GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Wanauza hao. Hapo wanafanya kila mbinu wauze kwa pesa kubwa.Hawataki uza timu wahuni hawaView attachment 2562548
Wanauza hao. Hapo wanafanya kila mbinu wauze kwa pesa kubwa.Hawataki uza timu wahuni hawaView attachment 2562548
Mbona Chief-Mkwawa kakuelekeza mara nyingi hapa kuwa wale vipara hela wanachota sio zao wale wameifanya timu kuwa na madeni ya kutisha kwa upumbavu wao.Hoja niliyoweka na ulichojibu ni vitu viwili tofauti kabisa
Nilitegemea useme Huyo Muarabu mnayemtaka atakuja kufanya kipi kipya kwenye Usajili ambacho Graza hawajafanya
Ndio maana nikasema hata Mansoor angekuwa hapo manjesta Kama makocha Ni kina 3+7 hag Basi leo angepigiwa kelele anazopigiwa Graza family
Huwa nawauliza mnamtaka Muarabu aje atoe pesa za usajili €250m -€300m
Je hizi pesa si ndio kapewa Huyu 3+7hag akamleta mchezaji kupitia Yutubu kwa €100m na wazee kina casemiro ambao soon atarudi Tena kuomba Pesa asajili Kiungo mkabaji
@Chief-Mkwawa hebu mpe maelekezo huyu jamaa kwanini hatuwataki vipara.Graza family hawaoni umuhimu wa kuuza timu
Kama pesa za usajili walitoa za kutosha Cha ajabu kaletwa mcheza dance
Kosa lao lipi ?
Bajeti €250m kocha anafanya udalali anamleta Anthony kwa €100m
Bado January kamleta shemeji yake Werghost View attachment 2562623
Huu ndo ukweli hawajawahi hata kutoa 100 ya usajili, kifupi sisi hapa jukwaani tumetoa hela nyingi za usajili kuliko Glazzer.Mbona Chief-Mkwawa kakuelekeza mara nyingi hapa kuwa wale vipara hela wanachota sio zao wale wameifanya timu kuwa na madeni ya kutisha kwa upumbavu wao.
Hatuwataki wale vipara sababu hawajai kutoa hela zao za mfukoni kununua mchezaji wanatoa faida ya kwenye club ndo wananunulia wachezaji.
Chawa katoka wapi tenaThomas Zilliacus (bidder to buy #mufc): “Any sport club ultimately should belong to its fans.
The current development, where billionaire sheikhs and oligarks take over clubs and control them as their personal playgrounds is not a healthy trend.”
View attachment 2562852
Hawa jamaa hawataki kuachia hii timuGlazer msiuze urithi wenu WASIWAPANGIE Ebo!
Kwani Arteta na Ten Hag nani ana profile kubwa ?Hata akipewa Mansoor kwa makocha hawa type ya kina 7 hag, conte , Mourinho kwa soka la kisasa ,mtatafuta mchawi na hamtampata
Kocha unapewa pesa za usajili unaenda sokon unanunua Anthony kwa €100m mara Sancho kwa €90m ,magwaya kwa €80m , wanabisaka kwa €60m , list Ni ndefu
Je kosa la Graza Ni lipi Kama sio ubovu wa Recruitment na makocha wajanja wajanja
7 hag ameshtuka ligi ya EPL haina utani kwasasa anaogopa hata kumuondoa Degea , amefeki majeruhi ya Rashford maana bila huyo mngekuwa nafasi ya 10 na GD -20+
Hapo sasaHawa jamaa hawataki kuachia hii timu
Wauze man u halafu wakanunue timu gani sasa![]()
Jamaa wanataka $6 billionWanauza hao. Hapo wanafanya kila mbinu wauze kwa pesa kubwa.
7+3 hag ana profile ndogo maana umri wake Ni zaid hata ya Pep Guardiola ,lakini Manjesta mnadhan ndio anaanza kaziKwani Arteta na Ten Hag nani ana profile kubwa ?
Nakazia kuwa tangu 2012 Sir Alex Ferguson astaafu ukocha bado Man Utd haijafanikiwa kubeba EPL na UEFA champions league lakini bado ndiyo timu pekee ambayo haijawahi kuzidiwa na timu yoyote kwa kuwa na Mashabiki wengi zaidi, na hata kwenye top 5 kiuchumi duniani.Yani nyie arsenal ni timu ndogo yenye imejificha kwenye kichaka cha timu kubwa,ndo maana mnaona kama hizo hela nyingi sababu ni timu ndogo na aina hela.
Barcelona walitoa hela za kuwanunua
Coutinho
Dembele
Griziman
Na bado walitia timu asala kwa sababu ni timu kubwa uwezi kuta wanalalamika nyie mlitoa pound 70 tu kwa pepe mpaka leo mnalia unajua ni kwanini small team mentality.
Sisi hela zipo ndo maana hata kimafanikio sio saizi yetu tuna makombe yenye hamna kwenye kabati lenu.
Timu yenu inabidi mkubali tu ni timu ndogo ndo maana mna miaka kibao saizi Uefa mnaona kwenye TV tu.
Sisi kumwaga hela ni jadi yetu hata wakichemsha maboss watauza hata jezi tu.
Kwan Arsenal hatuna fan base sijakuelewa hojà yakoNakazia kuwa tangu 2012 Sir Alex Ferguson astaafu ukocha bado Man Utd haijafanikiwa kubeba EPL na UEFA champions league lakini bado ndiyo timu pekee ambayo haijawahi kuzidiwa na timu yoyote kwa kuwa na Mashabiki wengi zaidi, na hata kwenye top 5 kiuchumi duniani.
Hamis77 anapaswa kuwa na adabu asijipitishe pitishe tu kwa miamba bila ridhaa yenu wenye uzi wenu Man Utd Fans.

