hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,310
- 26,704
Hata akipewa Mansoor kwa makocha hawa type ya kina 7 hag, conte , Mourinho kwa soka la kisasa ,mtatafuta mchawi na hamtampataMwarabu apewe timu
Kocha unapewa pesa za usajili unaenda sokon unanunua Anthony kwa €100m mara Sancho kwa €90m ,magwaya kwa €80m , wanabisaka kwa €60m , list Ni ndefu
Je kosa la Graza Ni lipi Kama sio ubovu wa Recruitment na makocha wajanja wajanja
7 hag ameshtuka ligi ya EPL haina utani kwasasa anaogopa hata kumuondoa Degea , amefeki majeruhi ya Rashford maana bila huyo mngekuwa nafasi ya 10 na GD -20+
....sahv kapotelea cjui wapi

