jose Mourinho to take him [Virgil van Dijk] to #mufc and Jose said, 'These lot won't give me the money for him.' Yeah, and he went to Liverpool." [BBC]
 
Zilliacus anapendekeza kila shabiki atoe USD 3, na wote tukifanya hivyo mashabiki tutamiliki klabu kwa 50%

Hakafafanua baada ya kununua klabu nani atabeba jukumu la kulipa deni la klabu, kutoa fedha za usajili na kuendeleza miundombinu ikiwemo kiwanja cha OT
 
Hoja niliyoweka na ulichojibu ni vitu viwili tofauti kabisa


Nilitegemea useme Huyo Muarabu mnayemtaka atakuja kufanya kipi kipya kwenye Usajili ambacho Graza hawajafanya


Ndio maana nikasema hata Mansoor angekuwa hapo manjesta Kama makocha Ni kina 3+7 hag Basi leo angepigiwa kelele anazopigiwa Graza family


Huwa nawauliza mnamtaka Muarabu aje atoe pesa za usajili €250m -€300m

Je hizi pesa si ndio kapewa Huyu 3+7hag akamleta mchezaji kupitia Yutubu kwa €100m na wazee kina casemiro ambao soon atarudi Tena kuomba Pesa asajili Kiungo mkabaji
Mbona Chief-Mkwawa kakuelekeza mara nyingi hapa kuwa wale vipara hela wanachota sio zao wale wameifanya timu kuwa na madeni ya kutisha kwa upumbavu wao.

Hatuwataki wale vipara sababu hawajai kutoa hela zao za mfukoni kununua mchezaji wanatoa faida ya kwenye club ndo wananunulia wachezaji.
 
Mbona Chief-Mkwawa kakuelekeza mara nyingi hapa kuwa wale vipara hela wanachota sio zao wale wameifanya timu kuwa na madeni ya kutisha kwa upumbavu wao.

Hatuwataki wale vipara sababu hawajai kutoa hela zao za mfukoni kununua mchezaji wanatoa faida ya kwenye club ndo wananunulia wachezaji.
Huu ndo ukweli hawajawahi hata kutoa 100 ya usajili, kifupi sisi hapa jukwaani tumetoa hela nyingi za usajili kuliko Glazzer.

Na usajili ulifanywa kwa lengo la biashara na sio ku improve team. Toka maamuzi ya Usajili yahamie Carrington tunaona sasa hivi usajili unafanywa kuziba mapengo.

Pia hao jamaa hawajafanya improvement kubwa yoyote ile ya nje ya uwanja kuanzia viwanja vya mazoezi, Old trafford, Academies etc vyote sio vya kisasa kama wapinzani wetu.
 
Hata akipewa Mansoor kwa makocha hawa type ya kina 7 hag, conte , Mourinho kwa soka la kisasa ,mtatafuta mchawi na hamtampata

Kocha unapewa pesa za usajili unaenda sokon unanunua Anthony kwa €100m mara Sancho kwa €90m ,magwaya kwa €80m , wanabisaka kwa €60m , list Ni ndefu

Je kosa la Graza Ni lipi Kama sio ubovu wa Recruitment na makocha wajanja wajanja


7 hag ameshtuka ligi ya EPL haina utani kwasasa anaogopa hata kumuondoa Degea , amefeki majeruhi ya Rashford maana bila huyo mngekuwa nafasi ya 10 na GD -20+
Kwani Arteta na Ten Hag nani ana profile kubwa ?
 
Yani nyie arsenal ni timu ndogo yenye imejificha kwenye kichaka cha timu kubwa,ndo maana mnaona kama hizo hela nyingi sababu ni timu ndogo na aina hela.

Barcelona walitoa hela za kuwanunua

Coutinho
Dembele
Griziman

Na bado walitia timu asala kwa sababu ni timu kubwa uwezi kuta wanalalamika nyie mlitoa pound 70 tu kwa pepe mpaka leo mnalia unajua ni kwanini small team mentality.

Sisi hela zipo ndo maana hata kimafanikio sio saizi yetu tuna makombe yenye hamna kwenye kabati lenu.

Timu yenu inabidi mkubali tu ni timu ndogo ndo maana mna miaka kibao saizi Uefa mnaona kwenye TV tu.

Sisi kumwaga hela ni jadi yetu hata wakichemsha maboss watauza hata jezi tu.
Nakazia kuwa tangu 2012 Sir Alex Ferguson astaafu ukocha bado Man Utd haijafanikiwa kubeba EPL na UEFA champions league lakini bado ndiyo timu pekee ambayo haijawahi kuzidiwa na timu yoyote kwa kuwa na Mashabiki wengi zaidi, na hata kwenye top 5 kiuchumi duniani.

Hamis77 anapaswa kuwa na adabu asijipitishe pitishe tu kwa miamba bila ridhaa yenu wenye uzi wenu Man Utd Fans.
 
Nakazia kuwa tangu 2012 Sir Alex Ferguson astaafu ukocha bado Man Utd haijafanikiwa kubeba EPL na UEFA champions league lakini bado ndiyo timu pekee ambayo haijawahi kuzidiwa na timu yoyote kwa kuwa na Mashabiki wengi zaidi, na hata kwenye top 5 kiuchumi duniani.

Hamis77 anapaswa kuwa na adabu asijipitishe pitishe tu kwa miamba bila ridhaa yenu wenye uzi wenu Man Utd Fans.
Kwan Arsenal hatuna fan base sijakuelewa hojà yako

Zlatan aliwahi kusema alikuwa anasikia mitandaon Manjesta Ni klabu kubwa

Ila alipofika pale aligundua Ni klabu yenye mentality ya timu ndogo
 
Manjesta Kama inataka kupiga hatua na kuacha kumlaumu Graza ,Ni kuachana na wachezaji Kama Sancho wenye viwango duni

Tunakumbushana hapa Nicolas Pépe ameonekana Bora kushinda huyu Sancho lakini Media na mashabiki wa Manjesta wanawaaminisha watu ujinga

Mchezaji Kama Sancho pale Arsenal hakai hata benchi ,maana Pepe Ni zaidi ya Sancho
...
IMG_20230324_110953.jpg
 
Back
Top Bottom