We jamaa mbona kuna mambo mapya mengi tu ya kuyaleta hapa kuliko unachokifanya hapa?Graza family waliwahi kutoa bajeti nzuri ya usajili
Madalali wakamleta Sancho kwa €80m ,misimu yote ana Goli 7
Leo anapigiwa kelele Graza aachie timu ,kosa lake Nini?
Graza family shikilieni hapo hapo hakuna kumuuzia mtu timuView attachment 2562711
Unataka matukio gan ya Sasa ,wakati Graza wanakaza uzi hawauzi timuWe jamaa mbona kuna mambo mapya mengi tu ya kuyaleta hapa kuliko unachokifanya hapa?
Jaribu kuendana na matukio ya wakati uliopo kuliko kujishusha hivi.
Haya banaUnataka matukio gan ya Sasa ,wakati Graza wanakaza uzi hawauzi timu
Wanauza hao. Hapo wanafanya kila mbinu wauze kwa pesa kubwa.Hawataki uza timu wahuni hawaView attachment 2562548
Mbona Chief-Mkwawa kakuelekeza mara nyingi hapa kuwa wale vipara hela wanachota sio zao wale wameifanya timu kuwa na madeni ya kutisha kwa upumbavu wao.Hoja niliyoweka na ulichojibu ni vitu viwili tofauti kabisa
Nilitegemea useme Huyo Muarabu mnayemtaka atakuja kufanya kipi kipya kwenye Usajili ambacho Graza hawajafanya
Ndio maana nikasema hata Mansoor angekuwa hapo manjesta Kama makocha Ni kina 3+7 hag Basi leo angepigiwa kelele anazopigiwa Graza family
Huwa nawauliza mnamtaka Muarabu aje atoe pesa za usajili €250m -€300m
Je hizi pesa si ndio kapewa Huyu 3+7hag akamleta mchezaji kupitia Yutubu kwa €100m na wazee kina casemiro ambao soon atarudi Tena kuomba Pesa asajili Kiungo mkabaji
@Chief-Mkwawa hebu mpe maelekezo huyu jamaa kwanini hatuwataki vipara.Graza family hawaoni umuhimu wa kuuza timu
Kama pesa za usajili walitoa za kutosha Cha ajabu kaletwa mcheza dance
Kosa lao lipi ?
Bajeti €250m kocha anafanya udalali anamleta Anthony kwa €100m
Bado January kamleta shemeji yake Werghost View attachment 2562623
Huu ndo ukweli hawajawahi hata kutoa 100 ya usajili, kifupi sisi hapa jukwaani tumetoa hela nyingi za usajili kuliko Glazzer.Mbona Chief-Mkwawa kakuelekeza mara nyingi hapa kuwa wale vipara hela wanachota sio zao wale wameifanya timu kuwa na madeni ya kutisha kwa upumbavu wao.
Hatuwataki wale vipara sababu hawajai kutoa hela zao za mfukoni kununua mchezaji wanatoa faida ya kwenye club ndo wananunulia wachezaji.
Chawa katoka wapi tenaThomas Zilliacus (bidder to buy #mufc): “Any sport club ultimately should belong to its fans.
The current development, where billionaire sheikhs and oligarks take over clubs and control them as their personal playgrounds is not a healthy trend.”
View attachment 2562852
Hawa jamaa hawataki kuachia hii timuGlazer msiuze urithi wenu WASIWAPANGIE Ebo!
Kwani Arteta na Ten Hag nani ana profile kubwa ?Hata akipewa Mansoor kwa makocha hawa type ya kina 7 hag, conte , Mourinho kwa soka la kisasa ,mtatafuta mchawi na hamtampata
Kocha unapewa pesa za usajili unaenda sokon unanunua Anthony kwa €100m mara Sancho kwa €90m ,magwaya kwa €80m , wanabisaka kwa €60m , list Ni ndefu
Je kosa la Graza Ni lipi Kama sio ubovu wa Recruitment na makocha wajanja wajanja
7 hag ameshtuka ligi ya EPL haina utani kwasasa anaogopa hata kumuondoa Degea , amefeki majeruhi ya Rashford maana bila huyo mngekuwa nafasi ya 10 na GD -20+
Hapo sasaHawa jamaa hawataki kuachia hii timu
Wauze man u halafu wakanunue timu gani sasa![]()
Jamaa wanataka $6 billionWanauza hao. Hapo wanafanya kila mbinu wauze kwa pesa kubwa.