rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,164
- 43,854
Sio poa aiseeeNa kuna mtu anakwambia leo wangecheza watoto seriously anahisi ni futuhi Cup![]()



Sio poa aiseeeNa kuna mtu anakwambia leo wangecheza watoto seriously anahisi ni futuhi Cup![]()



Kabisaaa hadi sasa big chance 3 tumekoswaaaHamna ajualo ni alimradi asikose cha kuandika




Nyumbu nyumbu nyumba nme waita mala 3 nataka goli 2 tu kwenye match yenu
Hivi man walikatoa wapi haka ka Pelistri hakajui kitu
Rashford sijui kala maharage ya wapi
Pelistri sijui kala maharage ya wapi
Casemiro sijui kala maharage ya wapi
Weghost sijui kala maharahe ya wapi
![]()
Tushukuru ushindi wa mechi ya kwanza
hii mechi ishakuwa ngumu
Maguire....leo kaupiga sana. Jamaa linajua sana ndio maana PSG wanamtaka sana.
Maguire....leo kaupiga sana. Jamaa linajua sana ndio maana PSG wanamtaka sana.